Wanaume hii ni Yenu

Wanaume hii ni Yenu

Wanaume inabidi muelewe tu kwamba kwa mnachokipanda kina mavunona mabinti tubadilike swala la kubeba au kutobeba mimba ni jukumu lako,na kama mwayaoogopa yote hayo ni bora kuacha uzinzi.


Hapa umeongea jambo la msingi sana, jukumu la kubeba au kutobeba mimba linabaki kuwa la mwanamke 100%. Wengine mnakutana once kwa wiki..mimi ndio nianze kuhesabu siku zako..!??
 
Halafu huyu mtoto amekua rafiki yangu balaa. Hua naweza kwamba bila yeye maisha yangu leo yangekuaje!! Ila nikipata mwingine aaaggh si mbaya sana

fanya fanya apate mdogo wake sooni lol kidding
 
Hii inawahusu wavulana, wanaume hatuhusiki hapa.

Sio kila mwanaume ana akili za kiuanaume, wengine bado wana akili za kivulana. Kila mtu ana siri yake moyoni, usimsemee mwingine.
 
Kama alitoa mimba yangu nikaombe radhi wapi? Kwanini alikubali kutoa? Ni maswali ya challenge tu simaanishi mimi ni mhusika
 
Hakuna bahati mbaya hiyo kwanza futa, pili jukumu la mimba ni lake mwanamke. Yeye ndo anaujua mwili wake zaid kuliko mimi na mwsho wa siku KAMA ANAOGOPA MIMBA AACHE UZINZI. nukta
 
Sio kila mwanaume ana akili za kiuanaume, wengine bado wana akili za kivulana. Kila mtu ana siri yake moyoni, usimsemee mwingine.


Pole kwa matatizo yaliyokupata maana umenena kwa hisia sana
 
Sio kila mwanaume ana akili za kiuanaume, wengine bado wana akili za kivulana. Kila mtu ana siri yake moyoni, usimsemee mwingine.

Unajichanganya mwenyewe, si kila mwenye dushe ni mwanaume wengine ni wavulana na ndio walengwa wa mada hii.

Mwanaume kamili ana sifa zake siyo umri tu, Baba yetu Le Mutuz ni mfano hai kabisa kwamba yeye anaupenda uvulana gape ya miaka ni nyinyi ndio mnaiona.
 
Hakuna bahati mbaya hiyo kwanza futa, pili jukumu la mimba ni lake mwanamke. Yeye ndo anaujua mwili wake zaid kuliko mimi na mwsho wa siku KAMA ANAOGOPA MIMBA AACHE UZINZI. nukta

Aache au waache????? Huo uzinzi mwanamke anafanya mwenyewe????
 
Anaekataa mimba na mtoto hata kama binti yuko tayari for DNA(maana kubambikwa kupo pia) bhasi huyo mtoe kwenye uanaume...huyo ni mvulana....a man hawezi kataa damu yake...
Narudia tena a real man hawezi kataa damu yake.
Binafsi sipendi mtoto wa kabla ya ndoa,so siwezi mtafta at any cost..lakini kama binti akinichezea faulo(maana anaweza) na akabeba mimba,na nikahakikisha mimba na mtoto ni wangu,then sitokuwa na sababu ya kumkataa mtoto.
 
Unajichanganya mwenyewe, si kila mwenye dushe ni mwanaume wengine ni wavulana na ndio walengwa wa mada hii.

Mwanaume kamili ana sifa zake siyo umri tu, Baba yetu Le Mutuz ni mfano hai kabisa kwamba yeye anaupenda uvulana gape ya miaka ni nyinyi ndio mnaiona.

Labda Mimi sielewi mwanaume ni yupi na mvulana ni yupi???? Nataka kujua utofauti wao Mkuu.
 
Sidhani kama kuna watu huwa wanapenda kubeba mimba kabla ya ndoa (siwazungumzii wale wanaohitaji watoto tu ila kuolewa hawataki). Inapokuwa imetokea si vizuri kutwishana mizigo na kusukumiana makosa....wanaume huwa mnakimbilia kusema kwa nini mdada kakubali kubeba mimba,hayuko makini. Well mimi naweza kuwa makini na siku zangu lakini jamani semeni ukweli huwa mnaelewa??? When it comes to sex wanaume ninyi akili huwa zinahama ila akili zikisharudi mnajifanya kuwapondea watoto wa watu.

Kwann kama Mdada usitumie njia salama za kuzuia mimba ambazo ni natural na hazina side effects?????? Najua mwazijua.
 
Back
Top Bottom