Wanaume huwa mnakosea hapa!

Wanaume huwa mnakosea hapa!

Mmmh hawa kina mfalme mswati wanatakaga mambo ya kumfanyia mkewe? Na hivi kuolewa ni favor hehe. Japo ndoa zote zina changamoto hatujui ya ndnai, ila Chris Na mkewe aah mwaah
Tena big mwaaaaah! Unajua mamii wengi tunapenda kujifunza kwa walioshindwa, na tunataka tushuhudie mabaya tu. Mtu akiona kwakwe kunaungua ana-assume na kwa wenzie ni vivyo hivyo. Akiona watu sanafuraha utasikia 'wanapretend' just kwakuwa yeye hana furaha.

Haya mambo yanawezekana basi tu watu vichwa vimejaa ubinafsi,kutojitambua,ujuaji usio na maana na kujiendekeza tu.
 
Hayo mambo waachie kina kujumpyo, kibongo bongo hamna wa kufanya yote hayo kama unabembeleza ufalme wa mbingu.
 
Nadhani wanaume kamili hatuendeshwi na mawazo ya kike. Ukitaka uishi kwa pressure fuata huo ushauri utajuta,,,,OVA
 
Tena big mwaaaaah! Unajua mamii wengi tunapenda kujifunza kwa walioshindwa, na tunataka tushuhudie mabaya tu. Mtu akiona kwakwe kunaungua ana-assume na kwa wenzie ni vivyo hivyo. Akiona watu sanafuraha utasikia 'wanapretend' just kwakuwa yeye hana furaha.

Haya mambo yanawezekana basi tu watu vichwa vimejaa ubinafsi,kutojitambua,ujuaji usio na maana na kujiendekeza tu.
Haha nimechekajeee.

Ila kweli unategemea nini kama unajifunza mabaya kwa failures? Na wewe utafail tu

Binadamu tunaishi na machungu moyoni, tumejikatia tamaa hadi huruma. Ukisikia mtu kapatwa na mabaya, roho yako kwatuuuu "bora tupatwe wengi" mweee
 
Maisha ni tofauti na mnavyofikiria.tena naweza sema wengi kama si wote wanawake mnaochangia hapa hamko katika ndoa. Nawashauri muwaulize wenzenu walioolewa maisha ya ndoa yakoje.
 
Maisha ni tofauti na mnavyofikiria.tena naweza sema wengi kama si wote wanawake mnaochangia hapa hamko katika ndoa. Nawashauri muwaulize wenzenu walioolewa maisha ya ndoa yakoje.
Kwahiyo maisha yako kama nani anavyofikiria?
Maisha ya ndoa yanajengwa na nani?
 
Maisha ni tofauti na mnavyofikiria.tena naweza sema wengi kama si wote wanawake mnaochangia hapa hamko katika ndoa. Nawashauri muwaulize wenzenu walioolewa maisha ya ndoa yakoje.
Kwani kuna SI unit ya ndoa, kwamba lazima wote muishi kwa style fulani?

Huko ndoani ndo hamjali wake zenu? Kuwa na kauli nzuri kwa mkeo ni kitu kisichowezekana; kitakucost maisha? Just because hamuwafanyii wake zenu vitu fulani na fact kwamba hawalalamiki; doesn't mean kwamba hawatamani kufanyiwa mambo amazing. Kuna binadamu asopenda Kuwa spoiled, kupewa mahaba mazito mazito? Muachage huo u-alpha male

Alafu kwa wake zenu ndo mnalalamikaa wee, subiri mnavyojituma kwa michepuko sasa. Mnanishangaza mnoo ( teh sijakusema wewe though)
 
Achepuke tu hakuna wa kufanya upuuzi wote huo eti kumfungulia mlango wa gari duuuh!!
 
Kwani kuna SI unit ya ndoa, kwamba lazima wote muishi kwa style fulani?

Huko ndoani ndo hamjali wake zenu? Kuwa na kauli nzuri kwa mkeo ni kitu kisichowezekana; kitakucost maisha? Just because hamuwafanyii wake zenu vitu fulani na fact kwamba hawalalamiki; doesn't mean kwamba hawatamani kufanyiwa mambo amazing. Kuna binadamu asopenda Kuwa spoiled, kupewa mahaba mazito mazito? Muachage huo u-alpha male

Alafu kwa wake zenu ndo mnalalamikaa wee, subiri mnavyojituma kwa michepuko sasa. Mnanishangaza mnoo ( teh sijakusema wewe though)
Nashukuru umemaliza dota!! Kumbe kuolewa ni utumwa!! Maana nimeona naulizwa hapo 'umeolewa'!! Nikabaki najiuliza kumbe ndoa ndio balaa hivi!! Kuwa spoilled utakusikia tu redioni!

Na aje tu atupe hiyo SI Unit ya ndoa ili tujiandae kisaikolojia kabisa!!
 
Kwani kuna SI unit ya ndoa, kwamba lazima wote muishi kwa style fulani?

