Ndo tatizo lenu wengi, mnashindwa kufanya vitu kwa ajili ya kuboresha mahusiano yenu kisa majirani wataniona bwege. Ulioa kuwaimpress majirani zako au uliwaolea wao? Mkiwa vijiweni mnajitutumua "me mwanamke siwezi kumfanyia hiki", mnatiana maujinga wee while kila mtu akirudi kwake ana style yake ya maisha. Ukiwa zwazwa utashangaa kila siku Ndoa yako inaendelea kujifia, afu mwenzio mnayedanganyana yupo busy na mkewe wanacheka. Mwanaume mjinga. .............Kwenye kumfungulia mlango hapo ndio balaa linapoanzia mtaani utaitwa mme bwege
Aongezee la mwisho kabisa kumwabudu, kumsujudia kila siku, jua linapo chomoza na kuzama...Nashukuru kwa namba moja.
Natamani kumalizia hapo ila naogopa ban!!Ndo tatizo lenu wengi, mnashindwa kufanya vitu kwa ajili ya kuboresha mahusiano yenu kisa majirani wataniona bwege. Ulioa kuwaimpress majirani zako au uliwaolea wao? Mkiwa vijiweni mnajitutumua "me mwanamke siwezi kumfanyia hiki", mnatiana maujinga wee while kila mtu akirudi kwake ana style yake ya maisha. Ukiwa zwazwa utashangaa kila siku Ndoa yako inaendelea kujifia, afu mwenzio mnayedanganyana yupo busy na mkewe wanacheka. Mwanaume mjinga. .............
Hahaaaa!! Hayo tu yamewatoka hatari, ukiongezea watazimia kabisa!A
Aongezee la mwisho kabisa kumwabudu, kumsujudia kila siku, jua linapo chomoza na kuzama...
Malizia tu, hiyo ban tutagawana lolNatamani kumalizia hapo ila naogopa ban!!
Ben angekuwa mod ningemalizia.Malizia tu, hiyo ban tutagawana lol
Teh usimtaje sana mkweo bana, kiroho kimeshaanza kunidunda hapaBen angekuwa mod ningemalizia.
Sasa usipofunguliwa mlango ndio upunguze mapenzi kwa mume wako...na ndoa iyumbe??? Uvichwa maji huo...mwanamke anapaswa kuwa na hekima,asipokuwa na hekima..hata akifanyiwa hayo kazi bure...usidanganyike...tafuta hekima..usitafute kudekezwa hivyo..hivyo ni vitu vya ziada na vidogi vidogo tu..msingi ni hekimaNdo tatizo lenu wengi, mnashindwa kufanya vitu kwa ajili ya kuboresha mahusiano yenu kisa majirani wataniona bwege. Ulioa kuwaimpress majirani zako au uliwaolea wao? Mkiwa vijiweni mnajitutumua "me mwanamke siwezi kumfanyia hiki", mnatiana maujinga wee while kila mtu akirudi kwake ana style yake ya maisha. Ukiwa zwazwa utashangaa kila siku Ndoa yako inaendelea kujifia, afu mwenzio mnayedanganyana yupo busy na mkewe wanacheka. Mwanaume mjinga. .............
Wewe naweee. Umesoma ukanielewa vizuri? Uliona kuna mtu anapigana kisa hajafunguliwa mlango? Na Ukimfungulia mlango mkeo unapungukiwa na nguvu za kiume au? Kwa michepuko tunawaonaga mnavyokuwa mnajitutumua kama mmepewa kinyama cha nanhii vileSasa usipofunguliwa mlango ndio upunguze mapenzi kwa mume wako...na ndoa iyumbe??? Uvichwa maji huo...mwanamke anapaswa kuwa na hekima,asipokuwa na hekima..hata akifanyiwa hayo kazi bure...usidanganyike...tafuta hekima..usitafute kudekezwa hivyo..hivyo ni vitu vya ziada na vidogi vidogo tu..msingi ni hekima
Unaonaje na wewe ukamfungulia mmeo..mbona na yeye atafurahi tu.Wewe naweee. Umesoma ukanielewa vizuri? Uliona kuna mtu anapigana kisa hajafunguliwa mlango? Na Ukimfungulia mlango mkeo unapungukiwa na nguvu au? Kwa michepuko tunawaonaga mnavyokuwa mnajitutumua kama mmepewa kinyama cha nanhii vile
Hivyo vitu vidogo vidogo vya kipuuzi ndo vinavyonogesha mahusiano sasa. Ujifunze ukaanze kumfanyia mkeo na wewe
#Littlethingsmatterthemost#
Teh me na mume wangu Benny tunajulikana humu kwa ufilipino. Mahaba yetu sio ya ulimwengu huu, yani sio ya sport sport. Sasa zile raha nazopata ndo nawish na wenzangu nao wazipate, sinaga roho mbaya me, kizuri nakula na wenzangu. So please, em anza Leo kumfanyia mkeo mambo fulani hivi amazing, sawa? Mke ni mwili mwako, em ujali mwili wako basiUnaonaje na wewe ukamfungulia mmeo..mbona na yeye atafurahi tu.
Hahahaaaa!! Dota nakugawa!Wewe naweee. Umesoma ukanielewa vizuri? Uliona kuna mtu anapigana kisa hajafunguliwa mlango? Na Ukimfungulia mlango mkeo unapungukiwa na nguvu za kiume au? Kwa michepuko tunawaonaga mnavyokuwa mnajitutumua kama mmepewa kinyama cha nanhii vile
Hivyo vitu vidogo vidogo vya kipuuzi ndo vinavyonogesha mahusiano sasa. Ujifunze ukaanze kumfanyia mkeo na wewe. Kwa hiyo ukiwa na hekima ndo unakuwa hupendi kudekezwa? Na me nakupa hekima mpya Leo, mspoil mkeo kadri uwezavyo, sawa?
#Littlethingsmatterthemost#
Mme ni mwili wa mke pia...mfanyie na wewe pia..na yeye anataka hiyo care..na uzuri ni kwamba ukimfanyia yeye once,yeye atakufanyia twice...you are the queen and He is the King...you want him to be your servant...be servants to each other...sio mnalilia hapa wakati hamufanyii waume au wapenzi wenu yale mnayotaka kufanyiwa na wao.Teh me na mume wangu Benny tunajulikana humu kwa ufilipino. Mahaba yetu sio ya ulimwengu huu, yani sio ya sport sport. Sasa zile raha nazopata ndo nawish na wenzangu nao wazipate, sinaga roho mbaya me, kizuri nakula na wenzangu. So please, em anza Leo kumfanyia mkeo mambo fulani hivi amazing, sawa? Mke ni mwili mwako, em ujali mwili wako basi
Huyu dogo kilaaaaa kitu anataka haki sawa na wanawake, imebaki aombe kunaniliwa tu!!Teh me na mume wangu Benny tunajulikana humu kwa ufilipino. Mahaba yetu sio ya ulimwengu huu, yani sio ya sport sport. Sasa zile raha nazopata ndo nawish na wenzangu nao wazipate, sinaga roho mbaya me, kizuri nakula na wenzangu. So please, em anza Leo kumfanyia mkeo mambo fulani hivi amazing, sawa? Mke ni mwili mwako, em ujali mwili wako basi