Wanaume kwani lazima???? Kuweni fair

Wanaume kwani lazima???? Kuweni fair

inatokea mwanamke unamua zako wkend kama hivi kukaa zako mahali ,maybe ukae zako alone bila bughudha uenjoy, unywe zako mbili tatu,ucheze mziki/usikilize mziki yaani urefresh kwa kifupi kimpango wako.

Sasa ukikaa zako lazima aje mwanaume akuombe kukaa na wewe akumiliki as if umekuja nae. kwani lazima ukiona mwanamke kakaa mwenyewe umfate? unaaza usumbuuufu why lakini? mbona sisi tukiwakuta mmekaa wenyewe hatuwafati bwana?

wengine anakuomba kabisa naomba hata soda moja ukisema poa linakunywa kweli,hata haogopi kununuliwa na mwanamke! daaah tuacheni tupumue? leo natembea na kiwembe

Smile, tutakuogopa. Utamaduni uko hivyo, to break this tradition of time immemorial needs time, education and patience. Nashauri, next time dume likifanya hivyo mwelimishe kama unavyosema. Sidhani kama next time akimkuta mwanamama ametulia kivyake atamfuata.
 
Noth and south pole atrakti ichi aza.hahahahhaha kawaida hiyo we nenda ukae ata na mdada mwenzako meza moja mnaweza chuniana 90min.
 
kama nipo available au sipo available inamuhusu nini mkuu? kila mtu si kaenda kwa starehe zake?
by the way sehemu za kistaarabu ni kama zipi hawaongeleshi mtu maana hapa nazungumzia viwanja vikubwa tu nimeona hii tabia.mtuache tupumue kwanza jamani?
Mwanamke mwenye heshima zake hawezi kwenda kwenye Mabar peke yake tena usiku. Wewe lazima utakuwa Kicheche
 
Sasa najuaje hutaki usumbufu..si lazima nikufuate nikuulize jamani..
Curiosity killed the Cat bana........

sometimes tunahitaji kuwa peke yetu bwana.mbona nyie hatuwasumbui?
 
HAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAAA! (Imebidi nicheke kwa Herufi Kubwa)

Yaaani! Wasijaribu kupiga namba za Kino!

Kuna mtu alijipendekeza kwa Bi dada mmoja wembamba wa reli reni inapita Ndoro arusha huko kijoint cha utalii wakati kinabamba bamba!!

Kaenda kaomba kukaa, kanyimwa, kajifanya king'ang'anizi kaambiwa haya kaaa hapo. Kelta kiranga cha kumuita mtu wa jikoni, na mhudumu wa bia!

Basi wakapiga story wee, manake bi dada yupo current kuanzia mpira mpaka mambo ya Lowahasa, si za gari ipi iko comfy, hadi hali yahewa inasemaje anajua! Story haziboi

Waudumu walivokuja Mwenzie anagonga shots double double tu. Jikoni kaagiza jembe la mbuzi, na ubavu uchomwe vizurii na ndizi za za kuchoma 5. Kumbuka hoteli ya kitalii hiyo, afu wanakuwaga na Bei N.yoko kichizi.

Hapana chezea wanaume wa RCHUGGA iko na pesa mingi ya wizi wa magari na magendo holili. Mhudumu mwenyewe kaleta bili kwa mashaka. Kaweka kwenye kikapu.

Jikaka likacheki likarudisha humo! Basi bi dada akajishaua embu niione. Akasikia "Uone ya nini? Did you see me blink by any chance baada ya kuona hiyo bili? Acha kiherehere we kunywa kula bili haikuhusu!" Mmmmmh! Bi dada akabaki anatoa macho.

Bili ikalipwa na keep change juu! Basi bwana wakaendelea kuwasiliana na Harusi tulikula december!

Funzo: Hata mtu akikufata baa anaweza kuwa na lengo zuri na mkaishia pazuri! Na usikomesheee huwezi jua! UZANIAE NDIYE KUMBE SIYE!

(One of the few Positive and inspiring quotes from Lara 1. God has been nice to me today and im nice to you)

.
 
Mwanamke mwenye heshima zake hawezi kwenda kwenye Mabar peke yake tena usiku. Wewe lazima utakuwa Kicheche
watu kama wewe wanapumuliwa na wake zao hadi chooni!
 
jicho la mvulana liko fasta ...kuliko google,pole coz hizo ndo changamoto za kuumbwa ke
 
HAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAAA! (Imebidi nicheke kwa Herufi Kubwa)

Yaaani! Wasijaribu kupiga namba za Kino!

Kuna mtu alijipendekeza kwa Bi dada mmoja wembamba wa reli reni inapita Ndoro arusha huko kijoint cha utalii wakati kinabamba bamba!!

