Wanaume hatuoi ujinga

Wanaume hatuoi ujinga

Bado hajatokea machoni mwangu nahisi hajazaliwa kabisaaa, wanaume wenyewe wako wapi dunia hii?
Hapo sikubaliani napo kuwa hujaolewa sawa ila huna mwanaume na hujaona unaempenda hili sikubaliani nalo ina maana haujaguswa ipo nzima hali leo na duniani ukimkataa huyu utapigwa saund na yule utaingia tubkwenye penalty box
 
Hapo sikubaliani napo kuwa hujaolewa sawa ila huna mwanaume na hujaona unaempenda hili sikubaliani nalo ina maana haujaguswa ipo nzima hali leo na duniani ukimkataa huyu utapigwa saund na yule utaingia tubkwenye penalty box
Kama hukubali sikulazimishi na polisi sikupeleki, pia usiwe na fikra kua kila msichana atakua teyari.
 
Kama hukubali sikulazimishi na polisi sikupeleki, pia usiwe na fikra kua kila msichana atakua teyari.
Aysher wewe ndio unajua kila kitu ila ungepita anga zangu sound ingewin tu si unajua sisi ni maprofesa wa kusomesha ..... mm napita tu
 
uzi mzuri STUNTER . kuna ukweli mkubwa ndani ya hili. nashangaa Lady aJ umechachamalia kutetea ujinga.maziwa na makalio sio vitu vya kuonyesha hovyo kila mtu aone.hivyo vitu ni faragha,sasa kama wewe uliolewa pamoja nakuwa unavaa hovyo usipotoshe wengine.ndiyo samataimu utabahatika kupata mwanaume atakae kurekebisha. nikuulize swali moja.kama kweli kuvaa kwa kuonyesha matiti na matako ni sawa je unaweza kwenda kwa wakwe zako ukiwa umevaa hivyo? ukiweza kujijibu hapo mwanamke naamini jibu la uzi huu utakuwa nalo
 
Wakivaa madera na kujisitiri hamuwataki mnasema wazee oooh washamba sasa jema lipi kwenu wanaume?


Wanaume wanaotaka kuwagegeda na kuwaacha watasema unavaa kishamba.

Mwanaume mwenye lengo na wewe hawezi kukwambia umevaa kishamba.

Jueni kutofautisha wanaume.
 
Wanaume wanaotaka kuwagegeda na kuwaacha watasema unavaa kishamba.

Mwanaume mwenye lengo na wewe hawezi kukwambia umevaa kishamba.

Jueni kutofautisha wanaume.
Na walivyo waongo na tamaa zimewajaa sijui tutawajuaje aisee.
 
omba mungu akupe mume mwema na wewe pia jitahidi kuwa na tabia njema,

ila ukiwa machepele tagemea kupata machepele mwenzako,
No machepele hapati machepele mwenzie na mwema hapati mwema mwenzie, ingekua hivyo ndoa zisingekua na migogoro.
 
Mwanaume akikusifia kwa kutembea nyonyo nje, nyie mnaita boobs na makalio yakishika nguo uliyovaa ukisema unaenda na wakati huwa na nia
moja tu, KUKUMEGA, KUKUCHAPA, na KUKUSHIKISHA ADABU KITANDANI, na Sifa zitaishia hapo.

Hakuna mwanaume SIRIAZ anayeweza kukubali kuoa mwanamke asiye SIRIAZ. Mwanamke anayeweza kuacha nje MALI ambazo ni FAHARI ya mumewe zionwe na kila Mwanaume. Nionyeshe Mwanamke mwenye tabia hizi za Hovyo aliyeolewa na Mwanaume Serious.

Wanaume sio wajinga kama wanavyoonekana usoni. Mpaka akupe Pete yake lazima awe na uhakika Level ya Ujinga kwenye akili yako ni Ziro maana anaoa KIONGOZI WA FAMILIA na sio Muuza mwili.

SHKAMOONI WOTE MNAO-BOOST NYONYO NA KUBANA KALIO, Kumegwa na kuachwa kwako ni GUARANTEE... Hatuoi Ujinga!
That's why nakuelewa huwa unasimamia ukweli
 
Ni kweli, lakini
1. Unapozungumzia njia za matangazo zisizo rasmi nayo ni shida.....
2. Unatangaza kwa njia inayoondoa uwezekano wa kuolewa ni shida
3. Unatangaza kwa njia ya kutia watu ashki lakini si kuolewa ni shida

mtu anayetaka kuolewa namna yake yan kujitangaza ni hii
1. Ucha Mungu
2. Heshima kwa binadamu wenzio
3. Kuthamini maisha ya wenzio na mali zao
4. Tabia njema
5. Kupenda positive maendeleo...
Wachaaaaache ndo watakuelewa
 
Kuna wanaume wachache wajinga pia. Wangalipo. Ila sie wengine, hapana.
 
Back
Top Bottom