Wanaume kwanini hampo romantic?

Wanaume kwanini hampo romantic?

"Nakupenda" ina-sound vizuri zaidi na ina uzito kuliko "I love you". At least kwangu mimi.

Kuna siku nilijikaza kumfungulia mrembo fulani mlango wa gari, to my surprise alisema nisifanye hivyo tena. Kumbe naye hakubaliani na hilo, niliishia kucheka tu. Kuna uzungu fulani naona watu wanatumia sana nguvu kuufanya
 
Ugumu wa maisha unachangia sisi wanaume kutokuwa romantic kama nyie mnavyotaka. Watu tuna amka na stress na kulala na stress ..saa ngap tutakuwa romantic?

Pia na nyie wanawake mnachangia sana tu ..cha muhimu kila mmoja kusimamia nafasi yake, hasa mwanamke ..unapokuwa na positive mind juu ya mumeo/boy frend/mchumba hii itamjenga zaid kwa namna moja au nyingine kuwa romantic.

Pia hizi masuala za kuwa romantic zimekuja kwa meli na ndege tunajaribu kukopy maisha ya kizungu zaid ..sio part of our society kivilee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
baadhi yenu ndo mlivo..ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini..khaa

mwanaume mda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero..
wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet,honey,babe,pumpkin,laaziz hawana hilo kabisa...yani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!! mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono

sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... mkipanda kitandani sasa uraskia "panua bwana usinipotezee mda wangu"
or *kama hutaki ondoka"...
hii ndo sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..
kuwa romantic kunapagawisha mwanamke..anajiona yupo kwenye himaya sahihi..anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli..
anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake.

mshike mkono mkitembea
kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze
mbembeleze
hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..
mjali
kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (sihamasishi uzinzi..muoane )

we huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama diamond..nsync..westlife..justin bieber etc!!..wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono..trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinwafanya wapagawe..wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..



shauri yako..
Wanawake wa Kibongo hawa wawa au kuna wengine unaowasemea???? Kwa mwanamke wa bongo kuwa romantic ni kuchana POCHI tu hayo mengine mbwembwe tu. POCHI MBELE ROMANCE MBWEMBWE TU
 
Hapa Kazi Tu.
Anyways hizi tamthilia za kifilipino ndio zimeleta haya yote.

Najaribu kuwaza tu kidogo hapa kwa sauti je kwa mfano babu zetu waliweza vipi kudumu kwenye ndoa zao kwa muda mrefu bila hizi demands za kuwa romantic?

Anywayz wanaume majukumu ni mengi sana so mtusamehe kidogo
 
Kiuhalisia jamii zetu kimaisha Hatupo romantic na hii ni jadi yetu.

Hata lugha tu kiswahili hakipo romantic. Chukulia kispanish au English, baby I love you, baby I miss you... ina-sound vizuri.

Ndiyo maana huwa mnapenda kutuongelesha vingereza kwa mnaojua.

aggyjay pia kuna wanawake wengi tu hawako romantic... mwanamke hata kudeka kidogo anashindwa
ni baadhi sio wote aisee..
kumwambia nakupenda ni ngumu?haiko kimahaba?
 
Nyinyi wenyewe saa zingine mnakera.kila saa tu Hela sijui wigi mara nikakombelee nguo kwa fundi mara sijui vikoba ahaaa! Mara hujakaa vizuri watu wa Finca wamekuja kuchukua makochi eti marejesho yamechelewa.haàaa ! Wanachukua Romantic yote na kuicha Mkatoriki
Tunajadili mambo ya hela hela kama tuko kwenye ubia wa kibiashara vile na wala siyo ndoa
uwiiii
umepatikana..pole
 
aggyjay sasa KAMA HAYUPO ROMANTIC, SI WEWE UWE ROMANTIC ILI NA YEYE AKOPI NA KUPESTI? AU LAZIMA AANZE KUWA YEYE ROMANTIC? MWANAMKE ANA NAFAS KUBWA YA KUMBADILISHA MUMEWE KITABIA NA MWENENDO KWA UJUMLA, TUMIA NAFAS YAKO
kweli..sio lazma aanze yeye..naweza anza mimi yeye akafuatisha..but inategemea utayari wake..nnaweza kuwa kimahaba but yy akabaki vilevile.
nia yake tu ya kubadilika..
 
iko kivitendo zaidi..ntthibitisheje sasa hapa?
Jus explain kidg kuwa huwa unafanya nini vya kiromantic kwa Mwanaume wako...lets say unampokeaje anapokuja kwako au mnapokutana mahala na je kitandani unakuwa romantic kwa namna ipi?

Achana na sex perfomance.
 
e23c325da716721ab85be60cc1286f04--romantic-hugs-romantic-couples.jpeg
images.jpeg
 
Back
Top Bottom