Wanaume Badilikeni Wanawake wameharibika Siku hizi,sio zamani.

Comrade Liu Yang

Senior Member
Aug 16, 2023
149
256
Wanaume badilikeni zama za kuhangaika na mwanamke kisa unampenda sana epukeni hiyo tabia.

Wanawake sasa kwa uchunguzi nilioufanya usio rasmi Asilimia sio chini ya 70% wanajiuza...

Anaweza jiuza Directly au indirectly, Kundi kubwa lipo kwenye hii package ya indirectly selling

Wapo wanaojiuza makanisani,makazini,na wengi sana sasa hivi wamejificha kwenye kivuli cha "Natafuta Kazi"

Ukikutana na Pisi mdada mrembo hana Kazi shtuka ndugu yangu,usida ganywe eti ndio kamaliza Chuo hana mishe.

Mtu asie na kazi anapangaje? mtu asie na kazi online 25hrs, Hasa hawa wadada wamiliki SMARTPHONE waogopeni sana kuweni nao makini.

Chunguzeni kazi wanazowambia wanafanya je ni Kweli wanafanya hizo kazi? Wanawake wameharibika sanaa...

Mwanamke unaemtesekea leo kumpata kuna mwenzako anamla muda wowote kwa dau la 20k 30k akitaka kulala nae anaambiwa aongeze 20k yani pesa yako tu.

Wewe huli/hulali/hufanyi kazi unamuwaza mtu huyo huyo na walivyo wajanja akijua hujamshtukia michezo yake nakuhakikishia Atakusumbua mpka umpate kazi umefanya.

Anakusumbua kwanini??

Anakusumbua sababu anafikiria akikukubalia atakua anakupa bure anytime tena bila pesa sasa anaona haya ni matumizi mabaya ya mwili wake.

Wanaume Acheni kujitia makomando kwenye ku spoil wadada msio wajua kisa ni wazuri wanavutia acheniiii.

Wanawake Wa siku Hizi ni Pasua kichwaa asilimia ndogo sana imebaki ya wanawake wanaojitambua.

Hili ni TANGAZO kwa wanaume wote mnaosumbuliwa na hao wapenzi zenu ambao bado hawaja wakubali,nk.

na kwa wale mnaotafuta wapenzi wapya kuweni makini makini badilisheni sifa mlizoweka za mwanamke Bora wa kuoa/kubdate nae.

Update hizo server zenu hawa viumbe wako updated sasa wanaume mnaotumia old version memory jitathminini.
 
Wanaume badilikeni zama za kuhangaika na mwanamke kisa unampenda sana epukeni hiyo tabia.

Wanawake sasa kwa uchunguzi nilioufanya usio rasmi Asilimia sio chini ya 70% wanajiuza...

Anaweza jiuza Directly au indirectly, Kundi kubwa lipo kwenye hii package ya indirectly selling

Wapo wanaojiuza makanisani,makazini,na wengi sana sasa hivi wamejificha kwenye kivuli cha "Natafuta Kazi"

Ukikutana na Pisi mdada mrembo hana Kazi shtuka ndugu yangu,usida ganywe eti ndio kamaliza Chuo hana mishe.

Mtu asie na kazi anapangaje? mtu asie na kazi online 25hrs, Hasa hawa wadada wamiliki SMARTPHONE waogopeni sana kuweni nao makini.

Chunguzeni kazi wanazowambia wanafanya je ni Kweli wanafanya hizo kazi? Wanawake wameharibika sanaa...

Mwanamke unaemtesekea leo kumpata kuna mwenzako anamla muda wowote kwa dau la 20k 30k akitaka kulala nae anaambiwa aongeze 20k yani pesa yako tu.

Wewe huli/hulali/hufanyi kazi unamuwaza mtu huyo huyo na walivyo wajanja akijua hujamshtukia michezo yake nakuhakikishia Atakusumbua mpka umpate kazi umefanya.

Anakusumbua kwanini??

Anakusumbua sababu anafikiria akikukubalia atakua anakupa bure anytime tena bila pesa sasa anaona haya ni matumizi mabaya ya mwili wake.

Wanaume Acheni kujitia makomando kwenye ku spoil wadada msio wajua kisa ni wazuri wanavutia acheniiii.

Wanawake Wa siku Hizi ni Pasua kichwaa asilimia ndogo sana imebaki ya wanawake wanaojitambua.

Hili ni TANGAZO kwa wanaume wote mnaosumbuliwa na hao wapenzi zenu ambao bado hawaja wakubali,nk.

na kwa wale mnaotafuta wapenzi wapya kuweni makini makini badilisheni sifa mlizoweka za mwanamke Bora wa kuoa/kubdate nae.

Update hizo server zenu hawa viumbe wako updated sasa wanaume mnaotumia old version memory jitathminini.
Ok
 
crop_1715440528657.jpg
 
Ukweli mchungu aisee , Kuna Manzil sikujua kama kaolewa nikamtongoza akakubali aisee ,nilipo muomba penzi akasema unashingapi? Kweli nilikula lakini da , ananiuzia Kila napo mpiga dudu
 
Wanaume badilikeni zama za kuhangaika na mwanamke kisa unampenda sana epukeni hiyo tabia.

Wanawake sasa kwa uchunguzi nilioufanya usio rasmi Asilimia sio chini ya 70% wanajiuza...

Anaweza jiuza Directly au indirectly, Kundi kubwa lipo kwenye hii package ya indirectly selling

Wapo wanaojiuza makanisani,makazini,na wengi sana sasa hivi wamejificha kwenye kivuli cha "Natafuta Kazi"

Ukikutana na Pisi mdada mrembo hana Kazi shtuka ndugu yangu,usida ganywe eti ndio kamaliza Chuo hana mishe.

Mtu asie na kazi anapangaje? mtu asie na kazi online 25hrs, Hasa hawa wadada wamiliki SMARTPHONE waogopeni sana kuweni nao makini.

Chunguzeni kazi wanazowambia wanafanya je ni Kweli wanafanya hizo kazi? Wanawake wameharibika sanaa...

Mwanamke unaemtesekea leo kumpata kuna mwenzako anamla muda wowote kwa dau la 20k 30k akitaka kulala nae anaambiwa aongeze 20k yani pesa yako tu.

Wewe huli/hulali/hufanyi kazi unamuwaza mtu huyo huyo na walivyo wajanja akijua hujamshtukia michezo yake nakuhakikishia Atakusumbua mpka umpate kazi umefanya.

Anakusumbua kwanini??

Anakusumbua sababu anafikiria akikukubalia atakua anakupa bure anytime tena bila pesa sasa anaona haya ni matumizi mabaya ya mwili wake.

Wanaume Acheni kujitia makomando kwenye ku spoil wadada msio wajua kisa ni wazuri wanavutia acheniiii.

Wanawake Wa siku Hizi ni Pasua kichwaa asilimia ndogo sana imebaki ya wanawake wanaojitambua.

Hili ni TANGAZO kwa wanaume wote mnaosumbuliwa na hao wapenzi zenu ambao bado hawaja wakubali,nk.

na kwa wale mnaotafuta wapenzi wapya kuweni makini makini badilisheni sifa mlizoweka za mwanamke Bora wa kuoa/kubdate nae.

Update hizo server zenu hawa viumbe wako updated sasa wanaume mnaotumia old version memory jitathminini.
Naunga mkono hoja... mmmoja alinichana kabisa hawezi nipa mwili wake kwa sh 6k maana nilipo mla nilimtia 6k baada ya kumshughulisha usiku kucha... nikamjibu sikujua ka anauza nimempotezea sasa
 
Back
Top Bottom