Wanaume embu nisaidini hili

Wanaume embu nisaidini hili

Kuwa hot kuna variables nyingi sana ndani yake...

Ntarudi baadae kushusha madesa yake..

wadada nitumieni PM kwa mnaohitaji eenh! attach kabisa na namba zenu za M-pesa! lol.

Unatutega eeh?
 
Asante kwa ushauri mkuu

dah! una mawazo kama yangu ingawa naonekana sijielewi,sijapenda lakini ukweli ubaki kuwa ukinichoka,nimekuchoka kiroho safi 2achane maswala ya kubembelezana/kunyenyekeana wakati kuna mambo ya msingi,,hayapo
 
dah! una mawazo kama yangu ingawa naonekana sijielewi,sijapenda lakini ukweli ubaki kuwa ukinichoka,nimekuchoka kiroho safi 2achane maswala ya kubembelezana/kunyenyekeana wakati kuna mambo ya msingi,,hayapo

Mkuu acha kabisa alafu ukwel anaujua alafu anakutesa tu..
 
Vipi angalau sasa shemeji amekukubali ameacha zile za kusema hauko hot na mengineyo?
 
Habari zenu wanaJF

Kuna jambo linanitatiza sana limenikuta mara kadhaa na hata baadhi ya rafiki zangu. Nimejikuta na maswali mengi kutokana na hilo jambo:
  • Mnaposema unataka niwe hot maana yake nini? au unataka niweje?


  • Mwanaume upo mbali na mimi may be mkoa mwingine alafu unaniambia sihangaiki na wewe. Wakati muda wote najitahidi kupiga simu kuchati ? kwa hapa huwa mnataka tufanye nini?


  • Ulikuwa mbali penzi lililegalega umekuja karibu unaamua kuniacha kuna kuwa kuna nini hapo jamani?


  • Unapopigiwa simu upokei alafu baada ya mda unakuja kupokea au unapiga ujaulizwa unaanza kunifokea na kunigombeza huwa hapo unaficha nini ?


  • Pamoja na kuniambia kuwa naudhaifu huo nakuomba msamaha na kutaka kurudiana na wewe bado unakataa tena kwa nguvu zote. najiuliza ni kwamba katika mazuri yote nayo jitahidi kufanya uoni unaona, visababu vidogo?
Wanawake mnakaribishwa ila nilitaka wanaume ndo wanijibu jamani napata wakati mgumu sana hata kufikiri kuanza upya katika mahusino mengine nahisi ni yale yale tu wapenzi wangu nipeni maujanja nifanyaje mimi ila theory practical nitafanya mwenyewe.

Naombeni msaada wenu please.

Asante mbarikiwe

Mimi sipo hivyo, karibu.
 
Kiranga chako yote haya usingekuwa unayapata mimi napita!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom