Wanaume acheni kuwa 'Marioo'

Wanaume acheni kuwa 'Marioo'

Mwanaume anayetaka kukuacha pia hufanya hivyo ili kosa liwe upande wako anaepuka lawama
Nope mie ndio nimemwacha,toka alovyoanza mizinga nikampiga chini kimyakimya. Eti jana ananambia tukutane leo tuzungumze,wakati najua hata tukikutana gharama zote ntalipia mie wakati naye ana kazi.nikamjibu kesho naenda site coz lazima nitafute hela nijiweke mjini lasivyo ntaadhirika.akakasirika na kukata simu.binafsi sipendi kuombwa hela nilizozipata kwa tabu kizembezembe tu tena na dume lenye kazi yake.

Mara aniombe nauli,mara ada anataka kwenda ongeza masomo,mara tukitoka out anataka umpe nauli yakurudia kwake,hadi aibu kuelezea.si udangaji huu.ndo ishatoka hiyo hanipati ng'oo manake mwanaume kama huyu hata akikuowa majukumu yote ya familia atamwachia mama.hhalafu unategemea mwanamke akuheshimu?wakati una kazi na hela zako anajua unaspend na marafik zake kwenye mabaa.?kweli jamii imeharibika sana na ni aibu kwa kizaz kijacho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nope mie ndio nimemwacha,toka alovyoanza mizinga nikampiga chini kimyakimya. Eti jana ananambia tukutane leo tuzungumze,wakati najua hata tukikutana gharama zote ntalipia mie wakati naye ana kazi.nikamjibu kesho naenda site coz lazima nitafute hela nijiweke mjini lasivyo ntaadhirika.akakasirika na kukata simu.binafsi sipendi kuombwa hela nilizozipata kwa tabu kizembezembe tu tena na dume lenye kazi yake.

Mara aniombe nauli,mara ada anataka kwenda ongeza masomo,mara tukitoka out anataka umpe nauli yakurudia kwake,hadi aibu kuelezea.si udangaji huu.ndo ishatoka hiyo hanipati ng'oo manake mwanaume kama huyu hata akikuowa majukumu yote ya familia atamwachia mama.hhalafu unategemea mwanamke akuheshimu?wakati una kazi na hela zako anajua unaspend na marafik zake kwenye mabaa.?kweli jamii imeharibika sana na ni aibu kwa kizaz kijacho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anamaanake nyingine hakuna mwanaume anaweza simama mbele ya mwanamke ambaye ana malengo naye afu akuombe heka wakati anakazi yake hata asingekuwa na kazi ni ngumu kufanya hivyo yaani kuliko kuomba hela ya mwanamke bora utembee kwa mguu tu hapo kwenye hela ya outing inawezekana kutokana na nani ni host wa tukio pia siwez kwambia mm tukatoke afu garama ziwe kwako huyo hana malengo naww kubaliana na mm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanakufanya hvo kwasababu ww ndo ulivo ukitaka upate mwanamme mzur ww ndo unahitaj kubadilika hata kama ulilelewa kujitaftia ndio na una hela hebu acha kuwa mwanamme unatakiwa mwanamme umwombe matumizi kama saloon shopping n.k sasa ww wanakuomba hela kwa sababu ya life stail yako ya kujihidumia kila kitu sa mtu hujawah kuhitaj hela ya matumiz s lazima hata yy atakuomba tu inshort dada yangu acha kuwa mwanamme badilika
We nawe mie nafanya kazi naishi peke yangu kwahiyo hata nguo nisijinunulie,nisilipe kodi,nisinunue chakula nisubiri aje mwanaume kutoka huko aje anifanyie hayo sio?inshort nisiishi maisha yangu nisubiri kuna mwanaume atakuja nitimizia hayo?

