Wanaume kwani lazima???? Kuweni fair

Wanaume kwani lazima???? Kuweni fair

inatokea mwanamke unamua zako wkend kama hivi kukaa zako mahali ,maybe ukae zako alone bila bughudha uenjoy, unywe zako mbili tatu,ucheze mziki/usikilize mziki yaani urefresh kwa kifupi kimpango wako.

Sasa ukikaa zako lazima aje mwanaume akuombe kukaa na wewe akumiliki as if umekuja nae. kwani lazima ukiona mwanamke kakaa mwenyewe umfate? unaaza usumbuuufu why lakini? mbona sisi tukiwakuta mmekaa wenyewe hatuwafati bwana?

wengine anakuomba kabisa naomba hata soda moja ukisema poa linakunywa kweli,hata haogopi kununuliwa na mwanamke! daaah tuacheni tupumue? leo natembea na kiwembe
mbona vitu vidogo sana hivi kwanza hayo yote yanachangiwa na mabo haya...umevaaje..kama umejipigilia umevunja kabati umejiremba sana mixa maunyunyu ya ukweli unategemea nin? eeenhhh...halafu ni kawaida kwa mwanamke kubughudhiwa so hamnaga shida...sasa ujirembe kwa sana na vitu kama hivyo then uachwe hivi hivi si ungenywea na kuweka mp3 huko kwako...ova...
 
kama nipo available au sipo available inamuhusu nini mkuu? kila mtu si kaenda kwa starehe zake?
by the way sehemu za kistaarabu ni kama zipi hawaongeleshi mtu maana hapa nazungumzia viwanja vikubwa tu nimeona hii tabia.mtuache tupumue kwanza jamani?
mbona kama u hasira? kwani hii mambo unakutana nayo kila siku?? badilisha viwanja,
 
Smile Hata konda akikuona kituoni anajua ni msafiri, nilazima akusomeshe.ila uamuzi wa mwisho ni wako
 
Last edited by a moderator:
Smile ​leo mimi nakufuata tu, potelea mbali hata unichanechane na viwembe.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
smile,ukijisikia kukaa bila usumbufu nenda hotel zenye hadhi wanatenga hadi sehemu ya kukaa alone!wanaume ni wawindaji daima hutakaa uwabadili milele!
 
Mungu akaona si vema adamu abaki peke yake..........................................acha mbwembwe ntachukua mbavu zangu.
 
inatokea mwanamke unamua zako wkend kama hivi kukaa zako mahali ,maybe ukae zako alone bila bughudha uenjoy, unywe zako mbili tatu,ucheze mziki/usikilize mziki yaani urefresh kwa kifupi kimpango wako.

Sasa ukikaa zako lazima aje mwanaume akuombe kukaa na wewe akumiliki as if umekuja nae. kwani lazima ukiona mwanamke kakaa mwenyewe umfate? unaaza usumbuuufu why lakini? mbona sisi tukiwakuta mmekaa wenyewe hatuwafati bwana?

wengine anakuomba kabisa naomba hata soda moja ukisema poa linakunywa kweli,hata haogopi kununuliwa na mwanamke! daaah tuacheni tupumue? leo natembea na kiwembe

inategemea ulivyo vaa kama macho juu juu, umevaa kimini mapaja yote nje,na matiti yapo wazi lazima niopoe
 
inatokea mwanamke unamua zako wkend kama hivi kukaa zako mahali ,maybe ukae zako alone bila bughudha uenjoy, unywe zako mbili tatu,ucheze mziki/usikilize mziki yaani urefresh kwa kifupi kimpango wako.

Sasa ukikaa zako lazima aje mwanaume akuombe kukaa na wewe akumiliki as if umekuja nae. kwani lazima ukiona mwanamke kakaa mwenyewe umfate? unaaza usumbuuufu why lakini? mbona sisi tukiwakuta mmekaa wenyewe hatuwafati bwana?

wengine anakuomba kabisa naomba hata soda moja ukisema poa linakunywa kweli,hata haogopi kununuliwa na mwanamke! daaah tuacheni tupumue? leo natembea na kiwembe

Wewe jitazame pozi zako tu
kuna pozi ziko so inviting
na wengine pozi zao tu wanaume wanashindwa kuwasogelea...
 
smile,ukijisikia kukaa bila usumbufu nenda hotel zenye hadhi wanatenga hadi sehemu ya kukaa alone!wanaume ni wawindaji daima hutakaa uwabadili milele!

Mkuu... unaweza nitajia hotel kadhaa ambazo huwa wanatenga sehemu maalum ya kukaa alone!!! Make nami huwa napenda kukaa alone sometimes......
 
inatokea mwanamke unamua zako wkend kama hivi kukaa zako mahali ,maybe ukae zako alone bila bughudha uenjoy, unywe zako mbili tatu,ucheze mziki/usikilize mziki yaani urefresh kwa kifupi kimpango wako.

