Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
nashangaa....
Achana nae...nakupenda sana binamu yangu
nashangaa....
Achana nae...nakupenda sana binamu yangu
Mpaka sasa keshasahau
Mtoa mada nakushauri uangalie vipindi vya JEREMY KYLE SHOW, MAURY SHOW na TRISHA SHOW ingia youtube na andika hayo majina utaona maajabu ya dunia ndio utajua ulichokiandika ni ujinga...wanawake siku hizi sio wakuwaamini kabisa aisee...kuna case mwanamke anaenda kupima DNA mpaka na wanaume 7 na wote inaonekana sio baba halisi wa mtoto...sasa hapo unajiuliza inamaana alitembea na wanaume wangapi..angalia hivyo vipindi uone maajabu na uchafu wa wanawake walio kwenye ndoa na walio nje ya ndoa...SIO RAHISI MWANAUME KUKUBALI TU MIMBA AU MTOTO KTK KARNE HII BILA KUHAKIKI.
Mpwa mie wa kwangu nimeshamchukua na sijawahi kumkataa! Watoto hawa wanakuaga na sifa moja mbaya, kufanana sana sana na baba zao na wanazidi kufanana pale inapoonekana dalili ya wewe kumkataa. Mungu anakuumbua kabisaaaa
Hazina madhara....??
Heri ya mwaka mpya mtumishi...! Mekumithi..!
Asante mtumishi heri ya mwaka mpya. Mekumithije na mie... new year resolution yangu ni kuchepuka nawe jiandae!
Ahsante, lakini unapaswa kuizungumza kwa kuwa watoto nao wanapaswa kujifunza....Mkuu nadhani dawa nyingi zina madhara ikiwemo hata hizo contraceptives za kawaida. Hii morning after pill ni emergency contraceptive na hushauriwi kuinywa kila wakati coz ina interfere na mzunguko wa mwezi wa mwanamke. Ila madhara yake yatazidi yale ya kutoa mimba? Dawa hii pia anapewa mtu aliyekuwa raped kwa kuwa ina chance kubwa ya kuzuia mimba if taken mapema. Sitaki kuiongelea sana watoto wanaopita pita humu wasijekwenda kujaribu bure