Wanaume: hii ni tabia mbaya, na ni uchafu!

Wanaume: hii ni tabia mbaya, na ni uchafu!

Teamo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2009
Posts
12,271
Reaction score
1,065
samahani kidogo kwa kutumia lugha kali............
lakini naomba tuelezane ''ukweli''.hoja ya kwamba infidelity is there to stay NAIKUBALI SANA......

lakini kuna hili swala la mwanaume kutoka ''guest-house'':
1-bila kuoga
2-unarudi nyumbani fasta halafu unalazimisha au unapewa mtoto mchanga um-bebe!

wakuu,
hii kitu naomba tuiavoid sana maanake WATOTO WANAIMMUNITIES AMBAZO ZIPO CHINI SANA!ile harufu tu ya mashuka ya gest,harufu ya ile habari,na harufu ya ile nyingine ile vyote ni TATIZO KUBWA SANA KWA WATOTO WETU WACHANGA!
 
hapo mtoto mchanga ni wa mpaka siku ngapi?


na jee kama katoka kufanya tendo na mkewe ............asimbebe mtoto wake kama analia kwa kuwa amefanya ile kitu? na mama jee? aoge saa zote ndo abebe mtoto?
 
Kitendo tu cha kuoga mara moja kutwa ni uchafu smembuse ukiwa umepitia kona..........
 
ushapata cases za mtoto kuumwa sababu alishikwa na babake aliyetoka guest nini?

mnh Teamo wa leo,i doubt kama hajaja na mahangover?:tape:
 
samahani kidogo kwa kutumia lugha kali............
Lakini naomba tuelezane ''ukweli''.hoja ya kwamba infidelity is there to stay naikubali sana......

Lakini kuna hili swala la mwanaume kutoka ''guest-house'':
1-bila kuoga
2-unarudi nyumbani fasta halafu unalazimisha au unapewa mtoto mchanga um-bebe!

Wakuu,
hii kitu naomba tuiavoid sana maanake watoto wanaimmunities ambazo zipo chini sana!ile harufu tu ya mashuka ya gest,harufu ya ile habari,na harufu ya ile nyingine ile vyote ni tatizo kubwa sana kwa watoto wetu wachanga!

kuna infant 0-2 yrschildren 2-12yupi kati yao
 
samahani kidogo kwa kutumia lugha kali............
Lakini naomba tuelezane ''ukweli''.hoja ya kwamba infidelity is there to stay naikubali sana......

Lakini kuna hili swala la mwanaume kutoka ''guest-house'':
1-bila kuoga
2-unarudi nyumbani fasta halafu unalazimisha au unapewa mtoto mchanga um-bebe!

Wakuu,
hii kitu naomba tuiavoid sana maanake watoto wanaimmunities ambazo zipo chini sana!ile harufu tu ya mashuka ya gest,harufu ya ile habari,na harufu ya ile nyingine ile vyote ni tatizo kubwa sana kwa watoto wetu wachanga!

mkuu umeongelea guest tukuna mabasi tunapanda watu wanajmba kuanzia moroco mpaka mwenge tunaishia kushuka na harufu ya pekee na hili utatusaidiaje tuoge kwanza ama??maana kuna fvitoto vyetu vingine ukiwa getini vinakukimbilia kama nini aa na wewe unavikwepa huku unarudi kinyume nyume mpaka ****** ...anyway ahsante kwa angalizoila nahisi hii aisaidii sana naomba uwashauri waachane na uzinzi wewe uliezini ukaoga na yule ajaoga wote kaa la moto linawasubiri badala ya kukimbilia maji safisha dhambi zako kwanza
 
hahahahah!
jamani mbona mmekuwa wagumu kuelewa....!
mimi ni daktari wa binadamu na ni bingwa wa magonjwa ya watoto
 
hahahahah!
jamani mbona mmekuwa wagumu kuelewa....!
mimi ni daktari wa binadamu na ni bingwa wa magonjwa ya watoto
hehehe ndio maana taifa limekuwa na mayatima wengi.
 
