Wanaume embu nisaidini hili

Wanaume embu nisaidini hili

miss chagga

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
57,805
Reaction score
49,104
Habari zenu wanaJF

Kuna jambo linanitatiza sana limenikuta mara kadhaa na hata baadhi ya rafiki zangu. Nimejikuta na maswali mengi kutokana na hilo jambo:
  • Mnaposema unataka niwe hot maana yake nini? au unataka niweje?


  • Mwanaume upo mbali na mimi may be mkoa mwingine alafu unaniambia sihangaiki na wewe. Wakati muda wote najitahidi kupiga simu kuchati ? kwa hapa huwa mnataka tufanye nini?


  • Ulikuwa mbali penzi lililegalega umekuja karibu unaamua kuniacha kuna kuwa kuna nini hapo jamani?


  • Unapopigiwa simu upokei alafu baada ya mda unakuja kupokea au unapiga ujaulizwa unaanza kunifokea na kunigombeza huwa hapo unaficha nini ?


  • Pamoja na kuniambia kuwa naudhaifu huo nakuomba msamaha na kutaka kurudiana na wewe bado unakataa tena kwa nguvu zote. najiuliza ni kwamba katika mazuri yote nayo jitahidi kufanya uoni unaona, visababu vidogo?
Wanawake mnakaribishwa ila nilitaka wanaume ndo wanijibu jamani napata wakati mgumu sana hata kufikiri kuanza upya katika mahusino mengine nahisi ni yale yale tu wapenzi wangu nipeni maujanja nifanyaje mimi ila theory practical nitafanya mwenyewe.

Naombeni msaada wenu please.

Asante mbarikiwe
 
Kwa ninavyojua mimi. Jamaa atakuwa amepata bibie anayempa mboga zaidi yako. Ndiyo maana anakuwa amepata kiburi. Kwa kweli kwa sisi wanaume kama mtu hupokei simu kimakusudi ni jambo la kipuuzi. Jamaa hastahili upendo hata kidogo. Move on... Atakuja kujua thamani ya upendo wako na atajutia sana. Maana girls/women with sincere hearts ni wachache sana these days.
 
  • mnaposema unataka niwe hot maana yake nini? au unataka niweje?
Uwe na mvuto kimapenzi. Yaani ujiweke vizuri.

Kwa mfano, ukiwa umejaaliwa ile chakula ya mtoto, si mbaya mara moja moja kuonyesha ubunifu. Onyesha ule mgawanyo (cleavage), nifanyie shimmy, vaa sketi zenye slit....

Ukivaa viatu vya kokoko basi badili mwendo...tembea kaa Naomi Campbell kwenye catwalk

Kuwa msafi, nukia vizuri, floss meno, kuwa na meno meupe, paka viondoa harufu (deodorant) - kama antiperspirant zinakupa shida basi uwe unaweka armpit pads kuzuia jasho kuvuja kwenye kitop chako...


In a nutshell, be a lady in the street but a freak in the sheets.
 
Uwe na mvuto kimapenzi. Yaani ujiweke vizuri.

Kwa mfano, ukiwa umejaaliwa ile chakula ya mtoto, si mbaya mara moja moja kuonyesha ubunifu. Onyesha ule mgawanyo (cleavage), nifanyie shimmy, vaa sketi zenye slit....

Ukivaa viatu vya kokoko basi badili mwendo...tembea kaa Naomi Campbell kwenye catwalk

Kuwa msafi, nukia vizuri, floss meno, kuwa na meno meupe, paka viondoa harufu (deodorant) - kama antiperspirant zinakupa shida basi uwe unaweka armpit pads kuzuia jasho kuvuja kwenye kitop chako...


In a nutshell, be a lady in the street but a freak in the sheets.

Good job well done son!!!!!

Kama haelewi baaaas tena
 
You need to be strong first by looking onto you weakness and fix!

Get them/him find a reason to love, care for you!

Dont try to please them if there is no reason to please them/him!

If you are not married then making love is not what you need but do it for fun or because it feels good to do it, getting someone to make love to you needs sacrifices nyingi na kujitesha as you said but get someone to f***k its easy and mara nyingi those who comes for only F**k are those mostly finding themself want to stay!
 
Kwa ninavyojua mimi. Jamaa atakuwa amepata bibie anayempa mboga zaidi yako. Ndiyo maana anakuwa amepata kiburi. Kwa kweli kwa sisi wanaume kama mtu hupokei simu kimakusudi ni jambo la kipuuzi. Jamaa hastahili upendo hata kidogo. Move on... Atakuja kujua thamani ya upendo wako na atajutia sana. Maana girls/women with sincere hearts ni wachache sana these days.

asante kwa ushauri
 
Uwe na mvuto kimapenzi. Yaani ujiweke vizuri.

