_aysher
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 1,131
- 942
Bado hajatokea machoni mwangu nahisi hajazaliwa kabisaaa, wanaume wenyewe wako wapi dunia hii?Hahahaha hutaki kuoelewa sasa unataka uoe au????
Acha ujinga
Bado hajatokea machoni mwangu nahisi hajazaliwa kabisaaa, wanaume wenyewe wako wapi dunia hii?Hahahaha hutaki kuoelewa sasa unataka uoe au????
Acha ujinga
Hapo sikubaliani napo kuwa hujaolewa sawa ila huna mwanaume na hujaona unaempenda hili sikubaliani nalo ina maana haujaguswa ipo nzima hali leo na duniani ukimkataa huyu utapigwa saund na yule utaingia tubkwenye penalty boxBado hajatokea machoni mwangu nahisi hajazaliwa kabisaaa, wanaume wenyewe wako wapi dunia hii?
Kama hukubali sikulazimishi na polisi sikupeleki, pia usiwe na fikra kua kila msichana atakua teyari.Hapo sikubaliani napo kuwa hujaolewa sawa ila huna mwanaume na hujaona unaempenda hili sikubaliani nalo ina maana haujaguswa ipo nzima hali leo na duniani ukimkataa huyu utapigwa saund na yule utaingia tubkwenye penalty box
Kujisitiri ndio mpango mzima,, kama mwanamke ni mzuri ni mzuri tuWakivaa madera na kujisitiri hamuwataki mnasema wazee oooh washamba sasa jema lipi kwenu wanaume?
Aysher wewe ndio unajua kila kitu ila ungepita anga zangu sound ingewin tu si unajua sisi ni maprofesa wa kusomesha ..... mm napita tuKama hukubali sikulazimishi na polisi sikupeleki, pia usiwe na fikra kua kila msichana atakua teyari.
UmeonaeeeKujisitiri ndio mpango mzima,, kama mwanamke ni mzuri ni mzuri tu

Kama ww ulivojisitiri hapo,Umeonaeee![]()
Wakivaa madera na kujisitiri hamuwataki mnasema wazee oooh washamba sasa jema lipi kwenu wanaume?
Na walivyo waongo na tamaa zimewajaa sijui tutawajuaje aisee.Wanaume wanaotaka kuwagegeda na kuwaacha watasema unavaa kishamba.
Mwanaume mwenye lengo na wewe hawezi kukwambia umevaa kishamba.
Jueni kutofautisha wanaume.
No machepele hapati machepele mwenzie na mwema hapati mwema mwenzie, ingekua hivyo ndoa zisingekua na migogoro.omba mungu akupe mume mwema na wewe pia jitahidi kuwa na tabia njema,
ila ukiwa machepele tagemea kupata machepele mwenzako,
Problem is having negativity in every man ndio shidaNo machepele hapati machepele mwenzie na mwema hapati mwema mwenzie, ingekua hivyo ndoa zisingekua na migogoro.
That's why nakuelewa huwa unasimamia ukweliMwanaume akikusifia kwa kutembea nyonyo nje, nyie mnaita boobs na makalio yakishika nguo uliyovaa ukisema unaenda na wakati huwa na nia
moja tu, KUKUMEGA, KUKUCHAPA, na KUKUSHIKISHA ADABU KITANDANI, na Sifa zitaishia hapo.
Hakuna mwanaume SIRIAZ anayeweza kukubali kuoa mwanamke asiye SIRIAZ. Mwanamke anayeweza kuacha nje MALI ambazo ni FAHARI ya mumewe zionwe na kila Mwanaume. Nionyeshe Mwanamke mwenye tabia hizi za Hovyo aliyeolewa na Mwanaume Serious.
Wanaume sio wajinga kama wanavyoonekana usoni. Mpaka akupe Pete yake lazima awe na uhakika Level ya Ujinga kwenye akili yako ni Ziro maana anaoa KIONGOZI WA FAMILIA na sio Muuza mwili.
SHKAMOONI WOTE MNAO-BOOST NYONYO NA KUBANA KALIO, Kumegwa na kuachwa kwako ni GUARANTEE... Hatuoi Ujinga!
Punguza ukali wa maneno mkuuWanaume wanatofautiana. Kuna wajinga na werevu mi nadhani iyekuoa ni mjinga
Wachaaaaache ndo watakuelewaNi kweli, lakini
1. Unapozungumzia njia za matangazo zisizo rasmi nayo ni shida.....
2. Unatangaza kwa njia inayoondoa uwezekano wa kuolewa ni shida
3. Unatangaza kwa njia ya kutia watu ashki lakini si kuolewa ni shida
mtu anayetaka kuolewa namna yake yan kujitangaza ni hii
1. Ucha Mungu
2. Heshima kwa binadamu wenzio
3. Kuthamini maisha ya wenzio na mali zao
4. Tabia njema
5. Kupenda positive maendeleo...
Na walivyo waongo na tamaa zimewajaa sijui tutawajuaje aisee.
Na walivyo waongo na tamaa zimewajaa sijui tutawajuaje aisee.
Wengi wao wana matendo ya kuigiza waweza kujua ni kweli.Kwa matendo.
Wengi wao wana matendo ya kuigiza waweza kujua ni kweli.
Wengi wao wana matendo ya kuigiza waweza kujua ni kweli.