Huko ndoani ndo hamjali wake zenu? Kuwa na kauli nzuri kwa mkeo ni kitu kisichowezekana; kitakucost maisha? Just because hamuwafanyii wake zenu vitu fulani na fact kwamba hawalalamiki; doesn't mean kwamba hawatamani kufanyiwa mambo amazing. Kuna binadamu asopenda Kuwa spoiled, kupewa mahaba mazito mazito? Muachage huo u-alpha male

Alafu kwa wake zenu ndo mnalalamikaa wee, subiri mnavyojituma kwa michepuko sasa. Mnanishangaza mnoo ( teh sijakusema wewe though)
HS umeongea maneno mazito sana.lakini labda nikwambie kwamba katika ndoa wapo wanaofurahia na wapo wanachukizwa kutokana na cultural backgrounds. Ndoa zinaendandana na desturi ,mila, utamaduni,dini na mengi kama hayo. Inawezekana wewe ukaona nakunyanyasa lakini kwa mwenzio akaona ni sawa. Otherwise masuala mengine ni mambo ya kawaida tu hata wanawake huyafanya na waume tukanyamaza kimya.lakini haimaanishi kuwa tunanyanyasika Bali tunatapuuzia.kuepusha migogoro zaidi.
 
Tunajeruhi kwa sababu sisi(wanaume) ndo watoa mahari na kumpendezesha mke
 
HS umeongea maneno mazito sana.lakini labda nikwambie kwamba katika ndoa wapo wanaofurahia na wapo wanachukizwa kutokana na cultural backgrounds. Ndoa zinaendandana na desturi ,mila, utamaduni,dini na mengi kama hayo. Inawezekana wewe ukaona nakunyanyasa lakini kwa mwenzio akaona ni sawa. Otherwise masuala mengine ni mambo ya kawaida tu hata wanawake huyafanya na waume tukanyamaza kimya.lakini haimaanishi kuwa tunanyanyasika Bali tunatapuuzia.kuepusha migogoro zaidi.
Me naamini kwenye mahusiano hakunaga ku "complete" each other, bali kuna ku "balance". Mmezaliwa tofauti, mmelelewa tofauti, mmekuwa exposed kwenye mazingira tofauti na baada ya kujitambua, kila mtu alifanya choices zake, so sitegemei watu mfananane kwa kila kitu. Sasa kwenye mahusiano lazima ujifunze kusacrifice, lazima ujifunze kucompromise, lazima ujifunze "kumbebea" mwenzako mapungufu yake. Kwa sababu tuna backgrounds tofauti, doesn't mean kila mtu astick na background yake. Kuna baadhi ya vitu lazima uvibadilishe ili muende sawa na mahusiano yenu. Ukiona haka kakitu kataboresha mahusiano yetu, si unaka-adapt tu, kama si kitu kibaya wala cha kuzidi uwezo wako. Yes kuna vitu me naweza nikawa napenda mwenzangu anifanyie, ila yeye havifanyi maybe. Sitolalamika au kununa maybe, but it doesn't change the fact kwamba navitamani na nikifanyiwa kwa kweli tumahaba tutanoga zaidi tu lol. Kwenu hamna background ya kusema "Ahsante", mkeo hatopigana usipomwambia "Ahsante", Ila ukijifunza kumwambia "Ahsante", utaona mwenyewe mambo yatakavyonoga zaidi

Tatizo imekuwa kama mahusiano ni ya mwanamke tu. Kila siku mwanamke mfanyie hili mumeo, mfanyie lile. Hivi jamani ndoa ni efforts za mwanamke peke yake? Mwanaume hana cha kumfanyia mkewe? Sisi hatupendi kuwa spoiled? Me ni muumini mzuri wa team work, kila mmoja ajitahidi kufanya chochote anachoweza as long as anaona kitaboresha mahusiano yake. Wapeni mahaba wake zenu jamani, maisha ndo haya haya eti lol
 
Nashukuru umemaliza dota!! Kumbe kuolewa ni utumwa!! Maana nimeona naulizwa hapo 'umeolewa'!! Nikabaki najiuliza kumbe ndoa ndio balaa hivi!! Kuwa spoilled utakusikia tu redioni!

Na aje tu atupe hiyo SI Unit ya ndoa ili tujiandae kisaikolojia kabisa!!
Weekend nahamishia zubeda langu kwa benny, after six months ntakuwa nimeshaolewa tayari, ntachangia comments vizuri sasa lol. Sitaki ujinga mimi, si anajifanya hataki kuja home teh

Honestly sielewagi mtu akiniuliza "umeolewa" kwa sababu ya comment yangu. Hakuna formula ya mahusiano kwamba wote mtaishi kwa style fulani ndoani. Hatujaolewa yes, but ndo tunajenga misingi ya ndoa zetu now. Hatuwezi kuyajua ya ndoani yote kwa sababu hatupo kwenye hizo ndoa, but na sisi tuna mahusiano tunayoyaendesha kwa style yetu. Na ndo msingi wa ndoa zetu hapo baadaye. Plus tumezungukwa na wanandoa, kuna vitu vizuri ambavyo wanavifanya, so sidhani kama hatuna haki ya kumshauri mtu fanya hivi simply because hatuna ndoa

Teh ukisoma baadhi ya comments humu, unaweza kukata tamaa ya ndoa kabisa, maana it's as if ni utumwa. But hatuna sababu ya kuogopa wala kukata tamaa, coz tuna uwezo wa kutengeneza aina za ndoa tunazozihitaji sisi. So far hatutolazimishwa kuishi kama wanandoa wengine wanavyoishi.
 
Back
Top Bottom