Wanaume huwa mnakosea hapa!

Wanaume huwa mnakosea hapa!

Yaani wakiongelewa wanawake in a good way lazima iwaume!!
Madhaifu madhaifu madhaifu!! As if nyie mmekamilika.

Chriss mbona huongelea pande zote!!
Bila shaka na wewe ni member wake na unamsaidia ku-share posts zake.
 
Ha ha duuh mzigo wote huo unabebeshwa mwanaume!!!! Alafu unafanya yote hayo bado itakuja ambiwa bebi wng hanifksh kileln...daah wanaume kweli tunamajarbu. Ila freshii tupambane na hali zetu maan hakuna namna
Si bora hii list yetu ina vitano tu, katafute list yenu kule utadhani masharti ya kupata kazi world bank.
 
Siku hizi ukitaka kuwa rafiki wa wanawake, au blog yako iwe na followers wengi, wewe andika mada hizi za kuwaweka wanawake safe side, na kufunika funika madhaifu yao huku ukiwashambulia wanaume.

Naona jamaa mmoja anaitwa somebody Chriss Mauki ana generate traffic kubwa sana kwa mada za namna hii.

Kasoma fursa, kaitumia fursa.

All in all life lazima iendelee
Inamlipa saaanaa na anafanyaga semona zake kiinglio single 40000 dbl 80000 n ppo pay naon kamuingiz mpk mkeww wanapiga pesa..
Watz tunashikwa kitu kdg sana
 
Mnachokosea zaidi ni kwamba hata huko utakapochepukia utakutana na mwanaume mwenye tabia kama za mume/ mpenzi wako.ni suala la muda tu kabla haijatokea.
Mchepuko sio wa kudumu bwana kwamba akukabe koo!!
 
Inamlipa saaanaa na anafanyaga semona zake kiinglio single 40000 dbl 80000 n ppo pay naon kamuingiz mpk mkeww wanapiga pesa..
Watz tunashikwa kitu kdg sana
Kaangalia fursa kaichangamkia.

Mjini ni kuishi kwa akili tu mkuu.

Unasoma akili za watu wanataka nini wakati huo, unawapa hicho hicho.

Soon utasikia jamaa kajenga mghorofa kwa semina.
 
Hiyo namba 3 sijaelewa aisee!. Haya mambo ndivyo yalivyo! hayana FORMULA
 
Yaani wakiongelewa wanawake in a good way lazima iwaume!!
Madhaifu madhaifu madhaifu!! As if nyie mmekamilika.

Chriss mbona huongelea pande zote!!
Hahaha kuna viumbe wazito duniani
Si bora hii list yetu ina vitano tu, katafute list yenu kule utadhani masharti ya kupata kazi world bank.
Teh Job application
Yaani waafrika kila kitu kigumu kwetu, no wonder!!
Vigumu kwao, kwetu virahisi
Ila za mwanamke utaambiwa ni habari za kufikirika, selfish creatures.
Mmmh selfish kidogo basi. Wao tu ndo wa kufanyiwa mazuri. utasikia saa 11 amka sijui umfanyaje, akirudi mvue soksi, mpe massage, akipumzika mbebe mgongoni blah blah blah mtcheew, utadhani ni walemavu
Why not kama ni post za kujenga.
Na me nta-share Kwa kweli. Chris anajenga sana mahusiano kama unamfatilia. Kuna mwanamke asiyependa kuwa appreciated, apewe attention + affection? etc
 
