Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,549
- 6,102
Wadada msishinde kwa wachina kuongeza ukubwa wa sehemu za miili yenu especially makalio.
Sisi wanaume hatutabiriki.
Sisi wanaume hatutabiriki.
Dawa usiwekeze Sana kwa Wanawake,hiyo pesa nyingi nenda kawekeze kwa Kukutunza watoto yatima, Familia yako, Wazazi wako, Wagonjwa mahospitalini,n.k.Mbaya zaidi baada ya miezi 6 unasikia amegongwa na best yako kwa zawadi ya iPhone tu na mdoli!
Ati wewe haukuwa romantic mtu ulielipa usd 15M kununua privat jet ya siku yake ya birthday wakati uko busy na majukumu ya ku replace $ zako.
inasikitisha.Mbaya zaidi baada ya miezi 6 unasikia amegongwa na best yako kwa zawadi ya iPhone tu na mdoli!
Ati wewe haukuwa romantic mtu ulielipa usd 15M kununua privat jet ya siku yake ya birthday😅 wakati uko busy na majukumu ya ku replace $ zako.
Sie tukakae wapi mkuu unataka kutufukuza humu kisa mwanamke?Nina mpango wa kuhonga hii dunia alooo
Mimi huyoNimekuwa inspired ngoja namimi nimfanyie hivyo demu wangu
Namchukua mpaka pale julius nyerere airport akiwa na kitambaa usoni afu namfungua anakutana na twiga wa ATCL
C wengne tukaish wapNina mpango wa kuhonga hii dunia alooo
He....Nimekuwa inspired ngoja namimi nimfanyie hivyo demu wangu
Namchukua mpaka pale julius nyerere airport akiwa na kitambaa usoni afu namfungua anakutana na twiga wa ATCL
Jamaa mbinafsi sana aiseeSie tukakae wapi mkuu unataka kutufukuza humu kisa mwanamke?
Yani ahonge dunia yupo seriaz kweli huyu!?
Haya maisha haya wengine wanaonga elfu hamsini hapo roho inauma kichizi
Wengine 5000 ya nauli na demu hatokei
Wengine wakisikia message my nikwambie kitu wanazima simu
We fala nini, sisi tukaishi wapi!?Nina mpango wa kuhonga hii dunia alooo