sisame
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 365
- 321
Kumegewa kutaka
Umenena vema, kumegewa kutaka, usipotaka kumegewa hutomegewa kamwe.
Kumegewa kutaka
Care matters a lot, kama anakufanya ujisikie malkia halafu umkute katulia kwanini usichepuke nae! Huyu anaekuona kama kidume chenzie ubaki kumsongea ugali na kumfulia tuKuchepukaa kunachangiwa sana NA hupuuziwaaa...Kwani unadhani Ni wanawake wote wanaochepuka wanafuata Dushelele tu sijui kubwaa sijui nn.No ..Jibu la hayo Just take care!!Kwa sababu Nina Uhakika Mpaka mwanamke anamkubalia mwamme anakuwa hajafunguliwa zipu kuona Kitu Bali Huvutiwa NA kujaliwa au Zile Technic za Mapenzi..mengine mbwembwe tu
Ndio nyie mnaomegewa coz mna mitazamp hasiMwanamke huwa haliziki hata umpe nini atakitoa kasoro tu
Mwanaume atayejua hivyo akaendelea na wewe ni crazy.Nakituliza kwa mume, nae akizingua mwendo ni ule ule.
Kwa hiyo wewe hauwezi kuvumilia??Nakituliza kwa mume, nae akizingua mwendo ni ule ule.
Nivumilie nini sasa?Kwa hiyo wewe hauwezi kuvumilia??
Haya.Mwanaume atayejua hivyo akaendelea na wewe ni crazy.
Hahaaa!! Yaani kwa hilo hata hauna haja ya kufanya uchunguzi.mmmh ngoja nfanye uchunguzi wangu hapa...
Hahahaaaaa!! Hatujakufukuza kipenzi, so u'll just come home. Ila mfilipino hawezi kukutimua na zubeda lako bwana!!!Ahsante bi mkubwa. .
Teh ila nikijipeleka kwa mkweo, siku ya kufukuzwa ntaanza kurushiwa zubeda langu kwanza. Kuna mtu kasema eti yeye anajenga nyumba, utaleta tu vitako vyako humo ndani hahaha daah
Ahangaike wakati kuwa nawe ni favour kwako!! Yaani haw viumbe!!kweli kabisa, mwanaume yuko busy kushangaa kwanini mwanamke wake kabadilika tabia,badala atafute kitu kilichompelekea mwanamke huyo kubadilika
Uvumilivu muhimu katika mahusiano.Nivumilie nini sasa?
Mwanaume anaweza kujitahidi kukuridhisha,lakini wewe ukiwa zero kwake..yeye atafanyaje..hata hivyo hawezi kukuridhisha kwa 100%...tujifunze kuridhika..tusitafute sababu ya kusariti..tushukuru kwa mapenzi tunayopata kwa wenza wetu,tuvumiliane...hayo mandungahembe ya nje mbona hayakufanya ndoa nasi..Nivumilie nini sasa?
Sio mitazamo hasi Ukiwa na kibamia atasema unakibamia Ukiwa na muhogo mkubwa atasema yule jamaa ana muhogo mkubwa Ukiwa na hela atasema jamaa yangu anahela lakini hajui kunikuna vizuri Ukiwa unajua kukuna atasema ananikuna vizuri lakini hana pesa Sasa mnataka mpewe nini ndio mana nikasema hamliziki hamuishi sababuNdio nyie mnaomegewa coz mna mitazamp hasi
Wacha we!!Mwanaume anaweza kujitahidi kukuridhisha,lakini wewe ukiwa zero kwake..yeye atafanyaje..hata hivyo hawezi kukuridhisha kwa 100%...tujifunze kuridhika..tusitafute sababu ya kusariti..tushukuru kwa mapenzi tunayopata kwa wenza wetu,tuvumiliane...hayo mandungahembe ya nje mbona hayakufanya ndoa nasi..
Kingine..kuweni makini na hizo semina na filamu za kifilipino...zisiwapeleke kubaya na kuwa judge ndivyo sivyo wapenzi...shukuru kwanza kwa ulicho nacho...mwanaume kwa mwanamke.
Hahahaaaaa!! Hatujakufukuza kipenzi, so u'll just come home. Ila mfilipino hawezi kukutimua na zubeda lako bwana!!!
Eti kuleta vitako vyako! Yani kuna mafurushi mengine ni yapite mbali tu kwakweli.
eti mafurushi