Analosema Teamo ni kweli jamani teh teh! hasa kwa watoto wachanga
 
siwezi kuwa nimemaliza staarehe na baba watoto ..........mtoto akalia tusimbebe kwa kuwa hatujaoga! hiyo scientifically not proven kuwa ina madhara.

kusema mtu ujitahidi usiwe na vumbi au bacteria na virus kabla ya kumbebe mtoto nakubali sana, ila kwenda speciafically kwenye tendo la ndoa, ambalo ni tendo safi, nakataa
 
siwezi kuwa nimemaliza staarehe na baba watoto ..........mtoto akalia tusimbebe kwa kuwa hatujaoga! hiyo scientifically not proven kuwa ina madhara.

kusema mtu ujitahidi usiwe na vumbi au bacteria na virus kabla ya kumbebe mtoto nakubali sana, ila kwenda speciafically kwenye tendo la ndoa, ambalo ni tendo safi, nakataa
wee mama weweeeeeeee!
mbona unabishana na facts
 
samahani kidogo kwa kutumia lugha kali............
lakini naomba tuelezane ''ukweli''.hoja ya kwamba infidelity is there to stay NAIKUBALI SANA......

lakini kuna hili swala la mwanaume kutoka ''guest-house'':
1-bila kuoga
2-unarudi nyumbani fasta halafu unalazimisha au unapewa mtoto mchanga um-bebe!

wakuu,
hii kitu naomba tuiavoid sana maanake WATOTO WANAIMMUNITIES AMBAZO ZIPO CHINI SANA!ile harufu tu ya mashuka ya gest,harufu ya ile habari,na harufu ya ile nyingine ile vyote ni TATIZO KUBWA SANA KWA WATOTO WETU WACHANGA!

Kumekucha
 
mkuu umeongelea guest tukuna mabasi tunapanda watu wanajmba kuanzia moroco mpaka mwenge tunaishia kushuka na harufu ya pekee na hili utatusaidiaje tuoge kwanza ama??maana kuna fvitoto vyetu vingine ukiwa getini vinakukimbilia kama nini aa na wewe unavikwepa huku unarudi kinyume nyume mpaka ****** ...anyway ahsante kwa angalizoila nahisi hii aisaidii sana naomba uwashauri waachane na uzinzi wewe uliezini ukaoga na yule ajaoga wote kaa la moto linawasubiri badala ya kukimbilia maji safisha dhambi zako kwanza
Samson hapo umenena
 
siwezi kuwa nimemaliza staarehe na baba watoto ..........mtoto akalia tusimbebe kwa kuwa hatujaoga! hiyo scientifically not proven kuwa ina madhara.

kusema mtu ujitahidi usiwe na vumbi au bacteria na virus kabla ya kumbebe mtoto nakubali sana, ila kwenda speciafically kwenye tendo la ndoa, ambalo ni tendo safi, nakataa

Gaijin anachomaanisha Teamo ni wale wanaotoka nje ya ndoa zao kwa mke na mume haina madhara kabisa kwa mtoto, muelewe anachommanisha.
 
mkuu umeongelea guest tukuna mabasi tunapanda watu wanajmba kuanzia moroco mpaka mwenge tunaishia kushuka na harufu ya pekee na hili utatusaidiaje tuoge kwanza ama??maana kuna fvitoto vyetu vingine ukiwa getini vinakukimbilia kama nini aa na wewe unavikwepa huku unarudi kinyume nyume mpaka ****** ...anyway ahsante kwa angalizoila nahisi hii aisaidii sana naomba uwashauri waachane na uzinzi wewe uliezini ukaoga na yule ajaoga wote kaa la moto linawasubiri badala ya kukimbilia maji safisha dhambi zako kwanza
noted!
umenifurahisha sana lakini umeongea UKWELI

sasa basi:
1-swala la watu kuzini/kutozini tumwachie askofu
2-mimi concern yangu ni yule mtoto mdogo ambae unakuja unamnukia na miharufu ya ajabu ajabu!kuna hili swala limekuja hapa hospitalini kwangu MICO-DISPENSARY kwamba jamaa kila akirudi jioni akimbeba mtoto analia sana,na anapata homa za usiku,na anaharisha smtmz.baadae ilinibidi kukaa na mzaqzi mmoja mmoja na kuwahoji...!nilikuja kugundua kitu cha ajabu sana kwa mwanaume........
 
Back
Top Bottom