Wanaume: Hivi kwanini hatuwasifii wake zetu?

Wanaume: Hivi kwanini hatuwasifii wake zetu?

Mimi wa kwangu ni mtamu zaidi ya asali sasa nikukute kiunoni mwake nakutengua kiuno hicho utambae kama nyoka

Nitonye hapa
 
Siwezi kuuza ramani ya vita kwa wapinzani, neva eva😕
 
​Ushasema mke,yule ni mke siyo kicheche.......ana heshima yake ambayo ni kubwa sana....
 
" unasema nini wewee mke wamwenzio ndio mtamu" by Gidasaida Gisurumbu
 
wewe umevunja watu mbavu, nadhani ulitaka kuchekesha tu
 
Mwanaume anayeongelea s** na wenzake kwenye pombe au kokote kama masumulizi ya kuongea tu huyo hampendi na hamueshimu mkewe.
 
Mimi my wife wangu, huwa ananiacha hoi sana, sometimes nafikiria kuchepuka.... Yaani nikizama tu, viuno viwili, vitatu anafika kwenye peak, baada ya hapo hataki kuendelea tena.... Ukimlazimisha analia kabisa..... hii hali imenichosha sasa
 
Kwa nini mkuu?

kaangali kwenye kamusi ---- neno demu............

Mke ana heshima yake..... kamwe huwezi tangaza utamu au machine ya mkeo inavyonyumbua uume wako..... but kusema huyo DEMU nshagonga,,, nikajaribu kuingia uvinza,,, hiyo harufu ya kojooo... ila nnato mbaya.....

hapo utanielewa bana hekimatele
 
Wangu mtamu ndo mana anafanya kuwa mke wa mtu ni mtamuuuuuu
 
Baada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhan nitakuja na post inayochambua umri, iq, exposure na hata mwonekano wa nje wa kila member wa jf aliyetuma au aliyechangia post yake......

Mtoa mada endelea kufunguka niweze kuconfirm hayo niliyoyataja hapo juu.

Ifike mahala redet na kina dr. Bana waje hapa jf kuchukua data za kwanini taifa letu haliendelei na shilingi inaporomoka kila uchao.
 
Back
Top Bottom