CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,361
- 6,441
inatokea mwanamke unamua zako wkend kama hivi kukaa zako mahali ,maybe ukae zako alone bila bughudha uenjoy, unywe zako mbili tatu,ucheze mziki/usikilize mziki yaani urefresh kwa kifupi kimpango wako.
Sasa ukikaa zako lazima aje mwanaume akuombe kukaa na wewe akumiliki as if umekuja nae. kwani lazima ukiona mwanamke kakaa mwenyewe umfate? unaaza usumbuuufu why lakini? mbona sisi tukiwakuta mmekaa wenyewe hatuwafati bwana?
wengine anakuomba kabisa naomba hata soda moja ukisema poa linakunywa kweli,hata haogopi kununuliwa na mwanamke! daaah tuacheni tupumue? leo natembea na kiwembe
Smile, tutakuogopa. Utamaduni uko hivyo, to break this tradition of time immemorial needs time, education and patience. Nashauri, next time dume likifanya hivyo mwelimishe kama unavyosema. Sidhani kama next time akimkuta mwanamama ametulia kivyake atamfuata.