Wanaume: Dawa ya kumshika mpenzi

Wanaume: Dawa ya kumshika mpenzi

Unajua kuna mambo mengine hayahitaji uchawi wala elimu ya juu kuyafahamu

Pesa mwanaharamu ati
Na hizo pesa za kumpa ni tsh ngapi? Maana kama pesa ni kigezo then hata kama unazo wapo wengine nao wanazo kama wewe au zaidi yako na wanaweza kumtaka pia
 
Ukitaka kumtongoz demu mzur kasimame mbele mlango wa benk na ushikilie bahasha kubwa ilyo tuna wazee.
 
PESA NDIO JIBU. tafuta hela tu wengine wote utazidishiwa.
 
Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na jopo la wataalamu wa ladha na utamu wa tunda la kati.

Umebainisha kuwa hakuna shoti kati katika kumbakisha mywife wako zaidi ya kujituma kwenye kazi ili ujiongezee kipato na uweze kumtunza vyema mywife wako kwa kumtimizia mahitaji yake yote( yakiwemo mambo yetu yaleeee).

Nawasilisha.

Pesa sio kila kitu,
Vitu kama kuila papuchi sawasawa, upendo, amani, kuhesgimiana, kusameheana na vingine kama hivyo ni muhimu sana katika maisha ya mapenzi. Kuna watu walikabidhi hadi kadi za bank na bado wametendwa.
 
PESA NDIO JIBU. tafuta hela tu wengine wote utazidishiwa.
Pesa sio kila kitu,
Vitu kama kuila papuchi sawasawa, upendo, amani, kuheshimiana, kushirikishana, kusameheana na vingine kama hivyo ni muhimu sana katika maisha ya mapenzi. Kuna watu walikabidhi hadi kadi za bank na bado wametendwa.
 
Pesa sio kila kitu,
Vitu kama kuila papuchi sawasawa, upendo, amani, kuhesgimiana, kusameheana na vingine kama hivyo ni muhimu sana katika maisha ya mapenzi. Kuna watu walikabidhi hadi kadi za bank na bado wametendwa.
Rudia tena kusoma nilichokiandika kama hujaelewa nikuhadithie kwa kina....
 
Back
Top Bottom