Helooooooo!
Wanajamvi natumai mu wazima wa Afya njema.
Twende moja kwa moja kwenye Mada.Ni kwamba kwa utafiti niliofanya kwa Muda mrefu Sasa.Kuhusu hii kitu inayoitwa USALITI.Asikwambie MTU..Wanaume walio wengi Wapo Radhi kutoa Uhai wa MTU Hata kujeruhi wanapoona mpenzi au mke Kasaliti.Huumia sana..NA Ni wagumu kusamehe jambo hili likitokea tofauti kidogoo NA jinsia ya kike.Sasa Cha ajabu Wanaume hao hao wengi wao hawazingatii factors zinazopelekea Usaliti..Yaani wanapuuzia mambo madogo sana kwa wake au Wapenzi wao.Sasa Enyi Wanaume mkitaka Vitumbua vyenu viwe safe NA Mmiliki wenyewe kwa kiasi kikubwa Basi Ni lazima Kuzingatia yafuatayo.
1.Jitahidi kadri unavyoweza kujua kwa mwezi mzima mkeo au mpenzi wako anahitaji nini au Budget yake ni Kiasi gani .NA kama una mke/ mpenzi mwenye kufanya Kazi au biashara Si vibaya ukamuongezea pale.Mfano Ndani ya mwezi ni kawaida mke au mpenzi kusuka mtindo wowote wa nywele au kama Si mpenzi wa kusuka Ataenda salon au mafuta ya kulainisha nywele au vyovyote jua Budget yake MPE au muongezee.Pia jari muonekano wake kwa mavazi mafuta ya kupaka vitu kama perfume ,lotion, Viatu Japo Sio lazima iwe kila mwezi.Je Viatu vya kazini vimeisha au Kuna ulazima Nunua..Pia Nguo Hata za mitumba zipo kwa Mara chache.Onyesha careness.
2.Kauli ..kuwa NA lugha ya ushawishi penda jokes sometimes penda kuupuuzia baadhi ya mambo Sio kila kitu ukishadadiee.Muelewe mpenzi wako .Pia Ni vizuri kujua weakness NA strengh za mke/ mpenzi wako itasaidia kupunguza misuguano isiyo ya lazima.
3.Mfanye awe Malkia wa Dunia yako..Mfano mnatoka mkiwa NA Usafiri wenu asijifungulia Gari..nenda upande wa Siti yake mfungulie akae.Halikadhalika mtakapoenda kaa kama Ni Sehemu ya kustarehe akae Yeye kwanza Yaani Lady First.!!
4.Wai kurudi Nyumbani..ukichelewa au.kama utapitia mahali just let her know..Mfanye aone Yeye Ndo kila kitu.NA Watu wanaowazunguka watambue hivyo kwa kuona matendo.
5.Jari hisia zake..Mfano ana lalamiko mwache aongeeee yote MPE ushauri Kuna mahali kakosea usimfokee mbele za watu nenda naye Chumbani mkanye muonye Huyo Ni Mtoto wako wa kwanza.Ukimkanya kwa Upendo Ataona Aibu NA Atajirekebisha tu.
Sasa Ninyi Wanaume huwa mnapuuza yote hayoo au huwa mnayafanya kwa kipindi cha chumba au Mwanzo wa mapenzi.Hali inayopelekea Mwanaume mwingine kuingilia Kati NA kuwamegea VITUMBUA vyenu.Mnaanza kuapiza kuua sijui Visasi.Kumbe Makosa.mnayafanya ninyi.Believe me or not..mwanamke ana hulka ya Asili Asipojaliwa Ni Rahisi sana Kurubunika Msela wa Mtaa au mpuuzi mjinga mjinga mmoja anaweza Akammega mpenzi wako au mkeo wa Nywele tu ya Elfu 40.Kumbe ungejua Budget yake ukaokoa Mali zako zisichezewe.Wapo wabishi but jueni kwa Ununda wenu Kwa kujifanya kwenu Wabahili wapenzi wenu Mnao Lakini wanamegwa Daily na Hamtajuaaaa!!!kwa kuwasaidia nimewapa Hints za Kuepusha hayo Majanga.Amini usiamini Wanaume wengi huchangia Mwanamke kuchange Tabia na kuamua Liwalo na liwe.Badilikeni iyo itafanya positive Behavior itokee upande wa pili.Una wivu huku hujui kutake Care???Just Change guys.You have that power!!!

Ukiona mwanamke wako anakusaliti kwa sababu ety humfungulii mlango wa gari.....kimbia haraka sana hapo!, mkuu hayo nimaigizo ya korea au USA!!!
 
Hahaha kuna viumbe wazito duniani

Teh Job application

Vigumu kwao, kwetu virahisi

Mmmh selfish kidogo basi. Wao tu ndo wa kufanyiwa mazuri. utasikia saa 11 amka sijui umfanyaje, akirudi mvue soksi, mpe massage, akipumzika mbebe mgongoni blah blah blah mtcheew, utadhani ni walemavu

Na me nta-share Kwa kweli. Chris anajenga sana mahusiano kama unamfatilia. Kuna mwanamke asiyependa kuwa appreciated, apewe attention + affection? etc
Mecheka gafla...
 
Hahaha kuna viumbe wazito duniani

Teh Job application

Vigumu kwao, kwetu virahisi

Mmmh selfish kidogo basi. Wao tu ndo wa kufanyiwa mazuri. utasikia saa 11 amka sijui umfanyaje, akirudi mvue soksi, mpe massage, akipumzika mbebe mgongoni blah blah blah mtcheew, utadhani ni walemavu

Na me nta-share Kwa kweli. Chris anajenga sana mahusiano kama unamfatilia. Kuna mwanamke asiyependa kuwa appreciated, apewe attention + affection? etc
Alafu nimekuja kugundua wanaume ndio hawampendi chriss maana huwa anawaambia ukweli mchungu. Hawa wenzetu hawataki kuambiwa ni malaika ukumbuke. Mbona Chriss hutoa post za pande zote? Why hawasemi akiongelea na wanawake!!
 
Alafu nimekuja kugundua wanaume ndio hawampendi chriss maana huwa anawaambia ukweli mchungu. Hawa wenzetu hawataki kuambiwa ni malaika ukumbuke. Mbona Chriss hutoa post za pande zote? Why hawasemi akiongelea na wanawake!!
Mmmh hawa kina mfalme mswati wanatakaga mambo ya kumfanyia mkewe? Na hivi kuolewa ni favor hehe. Japo ndoa zote zina changamoto hatujui ya ndani mwao, ila Chris na mkewe aah mwaah
 
Back
Top Bottom