Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,484
sijui ubaya au uzuri sina mtoto wala sijawahi kukataa mimba wala kushawishi kutoa mimba na sitafanya hiyo kitu
Wewe ni Diamond?Kwi kwi kwi!!Just kidding!
sijui ubaya au uzuri sina mtoto wala sijawahi kukataa mimba wala kushawishi kutoa mimba na sitafanya hiyo kitu
Nahatitihati amkuvua wenyewe,,,kama wanavuana hiyo bahatinkemaaka njema so hat matokeo nayo ni barakaWakati mwingine hutokea bahati mbaya, hapo ndio moto unawaka, la muhimu kuwa tayari kwa lolote kila jambo lina faida na madhara.
miss neddy mie simo katika hilo kundi. Wangu siwezi kumuacha coz yupo na damu yangu aisee...after all siwezi kulala na mtu ambae mambo yakiharibika nitamkataa..! Kifupi, silali na mwanamke ovyo ovyo....! Ujana umenifunza mengi..!
Akifanqna na babuyako??Mimba ndio tunazikataa ila mtoto akishazaliwa tu na akiwa amefanana na mim ndo namkubali
hongera sana mpwa kwanza ukikataa mtoto unajikosesha baraka
nn unaguna?
Wakati mwingine hutokea bahati mbaya, hapo ndio moto unawaka, la muhimu kuwa tayari kwa lolote kila jambo lina faida na madhara.
miss neddy mie simo katika hilo kundi. Wangu siwezi kumuacha coz yupo na damu yangu aisee...after all siwezi kulala na mtu ambae mambo yakiharibika nitamkataa..! Kifupi, silali na mwanamke ovyo ovyo....! Ujana umenifunza mengi..!
Naona ameandika kichina kichina tu, sielewi au kwavile mimi sio wa hivyo?
hahaa sio kichina umeshawahi kukana your own blood?
Kwa % kubwa nyie ndio wa kulaumiwa. Mtu ameshakuambia hataki mtoto, wewe unaishi na wazazi au pekeyo lakini unajipeleka kulalwa siku za ovyulesheni... Kwa nini usimuambie ni siku ya hatari? Kwa nini msitumie kinga? Kwa nini usikae home hadi siku unajua Leo hata akiingia peku upo sawa?
Haijawahi kutokea...na sina hio plan
hilo si kosa la vijana wa kiume tu bali wote na wa kike. Kama wa kike ukiwa na msimamo thabiti kwa nini usikatae kubeba mimba bila plani. Kama ikitokea si vema kuikataa au kukataa mtoto lakini ni vema wapendanao wote busara ikawaongoza kuepuka kupata mimba za namna hii nje ya ndoa
Hii inawahusu wavulana, wanaume hatuhusiki hapa.
Mwingine anakuwa hawamuamini msichana aliyenaye kama ana mpenzi mmoja hivyo kuhisi vile mimba sio yake