Wanaume kwanini hampo romantic?

Wanaume kwanini hampo romantic?

Kwani n wanaume pekee ndio wanaotakiwa kuwa romantic?!!!! Mkuu kuna wanawake wengine ni mizigo..ukimwambia Fanya hivi Mara aseme kachoka, cjui Mara nahis ucingiz ,, n.k! AF mambo ya kuitana mabebi watu wazima cifagilii miimi kwan ukiita mpenzi haisaundi?!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
sio lazma awe mwanaume..nimwaonhelea sababi nyie ndo vichwa vya mahusiano...nyinyi ndo waamuzi wakuu mahusiano yaende vipi..

unaweza kumuita mpemzi...na mengineyo kama hupendelei ya kizungu
 
Wanaume Romantic wapo na mdada kama wewe ni romantic lazima utavutiwa kwa mwanamme mwenye tabia zinazoendana.
Kama vipi mfundishe, ukimpenda mtu lazima kunavitu utakubali kubadilika ili muendane.

"Shout out to all Romantic Men Out There"!

Cc: Biobenga
true dat..
ila inategemea kama yu tayari kubadilika..ntamfundisha nmavotaka awe.

ila wanaume romantic wapo sana
 
Lugha ya asili haiwezi kuwa romantic mkuu.
Neno lenyewe ni romantic vije ulitekeleze kiswahili

Sent using Jamii Forums mobile app
kimahaba-romantic.

mpenzi nakupenda kama wali wa nazi

laaziz
nakuhitaji..nimekukumbuka.

mahabuba niambie unataka nini

nataka nikuambie ni jinai gani nakupenda..we tulizo la nafsi yangu..kwako nimefika wengine siwaoni

si kama hivo..unashindwa?
 
Unakuta mwanamke anakuwa romantic akitaka kuomba hela na ukimwambia ntakupa siku fulani anaitikia haya na story zinakufa hapo mpk hiyo siku ifike ndio utaona msg...
tabia zao tu..ukiona hivi si hayuko deep in love na wewe.
mwambie sina kazi siku hiyo atakublok kila kona
 
Kiuhalisia jamii zetu kimaisha Hatupo romantic na hii ni jadi yetu.

Hata lugha tu kiswahili hakipo romantic. Chukulia kispanish au English, baby I love you, baby I miss you... ina-sound vizuri.

Ndiyo maana huwa mnapenda kutuongelesha vingereza kwa mnaojua.

aggyjay pia kuna wanawake wengi tu hawako romantic... mwanamke hata kudeka kidogo anashindwa
Tatizo wanawake wanataka kuiga wanayoyaona kwenye TV.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Nakupenda" ina-sound vizuri zaidi na ina uzito kuliko "I love you". At least kwangu mimi.

Kuna siku nilijikaza kumfungulia mrembo fulani mlango wa gari, to my surprise alisema nisifanye hivyo tena. Kumbe naye hakubaliani na hilo, niliishia kucheka tu. Kuna uzungu fulani naona watu wanatumia sana nguvu kuufanya
kweli..uzungu usipitilize..ni kupnyesha upendo tu..ka kuna asivokubaliana navyo unaviacha..unaendelea na vingine
 
Back
Top Bottom