Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,056
Wanaume inabidi muelewe tu kwamba kwa mnachokipanda kina mavuno,na mabinti tubadilike swala la kubeba au kutobeba mimba ni jukumu lako,na kama mwayaoogopa yote hayo ni bora kuacha uzinzi.
Mungu akubariki sana Dada yangu..sana yaani tena sana.
Heri ya mwaka mpya.