COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,808
Kwani yakoooo?Nina mpango wa kuhonga hii dunia alooo
Kwani yakoooo?Nina mpango wa kuhonga hii dunia alooo
Mdoli jamanMbaya zaidi baada ya miezi 6 unasikia amegongwa na best yako kwa zawadi ya iPhone tu na mdoli!
Ati wewe haukuwa romantic mtu ulielipa usd 15M kununua privat jet ya siku yake ya birthday wakati uko busy na majukumu ya ku replace $ zako.
Ndo Ile uko zako na mamkwe na mkweo Apo airport mnashuhudia tukio,
Unaskia mama mkwe wako anasema.
"Huyu ndo mwanaume Sasa"
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha roho mbaya ndugu yangu, sisi tuka ishi wapi? ,haya maisha tuNina mpango wa kuhonga hii dunia alooo
Anakutana na kitu cha 'HAPA KAZI TU'Nimekuwa inspired ngoja namimi nimfanyie hivyo demu wangu
Namchukua mpaka pale julius nyerere airport akiwa na kitambaa usoni afu namfungua anakutana na twiga wa ATCL
Kama Mugabe alitaka kuhonga nchi yake!Nina mpango wa kuhonga hii dunia alooo