mkitukanwa mnaona tunaringa
ulivosema ni kweli .bora wewe ni mwelewa yaani ukionekana eneo wanajua umeenda kuuza! daah,Ha ha ha Smile.. Unajua hata simba wakati anamuwinda swala.. lazima ahangaike.. maana swala ana kila aina ya mbwembwe..
Anyway kurudi katika mada yako ya msingi.. mfume dume (ambao hata wewe unaukubali upo na unafanya kazi) ndo chanzo cha yote haya.. Mpaka kesho mawazo vichwani mwa wanaume (na hata wanawake) mtoto wa kike utakapoenda bar pekeyako then au uko kwenye mawindo au unamsubiri mwanaume.. Pombe inajulikana inavyoleta vishawishi.. Ni juu yenu kupambana na mfumo huu kwa hili tatizo..
Another thing.. Haya mambo ya kukutwa bar au sehemu nyingine yeyote na mwanaume kufuatwa ndo nature ya tulivyoumbwa.. Wanaume tunavutwa kwa watoto wa kike.. Au unasemaje Smile?
ahaaaa acha tu best yangu , hadi yesu wangu arudi nitakomaje?
inatokea mwanamke unamua zako wkend kama hivi kukaa zako mahali ,maybe ukae zako alone bila bughudha uenjoy, unywe zako mbili tatu,ucheze mziki/usikilize mziki yaani urefresh kwa kifupi kimpango wako.
Sasa ukikaa zako lazima aje mwanaume akuombe kukaa na wewe akumiliki as if umekuja nae. kwani lazima ukiona mwanamke kakaa mwenyewe umfate? unaaza usumbuuufu why lakini? mbona sisi tukiwakuta mmekaa wenyewe hatuwafati bwana?
wengine anakuomba kabisa naomba hata soda moja ukisema poa linakunywa kweli,hata haogopi kununuliwa na mwanamke! daaah tuacheni tupumue? leo natembea na kiwembe
sina hata sura nzuri mkuu,wanataka tu kunimega wanitemeAlieko mwituni mwindaji..... Sasa kibao cha nini?wewe ndo unatakiwa uwe nacho....Riziki ya mbwa iko miguuni mwake kalghabaho,
usumbufu pia sehemu ya starehe dada ama!ungekuwa na sura kama sokwe waala huu uzi usinge uleta!
ni ushauri tu!
leo natembea na kiwembe
ulivosema ni kweli .bora wewe ni mwelewa yaani ukionekana eneo wanajua umeenda kuuza! daah,
Wajerumani? Maana huwa wanakukaribisha kukupa ofa. Usidhani ni ofa ya kukulipia, bali ni ile ya kuketi naye na kuongea tu hata ukiwa mwenzi. Hayo ndo maisha, si kuwa tegemezi ingawa nasikiaga akina kaka wanadai kuwa 'ati aninyime k na hela yake nisiile'.Pole sana huko kwenu mpaka leo mnanunuliana vinjwaji?? na wewe unakahuruma kweli.....sasa kwanini umnunulie jitu lillovaa suruali ulabu???.......wakoloni wananifurahisha kweli unakuta mtu katoka na mke?mume/BF/GF mkifika maeneo ya starehe hamjuani.......
sio bar tu bwana yaani popote ,beach disco
inatokea mwanamke unamua zako wkend kama hivi kukaa zako mahali ,maybe ukae zako alone bila bughudha uenjoy, unywe zako mbili tatu,ucheze mziki/usikilize mziki yaani urefresh kwa kifupi kimpango wako.
Sasa ukikaa zako lazima aje mwanaume akuombe kukaa na wewe akumiliki as if umekuja nae. kwani lazima ukiona mwanamke kakaa mwenyewe umfate? unaaza usumbuuufu why lakini? mbona sisi tukiwakuta mmekaa wenyewe hatuwafati bwana?
wengine anakuomba kabisa naomba hata soda moja ukisema poa linakunywa kweli,hata haogopi kununuliwa na mwanamke! daaah tuacheni tupumue? leo natembea na kiwembe
kweli kabisa huwa mnakera sana kuharibu starehe zetu, mjifunze ustaraabu ala!