Sasa ukikaa zako lazima aje mwanaume akuombe kukaa na wewe akumiliki as if umekuja nae. kwani lazima ukiona mwanamke kakaa mwenyewe umfate? unaaza usumbuuufu why lakini? mbona sisi tukiwakuta mmekaa wenyewe hatuwafati bwana?

wengine anakuomba kabisa naomba hata soda moja ukisema poa linakunywa kweli,hata haogopi kununuliwa na mwanamke! daaah tuacheni tupumue? leo natembea na kiwembe

....hahahaha....uje na topaz, au nugget siogopi....leo nakuja na mapemaa kudowea mirinda nyeusi...😀
 
Mkuu... unaweza nitajia hotel kadhaa ambazo huwa wanatenga sehemu maalum ya kukaa alone!!! Make nami huwa napenda kukaa alone sometimes......

hotel zote za four na five stars wanafanya hivyo au wanapaswa kufanya hivyo!ukikosa upande wa bar,we nenda upande wa restaurant utakuta single seat au at least double mwambie mhudumu toa hiyo kiti ingine nataka utulivu atafanya hivyo!

hapa arusha kwa uhakika kabisa nakumbuka kibo palace hotel nimewahi kuona single seat
 
inatokea mwanamke unamua zako wkend kama hivi kukaa zako mahali ,maybe ukae zako alone bila bughudha uenjoy, unywe zako mbili tatu,ucheze mziki/usikilize mziki yaani urefresh kwa kifupi kimpango wako.

Sasa ukikaa zako lazima aje mwanaume akuombe kukaa na wewe akumiliki as if umekuja nae. kwani lazima ukiona mwanamke kakaa mwenyewe umfate? unaaza usumbuuufu why lakini? mbona sisi tukiwakuta mmekaa wenyewe hatuwafati bwana?

wengine anakuomba kabisa naomba hata soda moja ukisema poa linakunywa kweli,hata haogopi kununuliwa na mwanamke! daaah tuacheni tupumue? leo natembea na kiwembe
nimekuwa nikifatilia maoni yako mara nyingi kuhusu wanaume, una perception mbaya sana kuhusu wanaume, sijui walikukosea nin! au we msagaji nin. maana wasagaji ndo huwa hawapendi hata kusikia mwwanaume. badilika dada yangu.
 
babu ushasema enzi zetu sasa mambo kidigital.......


Kwani mchanyato wa digitali na analogia hauruhusiwi?

Mie nawashauri vitu vingine waazime kwetu baadhi ya vitu ili viwapunguzie kero...!

Babu DC!!
 
Haha haaaaa Smile bora hyo ya kukaa mahali lol.

Yanaboa zaidi yale yanayoingia yenyewe club..Unakuta mdada umeingia zako club kivyako kwa raha zako kwa garama zako unataka kula bata..

Acha hawa viumbe wakung'ang'anie lol.. Atataka akumiliki ikiwezekana hata usicheze na watu wengine. Afu mbaya zaidi hata hawaangalii kama mna -match au la.

Kupakana shombo tu .. Kaaaaaaaa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Nzuri FP...! Dena Amsi nilikuwa naye jana maeneo ya Mbalamwezi - Mikocheni, na leo weekend tunaazia "Baa Mpya - Boko Magengeni" - Njia panda ya Mbweni - Karibu sana.

Malalamiko ni njia mojawapo ya "ku-refresh"...!

FP mubaya wewe nilikwambia mimi na yeyeni kama uji na mgonjwa hatuachani abadani
 
Last edited by a moderator:
inatokea mwanamke unamua zako wkend kama hivi kukaa zako mahali ,maybe ukae zako alone bila bughudha uenjoy, unywe zako mbili tatu,ucheze mziki/usikilize mziki yaani urefresh kwa kifupi kimpango wako.

Sasa ukikaa zako lazima aje mwanaume akuombe kukaa na wewe akumiliki as if umekuja nae. kwani lazima ukiona mwanamke kakaa mwenyewe umfate? unaaza usumbuuufu why lakini? mbona sisi tukiwakuta mmekaa wenyewe hatuwafati bwana?

wengine anakuomba kabisa naomba hata soda moja ukisema poa linakunywa kweli,hata haogopi kununuliwa na mwanamke! daaah tuacheni tupumue? leo natembea na kiwembe

Nimechekaje mimi kha?

sio soda tu Smile wanataka bia kabisa ama whisky au wine na linaomba lift ya gari eti ulipeleke home "Bure kabisa"
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom