witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,769
Haahaa muacheni mdada wa watuKm mlezi wa wana sema wahuni tukaribie tule slope[emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Haahaa muacheni mdada wa watuKm mlezi wa wana sema wahuni tukaribie tule slope[emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemwacha tatizo kinganganizi
Mie siwez kuwa mchepuko that's y wananililia nikiwamwagaMichepuko isiyo misumbufu ya aina hii ndo naipendaga sana, aloo siku ukiwachoka sana niPM.
Aaahh huyo ni mwanaume chuma ulete ,mpende mitelemko , K upewe bure alafu bado uhudumiwe kama mtoto mchanga daahhh balaaaa ilo .Alikuwa anafoc
Yani kama ni nguo imepita akaipenda,anakwambia ninunulie hiyo,kwa kufoc
Akiona umetumia kahela kwenye simu akajua anakwambia twende tukaitoe tutoke wikend,akifika kwa wakala anataja hadi kiasi chote kabla hujasema unatoa shilingi ngapi
Alikariri hadi pasword za simu yangu,nilipogundua nikazibadili fasta
Kwani nilimwuliza mbona simu yako hujanipa password ila yangu unataka uyajue? Especially yanayohusu pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah acha tu
Huu uzi mbona sioni wadada hawa wanaume kimewauma coz na kuna marioo humu humu hebu ngoja niwatagVipi nawe unaombaomba hela kwa demu wako?mbona hasila hivo
Simpend ndio kwasababu kajigeuza marioo
Kama alikotoka alizoeshwa kulelewa hapa kafeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio,anabadilika siku 2,siku ya tatu anakuja kwambia nitafutie laki 2 nina shida nayoAaahh huyo ni mwanaume chuma ulete ,mpende mitelemko , K upewe bure alafu bado uhudumiwe kama mtoto mchanga daahhh balaaaa ilo .
Uliwah mwambia???
Aaahhh sawa, itakua anajua una madhaifu kiasi fulan ndo maana akawa ivo alafu anajua wee kwake umeoza umekufaa, so anachofanya ni.kukugegeda vzuri vzuri ili in returns uogope kumkosa nabaada ya hapo utalubaliana na Mizinga yake.Ndio,anabadilika siku 2,siku ya tatu anakuja kwambia nitafutie laki 2 nina shida nayo
Sasa huyu mwanaume kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Whaaaat! Anunue Gari? Nacheka kisweden[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji382]Yes sasa utasema huyu si marioo?na kazi anayo
Bora angekuwa hana ajira
Yaelekea aliwahi date na jimama likawa linampa hela,sasa kaisha does
Mie bado kijana, natafuta maisha,nimepanga,napanda daladala halafu unaomba nikukopeshe hela ununue gari,si uzwazwa huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah this is too much! Mi na vibao ningemnasa asee!Alikuwa anafoc
Yani kama ni nguo imepita akaipenda,anakwambia ninunulie hiyo,kwa kufoc
Akiona umetumia kahela kwenye simu akajua anakwambia twende tukaitoe tutoke wikend,akifika kwa wakala anataja hadi kiasi chote kabla hujasema unatoa shilingi ngapi
Alikariri hadi pasword za simu yangu,nilipogundua nikazibadili fasta
Kwani nilimwuliza mbona simu yako hujanipa password ila yangu unataka uyajue? Especially yanayohusu pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji121]Hi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
Sifa moja ya marioo ni ving'ang'anizi hataree! Halafu huyo kazoea maskini na akamwagwa huko ndo kaja kwako!Nimemwacha tatizo kinganganizi
Hataki kuachika,kila leo anataka tuongee
Tuongee nin ilhal tatizo nishamweleza na hataki kubadilika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mkuu mwanaume akiwa mtu wa meseji meseji ujue mario! Basi nitakuwa na vinasaba vya kimario.Unakutana wap na hizo type jaman? Yani mm kabla cjaolewa enzi za kudate ilikuwa mwanaume nnae date nae hata akinibip tu naanza kuwa na mashaka aisee, au kuwa na mwanaume anaependa kutuma msg kupiga cmu mara moja moja aisee naanza kupata mashaka, eti ndo uniombe hela block itakuhusu saa hiyo hiyo, huwa nikisikia wadada wanasema wanaombwa hela na wanaume nabaki kushangaa, how? Anaanzaje? Amekuonaje? Au ww ndo umemtongoza?
Asee...kama umelitupa kwenye dustbin hilo limarioo shukuru Mungu!Hahahah acha tu
Halafu anaona ni haki yake umfanyie hayo
Mie nimesoma kwa tabu so na work smart nifikie ndoto zangu na siyo kuja kulea marioo
Sent using Jamii Forums mobile app