Wanaume acheni kuwa 'Marioo'

Wanaume acheni kuwa 'Marioo'

Alikuwa anafoc
Yani kama ni nguo imepita akaipenda,anakwambia ninunulie hiyo,kwa kufoc
Akiona umetumia kahela kwenye simu akajua anakwambia twende tukaitoe tutoke wikend,akifika kwa wakala anataja hadi kiasi chote kabla hujasema unatoa shilingi ngapi
Alikariri hadi pasword za simu yangu,nilipogundua nikazibadili fasta
Kwani nilimwuliza mbona simu yako hujanipa password ila yangu unataka uyajue? Especially yanayohusu pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaahh huyo ni mwanaume chuma ulete ,mpende mitelemko , K upewe bure alafu bado uhudumiwe kama mtoto mchanga daahhh balaaaa ilo .

Uliwah mwambia???
 
Ndio,anabadilika siku 2,siku ya tatu anakuja kwambia nitafutie laki 2 nina shida nayo
Sasa huyu mwanaume kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaahhh sawa, itakua anajua una madhaifu kiasi fulan ndo maana akawa ivo alafu anajua wee kwake umeoza umekufaa, so anachofanya ni.kukugegeda vzuri vzuri ili in returns uogope kumkosa nabaada ya hapo utalubaliana na Mizinga yake.
 
Yes sasa utasema huyu si marioo?na kazi anayo
Bora angekuwa hana ajira
Yaelekea aliwahi date na jimama likawa linampa hela,sasa kaisha does
Mie bado kijana, natafuta maisha,nimepanga,napanda daladala halafu unaomba nikukopeshe hela ununue gari,si uzwazwa huo

Sent using Jamii Forums mobile app
Whaaaat! Anunue Gari? Nacheka kisweden[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji382]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa anafoc
Yani kama ni nguo imepita akaipenda,anakwambia ninunulie hiyo,kwa kufoc
Akiona umetumia kahela kwenye simu akajua anakwambia twende tukaitoe tutoke wikend,akifika kwa wakala anataja hadi kiasi chote kabla hujasema unatoa shilingi ngapi
Alikariri hadi pasword za simu yangu,nilipogundua nikazibadili fasta
Kwani nilimwuliza mbona simu yako hujanipa password ila yangu unataka uyajue? Especially yanayohusu pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah this is too much! Mi na vibao ningemnasa asee!

Hukuchunguza sio bwabwa hiloo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
[emoji121]
NIMEKUSIKIA!

NITAACHA KUKUOMBA HELA.

KUNA LINGINE??
[emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji469] [emoji469] [emoji469] [emoji469] [emoji469] [emoji469] [emoji469]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wanawake gani hawa wanaowapa pesa wanaume hahaha.

Hawa hawa ninaowajua. Sijawahi kuona mwanamke asieumwa na pesa yake. hata akikuambia kuna shida hii na anapesa yake ukamwambia lipa nipo busy nitakurefund ataanza kujiuliza uliza.
 
Unakutana wap na hizo type jaman? Yani mm kabla cjaolewa enzi za kudate ilikuwa mwanaume nnae date nae hata akinibip tu naanza kuwa na mashaka aisee, au kuwa na mwanaume anaependa kutuma msg kupiga cmu mara moja moja aisee naanza kupata mashaka, eti ndo uniombe hela block itakuhusu saa hiyo hiyo, huwa nikisikia wadada wanasema wanaombwa hela na wanaume nabaki kushangaa, how? Anaanzaje? Amekuonaje? Au ww ndo umemtongoza?
Kwa hiyo mkuu mwanaume akiwa mtu wa meseji meseji ujue mario! Basi nitakuwa na vinasaba vya kimario.

Hili ni tatizo langu Nitapiga simu kwa ishu serious zingine zote meseji... Unaweza kuwa rafiki yangu mwaka mzima sijawahi kukupigia simu.
 
Back
Top Bottom