Kwa mfano, ukiwa umejaaliwa ile chakula ya mtoto, si mbaya mara moja moja kuonyesha ubunifu. Onyesha ule mgawanyo (cleavage), nifanyie shimmy, vaa sketi zenye slit....

Ukivaa viatu vya kokoko basi badili mwendo...tembea kaa Naomi Campbell kwenye catwalk

Kuwa msafi, nukia vizuri, floss meno, kuwa na meno meupe, paka viondoa harufu (deodorant) - kama antiperspirant zinakupa shida basi uwe unaweka armpit pads kuzuia jasho kuvuja kwenye kitop chako...


In a nutshell, be a lady in the street but a freak in the sheets.

hayo yote yanafanywa lakini bado naonekana sipo hot..
 
You need to be strong first by looking onto you weakness and fix!

Get them/him find a reason to love, care for you!

Dont try to please them if there is no reason to please them/him!

If you are not married then making love is not what you need but do it for fun or because it feels good to do it, getting someone to make love to you needs sacrifices nyingi na kujitesha as you said but get someone to f***k its easy and mara nyingi those who comes for only F**k are those mostly finding themself want to stay!

thank u i will do it.. thank u
 
Ukiona Ivo Ujue Kashajipatia Mwingine Na Anatafuta Visababu Tu Vya Kukuacha Na Kuhusu Sijui Kuwa Hot Iyo Huwa Tunamaanisha Uvutie Bibie Yaani Uwe Na Mwonekano Wa Mtoto Wa Kike Si Unakua Mchafu Kama Umetoka Shimoni,masinzi Mengi,kikwapa Kama Toilet Za Pale Tosamaganga. Kuhusu Kukuuliza Uliza Kwa Nini Huangaiki Na Yeye Hii Inatokana Na Wewe Kutompa Maneno Matam Muda Mnachat Au Mnaongea Kwa Simu Umeishia Kuuliza Tu Vp Umenunua Ipad Mpya? Mara Ooh Jesca Umeskia Anaumwa,yaani Inshort Unakua Na Maongezi Ya Kawaida Na Hais Utofauti Wako Na Friends Wake.
Hapo Kwenye Kukataa Kurudiana Ni Anakua Ashakuchoka Kutokana Na Tabia Nilizosema Apo Awali Na Anakua Ashapata Kipoozeo Matokeo Yake Anakua Na Hasira Na Ukipiga Simu Anakata Au Hapokei Kabisa.
 
Uwe na mvuto kimapenzi. Yaani ujiweke vizuri.

Kwa mfano, ukiwa umejaaliwa ile chakula ya mtoto, si mbaya mara moja moja kuonyesha ubunifu. Onyesha ule mgawanyo (cleavage), nifanyie shimmy, vaa sketi zenye slit....

Ukivaa viatu vya kokoko basi badili mwendo...tembea kaa Naomi Campbell kwenye catwalk

Kuwa msafi, nukia vizuri, floss meno, kuwa na meno meupe, paka viondoa harufu (deodorant) - kama antiperspirant zinakupa shida basi uwe unaweka armpit pads kuzuia jasho kuvuja kwenye kitop chako...


In a nutshell, be a lady in the street but a freak in the sheets
 
Badili kwani atakuwa kapata replacement wako mapema chukua chako
 
habari zenu wanajf .....
kuna jambo linanitatiza sana limenikuta mara kadhaa na hata baadhi ya rafiki zangu. nimejikuta na maswali mengi kutokana na hilo jambo:
  • mnaposema unataka niwe hot maana yake nini? au unataka niweje?


  • mwanaume upo mbali na mimi may be mkoa mwingine alafu unaniambia sihangaiki na wewe.. wakati muda wote najitahidi kupiga simu kuchati ? kwa hapa huwa mnataka tufanye nini?


  • ulikuwa mbali penzi lililegalega umekuja karibu unaamua kuniacha kuna kuwa kuna nini hapo jamani?


  • unapopigiwa simu upokei alafu baada ya mda unakuja kupokea au unapiga ujaulizwa unaanza kunifokea na kunigombeza huwa hapo unaficha nini ?


  • pamoja na kuniambia kuwa naudhaifu huo nakuomba msamaha na kutaka kurudiana na wewe bado unakataa tena kwa nguvu zote. najiuliza ni kwamba katika mazuri yote nayo jitahidi kufanya uoni unaona, visababu vidogo?
wanawake mnakaribishwa ila nilitaka wanaume ndo wanijibu ...jamani napata wakati mgumu sana hata kufikiri kuanza upya katika mahusino mengine nahisi ni yale yale tu..... wapenzi wangu nipeni maujanja nifanyaje mimi.... ila theory practical nitafanya mwenyewe....

naombeni msaada wenu please..
asante mbarikiwe

Pole sana. Angalia attitudes zako kwa kina!!!!!!
 
hayo yote yanafanywa lakini bado naonekana sipo hot..

It's not just about doing it, it's more about doing it right.

