Wanaume embu nisaidini hili

Ukiona manyoya....hapo kuna kila dalili ya mchepuko, ila kuchapiwa ni siri ya ndani!...kazi kwako kusuka au kunyoa.nngekuwa mimi ningeshanyoa mapemaaaa

nimeshanyolewa ila nilikuwa nataka kusuka tena hataki
 
nakuja ila unajua mimi nipo wapi? any way unalosema ni sahihi ila kasogea karibu ndo kanipiga kibuti

Usihofu, mapenzi ya siku hizi yanachanganya. usikubali maisha yakunyanganye alafu na mapenzi nayo yakunchanganye. Utakufa umri bado. Kwani uko wapi.
 
Usihofu, mapenzi ya siku hizi yanachanganya. usikubali maisha yakunyanganye alafu na mapenzi nayo yakunchanganye. Utakufa umri bado. Kwani uko wapi.

mimi sitaki kusema nipo wapi bwana...... ial ulichokiongea ni kweli
 
oooh kumbe ni mngoni...
hao bn dharau na kejeli ndo penyewe.pole

usikimbilie kwenye mahusiano mengine haraka utakutana na mengine zaidi na kuhisi mwaka ni wako..
Pia jitahid kuwa wa garama kidogo

mama huyo kaka sijawahi kutumi pesa yake naiona hiyooooo imepita kila ukiongela swala la hela au la maendeleo utasikia sina hela
 

Nikiona picha yako na ya Mpz wako, ninao uwezo wa kuyajibu maswali yako yote kwa ufasaha kwa sababu inaelekea yanasababishwa na peronality ya Mwenzio!
 
Mwanaume akimchoka mtu vituko havita isha Ndugu...

Usishangae Mwanaume akakuuliza umpe sababu atakayoitumia kumuacha mpenzi wake. Hilo lisikushangaze kabsaaaa
 
It seems lyk ana kamchepuko kanamchengua na kamemshika masikio ndio maana hoja na sababu hazimuishi,i think its a right time to think by ur brain insteed of heart anymore...Follow ur heart but take ur brain with u
 
hayo yote yanafanywa lakini bado naonekana sipo hot..

wakati mwingine ni ngumu kumwambia mtu kuwa sikupendi tena, tunasemaga kwa matendo tu sometimes.

Kubali tu matokeo then tulia ujipange upya kuanza mahusiano mapya, kuacha na kuachwa mbona vitu vya kawaida tu ktk maisha ya mapenzi, usijione huna bahati wala thamani
 
Tip yangu hii: for the next relationship chagua anayekupenda sana wakati wewe unamuona wa kawaida tu hata humpaparikii, over time utaniambia mwenyewe utakavyo-enjoy upendo wake

okey rafiki i think this is good advice
 
asante mkuu initafanya hivyo mkuu
 
It seems lyk ana kamchepuko kanamchengua na kamemshika masikio ndio maana hoja na sababu hazimuishi,i think its a right time to think by ur brain insteed of heart anymore...Follow ur heart but take ur brain with u

oey rafiki
 
Mwanaume akimchoka mtu vituko havita isha Ndugu...

Usishangae Mwanaume akakuuliza umpe sababu atakayoitumia kumuacha mpenzi wake. Hilo lisikushangaze kabsaaaa
kama umechoka si unarenew tena jamani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…