Wanaume ebu acheni hizo!

Wanaume ebu acheni hizo!

Ahahahahahahahahaahhahahahahaah...aiseee!
 
mtu anasema nina miaka 30 ...loh anakuja mtu kama mzee mandela bwana ...kashikwa huku na huko..loh sitarudia tena
Ha ha haaaaa! Sijawahi kuamini katika online dating. Kama mtaani tu kweupeee mchana jua linamulika mtu unaangukia pua itakuwa online! Duh! Nawatakia vijana wa dot com kila la kheri. Btw, rafiki mbona siku hizi umeamua kujificha kwenye hiyo avatar ya gizani? Hebu washa taa shostito.
 
Kwani wewe ulivyokuja kutafuta wa mtandaoni hukuwa na macho ya kumtafuta mwenye sifa uzitakazo? We unajidai kuweka vigezo wakati we mwenyewe hukidhi vigezo. Umegaragazwa huko weee sasa imechoka ndo unakimbilia mtandaoni.
Ovyooooooo

Nadhani hujaelewa mana ya hii side ya mahusiano.kwani kuna kosa lolote kutafuta huku.
Mbona imekuuuma sana?sijaelewa kaka,ina maana mtu akisema mtu mrefu anakuwa haeleweki?
Tuweni serious basi ili hii part ya mahusiano ilete maana wala sijachezewa kama unavyodhani au nikuonjeshe?
 
Chezeya JF weye!!! labda njemba kwa uelewa wake naye ni "MUREFU"

Best mie nimemuelewa na nimecheka saaaaaaaaaaaaaaana! Nitacheka kila nitakavyoukumbuka huu uzi. Lol!
 
kama unatafuta mtu online nawe utakuwa na matatizo kwa vp umeshindwa mpata mtu ktk hali ya kawaida?
wewe umetoa vigezo unavyozingatia
vya kwako uliviweka wazi?

jina lako tu linaonyesha hujui ulichoandika sasa kama ni ivyo walaumu JfWALIOWEKA HII COLUM
nawe unaipenda ndo mana unaifungua kil siku nataka sitaki wee!
 
una lolote ungekuwa mzur ungekuwa ushapata bwana lazma utakuwa mbovu tu mtoto wakike uko social network kutafta mabwana unawaaibsh wasichana wanzako nungayembe ovyooooo..

Sent from my blackberry 9105 using jamiiforums

aksante.
 
Dada Heloo
Endelea kuomba Mungu atakupatia tu, ila unajua watu wapo desperate kupata wenza, inawezekana kijana anajua kuwa mfupi ila akaona ajaribu bahari yake, labda ungempenda.... matokeo yake ndo hayo!
 
Last edited by a moderator:
na nyinyi wadada wakati mwingine mnayataka wenyewe, we umeomba urafilki/uchumba watu tukatuma pm sasa we unaanza kuchagua majina ya kujibu ulitegemea nini? We unafikiri jina zuri au maarufu ndo perspective ya mtu? Watu tuna uhandsome wetu banaa
 
Ni mambo ya ajabu na kusikitisha sana eti inatokea msichana\mwanamke unataka mwanaume mwenye sifa mfano mrefu mweusi asiwe mnene sana ,BASI wanatokea watu wanaPm nawe unachagua wa kwenda kuonana nae ukizingatia sifa zile unzozitaka tayari jamaa kaelewa na kabla anajisifu sana.
Siku inafika mtoto wa kike unajua leo naenda kukutana na yule mtu wa ndoto yako!!Lahaula lakwata!!!!
Unakutana na mtu tukisema wale mbilikimo wa CONGO DRC tuakuwa hatujakosea jamani huyu mtu anakuwa na
maana gani?jamani mbona kuna watu wapo tu wapenda vishotiiiii?mbona unalazimisha wewe kaka basi ungevaa hata magongo ya PIMBI tujue moja,O vyoooooooooooooooooooooo sana.
hahahahahahaha....daaaaaahhh kumbe PM zina mambo eeeehhhh...!!!!!
 
Heloo we vipi?!!!!! Wenzako siku hizi wanaangalia maslahi na maisha we bado unakalia kutaka wanaume warefu....acha ushamba we msichana, mbona hata ushamba wenyewe inaelekea wala haukupendezi!! Hao ma-Handsome wenzako ni watu wa mechi za mchangani, nyumbani ni yule mwenye uwezo katika Family Management....open ur eyes bi mdada otherwise utaishia kuwa mtoa huduma pendwa tu.....usije lalamika kwamba hukuwahi kuambiwa!
 
Pole sana lkn ucjali kwani wengine ha2jifahamu kama ni warefu ama wafupi.Next tym jaribu kuspecify urefu wa cm ngapi au kama vp uwe unawaita kama 10 kwa ajili ya interview.Asiye na vigezo unampiga chini.
 
Chezeya JF weye!!! labda njemba kwa uelewa wake naye ni "MUREFU"
Ha ha haaa! Tatizo bibie hakuweka kipimo cha urefu yeye kataka tu njemba ndefu bila kujua kuwa hata rula ya inchi 12 ni ndefu pia ikilingwanishwa na ile ya inchi 6. Lol!
 
ha ha ha umekutana na ndizi sukari.....
sipati picha aibu ulioipata kama ulienda na shostito akamuone shemeji ake!!!!!!

Hahahaahahahahaaha!!!! inaonyesha yeye mrefu,kaenda kukutana na kituko balaaaa!!! hana hamu alipo, hayo ndiyo mambo ya ONLINE DATING vumilia tu mleta mada. ila umenichekesha sana.
 
ha ha ha........JF kiboko....khaaaaa
 
Hahahaahahahahaaha!!!! inaonyesha yeye mrefu,kaenda kukutana na kituko balaaaa!!! hana hamu alipo, hayo ndiyo mambo ya ONLINE DATING vumilia tu mleta mada. ila umenichekesha sana.

haya mambo yanatiaga aibu acha tu......!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom