Wanaume hatutabiriki

Wanaume hatutabiriki

Mr pianoman

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2019
Posts
2,644
Reaction score
6,466
Wadada msishinde kwa wachina kuongeza ukubwa wa sehemu za miili yenu especially makalio.

Sisi wanaume hatutabiriki.
FB_IMG_1640077649704.jpg
FB_IMG_1640077652976.jpg
 
Mbaya zaidi baada ya miezi 6 unasikia amegongwa na best yako kwa zawadi ya iPhone tu na mdoli!

Ati wewe haukuwa romantic mtu ulielipa usd 15M kununua privat jet ya siku yake ya birthday😅 wakati uko busy na majukumu ya ku replace $ zako.
 
Mbaya zaidi baada ya miezi 6 unasikia amegongwa na best yako kwa zawadi ya iPhone tu na mdoli!

Ati wewe haukuwa romantic mtu ulielipa usd 15M kununua privat jet ya siku yake ya birthday[emoji28] wakati uko busy na majukumu ya ku replace $ zako.
Dawa usiwekeze Sana kwa Wanawake,hiyo pesa nyingi nenda kawekeze kwa Kukutunza watoto yatima, Familia yako, Wazazi wako, Wagonjwa mahospitalini,n.k.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Haya maisha haya wengine wanaonga elfu hamsini hapo roho inauma kichizi


Wengine 5000 ya nauli na demu hatokei


Wengine wakisikia message my nikwambie kitu wanazima simu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na nyie niwape onyo😁 simumeona mwenzenu kapewa jet , kigamboni nawasilimia mtajikuta hampo. Nimehonga.
 
Back
Top Bottom