Mtu huyu kanikuta na maisha yangu,kanitongoza hatuna hata mwezi anaanza kuniomba hela.kwani nilimwita?inshort ni opportunist kaniona niko njema ndo kuingia na gia ya mapenzi akidhan am stupid
Nilimsuspect toka awali,nilikuwa namlia timing nijoridhishe ili nimwage. Na nishafanya hivyo. Sihitaj marioo in my life.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo anamaanake nyingine hakuna mwanaume anaweza simama mbele ya mwanamke ambaye ana malengo naye afu akuombe heka wakati anakazi yake hata asingekuwa na kazi ni ngumu kufanya hivyo yaani kuliko kuomba hela ya mwanamke bora utembee kwa mguu tu hapo kwenye hela ya outing inawezekana kutokana na nani ni host wa tukio pia siwez kwambia mm tukatoke afu garama ziwe kwako huyo hana malengo naww kubaliana na mm

Sent using Jamii Forums mobile app
I know
Lilikuja likadhan litanichuna
Tena lilikuwa linaforce hadi kuhamia kwangu,ili iweje?nachojua wanawake ndo tunatabia ya kuhamia kwa mwanaume,nikampiga marufuku kuja kwangu.

Likajidai kununa wakati niligundua motive yake from the beginning ni kutumia sex aniteke kimahaba then lianze nitumia ama kuniblackmail.am way too smart to be blinded by sex machines.walokutuma wambie she is too smart,tumieni mbinu za usa ama urusi,ila kibongo mmefeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
W
Hi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
Wapo wenzako kama hao ma ofisini huku tena wengine wanatoa hela za mahari mfukoni mwao wewe unajibaraguza tu hapa, wengi wenu mkiwa desperate mnafanya sana hivyo vitu, nilichokuja kugundua wale wanawake wanaofanya kazi sehemu nzuri nzuri wanaume wao wengi hua ni mamarioo ila hawa wanawake wanaofanya kazi za kawaida kawaida hua wanawapata wanaume wanaowahudumia
 
Hi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
weee ndo una matatizoo kilicho kuwasha kulea wanaume n nn...???
 
Mkipendaga nyie mnatoaga mpaka mik*ndu eti leo huoni ata aibu eti ananiomba pesa mbn akiomba tigo husemi sema tu ukwel huyo jamaa wewe hujampenda achana nae kimya kimya sio vita.
 
W
Wapo wenzako kama hao ma ofisini huku tena wengine wanatoa hela za mahari mfukoni mwao wewe unajibaraguza tu hapa, wengi wenu mkiwa desperate mnafanya sana hivyo vitu, nilichokuja kugundua wale wanawake wanaofanya kazi sehemu nzuri nzuri wanaume wao wengi hua ni mamarioo ila hawa wanawake wanaofanya kazi za kawaida kawaida hua wanawapata wanaume wanaowahudumia
Kama wanawatolea mahari ni wao
Sio mimi
Sitongozi mwanaume na sihitaj marioo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkipendaga nyie mnatoaga mpaka mik*ndu eti leo huoni ata aibu eti ananiomba pesa mbn akiomba tigo husemi sema tu ukwel huyo jamaa wewe hujampenda achana nae kimya kimya sio vita.
Vipi nawe unaombaomba hela kwa demu wako?mbona hasila hivo
Simpend ndio kwasababu kajigeuza marioo
Kama alikotoka alizoeshwa kulelewa hapa kafeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkipendaga nyie mnatoaga mpaka mik*ndu eti leo huoni ata aibu eti ananiomba pesa mbn akiomba tigo husemi sema tu ukwel huyo jamaa wewe hujampenda achana nae kimya kimya sio vita.
Vipi nawe unaombaomba hela kwa demu wako?mbona hasila hivo
Simpend ndio kwasababu kajigeuza marioo
Kama alikotoka alizoeshwa kulelewa hapa kafeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna jeuri hio maana huna pa kwenda na utamtunza tu huyo marioo maana ringi limeshakukata...
Vipi nawe unaombaomba hela kwa demu wako?mbona hasila hivo
Simpend ndio kwasababu kajigeuza marioo
Kama alikotoka alizoeshwa kulelewa hapa kafeli,jitu lina kazi bado kulialia hovyo kwa demu,si uzwazwa huo
Au ndo wewe nini
Ushaachwa babu we
Ukiachwa achika unakuwa kama luba bana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom