miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
- Thread starter
- #21
1] Tunataka mupendeze, kama ni mke wangu nitakupa fullu material, ibaki wewe tu!
Kama ni dem tu, nitakupa nusu nawe uengezee nusu ili kupata kitu kamili!
2] Tunataka msiwe magogo! = kitanda mkitendee haki!
Tunajua m/ke akizoea libolo, akilikosa ni lazima atachakachua! Tunawakazia makusudi ili muache kuliwa na me wengine! Tukiwalegezea tu, mnachakachuliwa bila hiana!
Tunataka mjilinde!
Penzi kulegalega maana yake nini?
Kama ulinipotezea nusu, mimi nakupotezea mazima!
Kwanini penzi lilegelege?
Hiyo tunaiita counter attack!
Tusipofanya hivyo, mnakuwa mnatuzonga na viswali vyenu uchwara, hata tukiwajibu hamkubali! May be mnataka tuwajibu vile mpendavyo ninyi, na hilo haliwezekani!
Kuepusha usumbufu, ndio tunawawashia moto muache kutujudge!
Hapa nakuwa nimekuchoka, kukuambia live live unaweza kuniapiza! Lol!
Tukiwachoka huwaga hatuangalii mazuri! Na tukifikiria mazuri hatowaacha ilhali tunakuwa na mwengine mpya ambae anakuwa mtamu sio used kama wewe!
...
Nadhani nimekujibu in-general, Haina maana me wote tuko hivyo! Mashaxizo hana tabia hizo!
Nimejibu hivyo kwa kuamini huenda kuna me watakuficha ukweli huo!
:tea:
Tulia na Mashaxizo ule raha wewe!
Hautojutia kamwe labda uwe kicheche and/or gogo!
...
miss chagga nadhani umenisoma vilivyo hapo!
Nakusubiri piemo! Na ole wako usije!
Naomba unipe maujanja kwanza theory lakin