Himawari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 2,609
- 1,703
Ni kweli, lakini
1. Unapozungumzia njia za matangazo zisizo rasmi nayo ni shida.....
2. Unatangaza kwa njia inayoondoa uwezekano wa kuolewa ni shida
3. Unatangaza kwa njia ya kutia watu ashki lakini si kuolewa ni shida
mtu anayetaka kuolewa namna yake yan kujitangaza ni hii
1. Ucha Mungu
2. Heshima kwa binadamu wenzio
3. Kuthamini maisha ya wenzio na mali zao
4. Tabia njema
5. Kupenda positive maendeleo...
Ngalikihinja hao wanajitangaza katika namna ya kwanza wako kibiashara zaidi!
Ikitokea muoaji anayependezwa na sifa za kibiashara pia nae haachwi!
Namna ya pili ni kwa wale wasio kibiashara, waliolelewa kimaadili na waliotayari kuingia ktk maisha ya ndoa!