Wanaume hatuoi ujinga

Wanaume hatuoi ujinga

Bahati mbaya au nzur wewe bwana Huijui ndoa unajilopokea tu kwa Kudhihaki upande wa wanawake ndoa ni zaidi ya mavazi/kujisitiri kwa mtu! Hakuna aliyezaliwa yuko timamu wengi hujifunza kutokana na mahitaji na mienendo ya watu wetu wa karibu na tunaowapenda, binafsi nililelewa kwa Uhuru wa kuvaa ila nilipompata mwenza wangu niligundua kuna vitu hapend nivae na alikuwa muwazi wa kunionyesha kwa vitendo, anakupeleka dukan kila ukichagua vazi lililokinyume na yeye anakataa analiponda kuwa hupendez, kwa kuwa mwanamke anataka kusifiwa na mumewe bila shaka siku hadi siku atakua anavaa vile ambavyo mpenziwe husema amependeza !! La muhimu usimuoe mwanamke mwenye tabia za hovyo japo anajisitiri mpaka ukucha! Usioe mwanamke mbishii,asiye mtii,mwenye kiburi visasi na chuki! Eti kisa ni mzuri au anavaa mavazi uliyoyaandika hapo
Ndoa ni zaidi ya unavyoona wewe, ukimpenda mtu mlete karibu chukua nafasi ya kum shape aendane na matakwa yako
Excellent
 
Wakivaa madera na kujisitiri hamuwataki mnasema wazee oooh washamba sasa jema lipi kwenu wanaume?
We jistiri tu ukivaa nusu uchi tunakuona nauza kifacho ni one ngt stand
 
uzi mzuri STUNTER . kuna ukweli mkubwa ndani ya hili. nashangaa Lady aJ umechachamalia kutetea ujinga.maziwa na makalio sio vitu vya kuonyesha hovyo kila mtu aone.hivyo vitu ni faragha,sasa kama wewe uliolewa pamoja nakuwa unavaa hovyo usipotoshe wengine.ndiyo samataimu utabahatika kupata mwanaume atakae kurekebisha. nikuulize swali moja.kama kweli kuvaa kwa kuonyesha matiti na matako ni sawa je unaweza kwenda kwa wakwe zako ukiwa umevaa hivyo? ukiweza kujijibu hapo mwanamke naamini jibu la uzi huu utakuwa nalo
Tatizo wanajifanya vichaa, lakini ukweli wote wanaujua hao
 
Ni mwerevu ndio maana najitambua sivai onvyo
Basi hukunielewa nilichomaanisha na huyo mumeo ana kazi kubwa sana maana Mmh!
Shortly nilimaanisha kuwa unaweza muoa mtu anajifunika kuanzia kichwan hadi unayoni lakini ni mbishi mgomvi na mtaka Shari, empty brain lakini ukampata mtu ambae ana rekebishika mvaa skin jeans vitopu na vipedo lakini kichwani zimo mwelevu mpenda maendeleo n.k huyu ndio mke pamoja na mapungufu ya mavazi aliyonayo lakini ana rekebishika Mwanaume anaweza akamrekebisha kwa namna yoyote anayoitaka kuanzia mavazi mpaka mambo mengine watu huwa Hawaoi kwa muonekano wanaoa Tabia hasa tabia njema yenye usikivu ndani yake kama mumeo kakuoa kwa kuvaa kwako baibui tu basi jua ana hasara kubwa sana
 
Basi hukunielewa nilichomaanisha na huyo mumeo ana kazi kubwa sana maana Mmh!
Shortly nilimaanisha kuwa unaweza muoa mtu anajifunika kuanzia kichwan hadi unayoni lakini ni mbishi mgomvi na mtaka Shari, empty brain lakini ukampata mtu ambae ana rekebishika mvaa skin jeans vitopu na vipedo lakini kichwani zimo mwelevu mpenda maendeleo n.k huyu ndio mke pamoja na mapungufu ya mavazi aliyonayo lakini ana rekebishika Mwanaume anaweza akamrekebisha kwa namna yoyote anayoitaka kuanzia mavazi mpaka mambo mengine watu huwa Hawaoi kwa muonekano wanaoa Tabia hasa tabia njema yenye usikivu ndani yake kama mumeo kakuoa kwa kuvaa kwako baibui tu basi jua ana hasara kubwa sana
Kwann uvae vimodo huku unakiili kichwani. Vimodo na vitop wanavaa akina nani?
 
uzi mzuri STUNTER . kuna ukweli mkubwa ndani ya hili. nashangaa Lady aJ umechachamalia kutetea ujinga.maziwa na makalio sio vitu vya kuonyesha hovyo kila mtu aone.hivyo vitu ni faragha,sasa kama wewe uliolewa pamoja nakuwa unavaa hovyo usipotoshe wengine.ndiyo samataimu utabahatika kupata mwanaume atakae kurekebisha. nikuulize swali moja.kama kweli kuvaa kwa kuonyesha matiti na matako ni sawa je unaweza kwenda kwa wakwe zako ukiwa umevaa hivyo? ukiweza kujijibu hapo mwanamke naamini jibu la uzi huu utakuwa nalo
Sitetei ujinga
ila ni ujinga mwanaume kum judge mwanamke kwa muonekano wake mtaani eti wavaa skin vimini pedo na tight clothes basi wote ni Malaya! Wengine huvaa kwa hoby tu ila wana maadili yao waliyofunzwa na wanaweza wakawa ni wake Wema kuliko yule anayevaa kwa kujifunika! Kama unataka kuoa mwanaume tafuta mwanamke mwelevu msikivu mwenye tabia njema anayejitambua na kukubalj kukosolewa! Hayo mengine mtarekebishana taratibu mpaka atakaa kwenye mstari uutakao, bahati nzuri nilizaliwa na kulelewa kwenye u kristo begi langu La nguo 70% zilikua ni suruali tena ni skin jeans,vimini na vipedo gauni nilikua Nazi chache sana lakini nikampata Bwana Muislam ambae leo ni Mume wangu, sasa hivi ukiiona nywele yangu hadharani basi jua wewe umekuja nyumbani kwangu lakini si barabarani
 
Kwann uvae vimodo huku unakiili kichwani. Vimodo na vitop wanavaa akina nani?
Ndo unipe ufafanuz kuwa ni sehemu gani imeandikwa kuwa vimodo na vitopu wameumbiwa watu fulani au ni maamuzi
 
Ndo unipe ufafanuz kuwa ni sehemu gani imeandikwa kuwa vimodo na vitopu wameumbiwa watu fulani au ni maamuzi
Wewe elewa ivyo, usiulize tena maswali kama wanawake wajinga wanavyofanya
 
Back
Top Bottom