Wanaume hatuoi ujinga

Wanaume hatuoi ujinga

Wakivaa madera na kujisitiri hamuwataki mnasema wazee oooh washamba sasa jema lipi kwenu wanaume?
Afu kweli... Wao ndo wanawaharibu wadada. Utakuta msichana anavaa nguo za heshima Ila mkaka kutaka misifa tu kwa wenzake anamshauri avae pushup braz na tight clothes eti aonekane ana demu sexy. Wavaa madelq wanaonekana old fashioned. Nyie ndo vyanzo vya yote hata.
 
suala la ndoa halijawahi na halitowahi kuwa jepesi wakuu.....kuchagua mwenzi wa maisha inabidi mtu atulie ati! na mie nadhan hilo pande zote wanalijua hili ni maisha na shida za ulimwengu huu zilizoleta haya yote
 
suala la ndoa halijawahi na halitowahi kuwa jepesi wakuu.....kuchagua mwenzi wa maisha inabidi mtu atulie ati! na mie nadhan hilo pande zote wanalijua hili ni maisha na shida za ulimwengu huu zilizoleta haya yote
suala la ndoa halijawahi na halitowahi kuwa jepesi wakuu.....kuchagua mwenzi wa maisha inabidi mtu atulie ati! na mie nadhan hilo pande zote wanalijua hili ni maisha na shida za ulimwengu huu zilizoleta haya yote
Mnafanya ujinga alafu mnasingizia Shida, Endeleeni tu,
 
Sawa, hata sie hatuolewi na wajinga
tena nyinyi ndo msiongee kabisaa... Deile tunawaona mkiolewa na walevi wa gongo wasio na future na mnachoambulia ni kudhalilishwa tu... Mammae shida,
dhiki ni mwanaharamu
 
Wakivaa madera na kujisitiri hamuwataki mnasema wazee oooh washamba sasa jema lipi kwenu wanaume?
Yaani mimi ugonjwa wangu ndo huo. Binti akizama kwenye Dera, kudadadeki nafika bei
 
mkuu. Unacho ongea nu ukweli kabisa, nilitembelea mikoa kadha wa kadha nilijionea Maajabu ya Mussa.

Hasa mkoa wa Tanga na Ukerewe, wanawake na wanaume uoga na utazamana Bila taabu kabisa.

Sasa wewe mgeni ukipita hapo wala hawatikisiki kabisa, wewe ndiyo utaanza kujichanganya kutazama na kuwaka tamaa, wenyeji hawana Time maana kwao wameshazoea.
Mmmh mkuu huko wanakooga wake kwa waume pamoja ina maana hata hizo vocha hazifunikwi mkuu
Vocha ni ile sehemu ya kukwangua
Hivi ulishawahi kujiuliza kama mimi ninavyojiuliza! Kwa namna tunavyosoma vitabu vya dini na historia zake (dini zote), tunaaminishwa ya kuwa wanawake walikuwa wanavaa nguo za kuwafunika sana, yaani hata kuuona upaja hauwezi (ukiacha wale malaya waliokuwa wanaelezewa namna wanavyovaa na kusimama njia panda kujiuza, japo haielezewi wanavaa nusu uchi, ila manukato yao kwa sana), wenyewe waliwajua.

Sasa kwa utangulizi huo hapo juu, utapata picha ya kuwa, wanaume tumeumbwa kutamani kwanza na kupenda kunafuatia.

Sasa ninachojiuliza ni, pale Yesu, alipowaambia enzi hizo wafuasi na wengine wale '....... Bali yeyote amtazamaye mwanamke na kumtamani, ameshazini naye....' Mathayo 5:27-28

hebu oneni sasa namna gani kutamani kulivyo, yaani hata avae dela zito ama baibui zito, bado tu wanaume kutamani kunaanza kwanza, maana usipomuoa shepu, utamuona sura ama nywele, na ndiyo maana wanawake wameambiwa wajisitiri na hata nywele wasiziache wazi.

Hivi miaka ile kulikuwa na vimini kweli?! Hapo unapata picha pana, na ndiyo maana hadi leo vitabu vitakatifu vina nguvu bado.

Hivyo narudia tena, mkiamua kuoana, muangalie vipaumbele vyenu kwanza kabla hamjaingia kwenye taasisi hiyo.

Ahsante!
 
Back
Top Bottom