So question comes, are you doing it right? You can't just be doing the same thing over and over.

You got to know when to switch it up, when to redouble your efforts, when to bounce, etc.
 
Kwa maneno rahisi, haumvutii tena.
Aisee, mpaka unaruhusu akufanyie yote hayo ina maana umeshindwa kusoma alama za nyakati.
Wakati wa usichana tulikuwa tunafundana jinsi ya kuona dalili hovyo, kiasi kwamba unamuacha kabla hajakuacha; it is good for your esteem na maumivu sio mengi.
 
Inabidi ukubali ukweli kua mmefikia kwenye finishing line so you dont need to keep on running anymore jamaa anafungua milango na madirisha ukichelewa kutoka lazima atatoka yeye ni bora ujiweke kando hakuna uhusiano wa aina hii dada angu.
 
Mvuto muhimu kwa mdada.
Ila mapenzi ni kuumia kichwa ingawa bado na mimi napenda
 
hayo yote yanafanywa lakini bado naonekana sipo hot..

huwezi kufanya yote hayo hlf usionekane Hot..........

yaani wewe unataka kusema ukijipiga mapigo ya kwenda kwenye party huna tofauti na unapopiga mapigo ya kwenda ofisini?

being hot , ni hata muonekano wako wa kihaiba, umeshawahi kumuona mwanamke aliyekula kungu au anayetafuna gum huku lips amepaka rangi za mdomo?
 
It's not just about doing it, it's more about doing it right.

So question comes, are you doing it right? You can't just be doing the same thing over and over.

You got to know when to switch it up, when to redouble your efforts, when to bounce, etc.

yaani ni point tupu..........
wakati mwingine binadamu tunajisahau sana kiasi kwamba tutakuwa very predictable , na mwishowe huo u-hot unakuwa hamna.
 
mnaposema unataka niwe hot
maana yake nini? au unataka
niweje?
1] Tunataka mupendeze, kama ni mke wangu nitakupa fullu material, ibaki wewe tu!
Kama ni dem tu, nitakupa nusu nawe uengezee nusu ili kupata kitu kamili!

2] Tunataka msiwe magogo! = kitanda mkitendee haki!
mwanaume upo mbali na mimi
may be mkoa mwingine alafu
unaniambia sihangaiki na
wewe.. wakati muda wote
najitahidi kupiga simu
kuchati ?
Tunajua m/ke akizoea libolo, akilikosa ni lazima atachakachua! Tunawakazia makusudi ili muache kuliwa na me wengine! Tukiwalegezea tu, mnachakachuliwa bila hiana!
Kwa hapa huwa mnataka tufanye nini?
Tunataka mjilinde!
ulikuwa mbali penzi
lililegalega umekuja karibu
unaamua kuniacha kuna kuwa
kuna nini hapo jamani?
Penzi kulegalega maana yake nini?
Kama ulinipotezea nusu, mimi nakupotezea mazima!
Kwanini penzi lilegelege?
unapopigiwa simu upokei
alafu baada ya mda unakuja
kupokea au unapiga ujaulizwa
unaanza kunifokea na
kunigombeza huwa hapo
unaficha nini?
Hiyo tunaiita counter attack!
Tusipofanya hivyo, mnakuwa mnatuzonga na viswali vyenu uchwara, hata tukiwajibu hamkubali! May be mnataka tuwajibu vile mpendavyo ninyi, na hilo haliwezekani!
Kuepusha usumbufu, ndio tunawawashia moto muache kutujudge!
pamoja na kuniambia kuwa
naudhaifu huo nakuomba
msamaha na kutaka kurudiana
na wewe bado unakataa tena
kwa nguvu zote.
Hapa nakuwa nimekuchoka, kukuambia live live unaweza kuniapiza! Lol!
najiuliza ni
kwamba katika mazuri yote nayo jitahidi kufanya uoni
unaona, visababu vidogo?
Tukiwachoka huwaga hatuangalii mazuri! Na tukifikiria mazuri hatowaacha ilhali tunakuwa na mwengine mpya ambae anakuwa mtamu sio used kama wewe!
...
Nadhani nimekujibu in-general, Haina maana me wote tuko hivyo! Mashaxizo hana tabia hizo!
Nimejibu hivyo kwa kuamini huenda kuna me watakuficha ukweli huo!
:tea:
wanawake mnakaribishwa ila
nilitaka wanaume ndo
wanijibu ...jamani napata
wakati mgumu sana hata
kufikiri kuanza upya katika
mahusino mengine nahisi ni yale yale tu..... wapenzi wangu
nipeni maujanja nifanyaje
mimi....
ila theory practical
nitafanya mwenyewe....
Tulia na Mashaxizo ule raha wewe!
Hautojutia kamwe labda uwe kicheche and/or gogo!
...
miss chagga nadhani umenisoma vilivyo hapo!
Nakusubiri piemo! Na ole wako usije!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom