Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,671
- Thread starter
- #101
nimeumizwaKwann huna?!
nimeumizwaKwann huna?!
Nani kakuumiza mkuu.......nimeumizwa
waliopita mkuuNani kakuumiza mkuu.......
Mi nshakua na demu kwenye simu yake kajaza nyimbo za ROMA, Songa. Yan hiphop zile ngumu. Hacheki muda wote ni sirias. Hatukumaliza miezi mitatu.
polw sanaKwahiyo mm kukudindishia ww ni tatizo?!nyooo! kiborodiinda kama wewe nkubebee mbeleko gani uktuliza kikojoleo chako..
hufai wewe....![]()
Sasa mm ndio nataka nitibu majeraha yako mpenznimeumizwa
Kwahiyo mm kukudindishia ww ni tatizo?!
Hebu nitajie wanawake zangu watatu humu
Yan sometimes sisi tunajitahidi kuwa romantic ila nyie wenyewe miyeyusho tu. Mwanamke huna hata nyimbo ya Nandy au hata mbana pua mmoja Jux tu. Khaaa!!![]()
![]()
![]()
![]()
polw sana
.
Ww sema hutaki tufurahie maisha pa1 tu mrembo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
siwajui
Sasa mm ndio nataka nitibu majeraha yako mpenz
Ww sema hutaki tufurahie maisha pa1 tu mrembo
Kumbe bahati mnazikataaga wenyewe.
Kumbe bahati mnazikataaga wenyewe.
Ungekuwa umeshaniandalia chai asbh km hivi nmeenda zangu kibaruani nina raha,kila dakika msg tu baby hivi baby vile

kimahaba-romantic.
mpenzi nakupenda kama wali wa nazi![]()
![]()
![]()
laaziz
nakuhitaji..nimekukumbuka.
mahabuba niambie unataka nini
nataka nikuambie ni jinai gani nakupenda..we tulizo la nafsi yangu..kwako nimefika wengine siwaoni
si kama hivo..unashindwa?



we ndo scropion wanguu..ushantoboa macho wengine siwaonii
Nimefurahi kumbe tunaweza kukitumia kiswahili?
Naenda kuifanyia kazi hii mifano yako, nitarejea na majibu hapa hapa.

Vingapi tunaiga na maendeleo yanaonekana. ...kwanini tusijifunze huko kwenye TV?