Kaenda kaomba kukaa, kanyimwa, kajifanya king'ang'anizi kaambiwa haya kaaa hapo. Kelta kiranga cha kumuita mtu wa jikoni, na mhudumu wa bia!

Basi wakapiga story wee, manake bi dada yupo current kuanzia mpira mpaka mambo ya Lowahasa, si za gari ipi iko comfy, hadi hali yahewa inasemaje anajua! Story haziboi

Waudumu walivokuja Mwenzie anagonga shots double double tu. Jikoni kaagiza jembe la mbuzi, na ubavu uchomwe vizurii na ndizi za za kuchoma 5. Kumbuka hoteli ya kitalii hiyo, afu wanakuwaga na Bei N.yoko kichizi.

Hapana chezea wanaume wa RCHUGGA iko na pesa mingi ya wizi wa magari na magendo holili. Mhudumu mwenyewe kaleta bili kwa mashaka. Kaweka kwenye kikapu.

Jikaka likacheki likarudisha humo! Basi bi dada akajishaua embu niione. Akasikia "Uone ya nini? Did you see me blink by any chance baada ya kuona hiyo bili? Acha kiherehere we kunywa kula bili haikuhusu!" Mmmmmh! Bi dada akabaki anatoa macho.

Bili ikalipwa na keep change juu! Basi bwana wakaendelea kuwasiliana na Harusi tulikula december!

Funzo: Hata mtu akikufata baa anaweza kuwa na lengo zuri na mkaishia pazuri! Na usikomesheee huwezi jua! UZANIAE NDIYE KUMBE SIYE!

(One of the few Positive and inspiring quotes from Lara 1. God has been nice to me today and im nice to you)

.
sijakataa,na kama mimi ni mke wa mtu je? au mpenzi wangu kasafiri yupo mbali?
 
Mwanamke mwenye heshima zake hawezi kwenda kwenye Mabar peke yake tena usiku. Wewe lazima utakuwa Kicheche

We vipi acha ulugaluga watu tunaenda baa saa tano usiku kucheki ball na kushabikia! Ball la nyumbani unawez vunja tv ama kingamuzi usipojizuia!
 
sometimes tunahitaji kuwa peke yetu bwana.mbona nyie hatuwasumbui?
We, smile vipi? Tukiwashiti mnaenda kwa waganga wa kienyeji kuosha nyota eti mwezi umepita bila mwanaume kukupa Hi
 
sijakataa,na kama mimi ni mke wa mtu je? au mpenzi wangu kasafiri yupo mbali?

The issue kama mke wa mtu akiona pete atajikataaa. Na kama mchmba ataona ingeji kidoleni atajikaaa! Ila kama huna any of the above ni SURVIVAL OF THE FITTEST TU!
 
Smile, tutakuogopa. Utamaduni uko hivyo, to break this tradition of time immemorial needs time, education and patience. Nashauri, next time dume likifanya hivyo mwelimishe kama unavyosema. Sidhani kama next time akimkuta mwanamama ametulia kivyake atamfuata.
i will bro
 
We vipi acha ulugaluga watu tunaenda baa saa tano usiku kucheki ball na kushabikia! Ball la nyumbani unawez vunja tv ama kingamuzi usipojizuia!
Kama umepanga kule manzese sawa. Lakini kama wewe ni mwamke wa ki-sure upo kwako kule masaki au mbezi Beach hayo mateke unarusha ya nini? Kama ni sarakasi si subiri ukarushe na jamaa yako kwenye 6x6
 
Dah! Mandeleo ni kitu cha ajabu sana...!

Yaani Mwanamke anatoka nyumbani kwake anaenda baa peke yake kwa ajili ya ku-refresh?

Ku-refresh maana yake nini wakati upo mpweke?
 
The issue kama mke wa mtu akiona pete atajikataaa. Na kama mchmba ataona ingeji kidoleni atajikaaa! Ila kama huna any of the above ni SURVIVAL OF THE FITTEST TU!

Hiyo sio kweli..Refer thread yako ya tunamtaka MKEO.. watu wanaona walioko kwenye ndoa ndio watamu
 
The issue kama mke wa mtu akiona pete atajikataaa. Na kama mchmba ataona ingeji kidoleni atajikaaa! Ila kama huna any of the above ni SURVIVAL OF THE FITTEST TU!
mbona watu kibao wamevaa mipete na hawana ndoa wala nini? wengine ni single tu wameachika nk.
so mwanamke ukitoka ni kama swala umejipeleka kwa mbwa mwitu?
 
hahhahahahahaha bhaeleze bhaelewe bhabadilike
 
Back
Top Bottom