Wanaume embu nisaidini hili

Wanaume embu nisaidini hili

Uwe na mvuto kimapenzi. Yaani ujiweke vizuri.

Kwa mfano, ukiwa umejaaliwa ile chakula ya mtoto, si mbaya mara moja moja kuonyesha ubunifu. Onyesha ule mgawanyo (cleavage), nifanyie shimmy, vaa sketi zenye slit....

Ukivaa viatu vya kokoko basi badili mwendo...tembea kaa Naomi Campbell kwenye catwalk

Kuwa msafi, nukia vizuri, floss meno, kuwa na meno meupe, paka viondoa harufu (deodorant) - kama antiperspirant zinakupa shida basi uwe unaweka armpit pads kuzuia jasho kuvuja kwenye kitop chako...


In a nutshell, be a lady in the street but a freak in the sheets.
Umeua!!!!!!!
 
hayo yote yanafanywa lakini bado naonekana sipo hot..
Lazima kuna sehemu una miss tu wanaume tuna real love kama ni hivyo basi jamaa hakupendi ana force kukupenda in reality hayuko hivyo
sifa kuu zetu wanaume kama humpendi mtu ukionja tu mara moja Tayari thamani yake ushaishusha na hapo ndipo weakness tunaanza kuziona kiukaribu
katika hilo JICHUNGUZE NANI ALIMUANZA MWENZIE HUENDA WEWE ULIMTONGOZA HANA MAPENZI NAWE

nijuavyo kwetu sisi wanaume ukipenda hata uende ukadate na wanawake 100 bado utarudi tu kwa umpendae na kujiona msaliti
 
Lazima kuna sehemu una miss tu wanaume tuna real love kama ni hivyo basi jamaa hakupendi ana force kukupenda in reality hayuko hivyo
sifa kuu zetu wanaume kama humpendi mtu ukionja tu mara moja Tayari thamani yake ushaishusha na hapo ndipo weakness tunaanza kuziona kiukaribu
katika hilo JICHUNGUZE NANI ALIMUANZA MWENZIE HUENDA WEWE ULIMTONGOZA HANA MAPENZI NAWE

nijuavyo kwetu sisi wanaume ukipenda hata uende ukadate na wanawake 100 bado utarudi tu kwa umpendae na kujiona msaliti
sawa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom