Wanaume acheni kuwa 'Marioo'

Wanaume acheni kuwa 'Marioo'

The iron batterfly

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
1,952
Reaction score
2,527
Hi

Jamani nimechoka kupigwa mizinga na wanaume. Tuseme ukweli nikulishe, nikuvishe, nilipie hadi lodge, mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?

Wanaume badilikeni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume, kamwe!

Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa. Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz.

Ni aibuuuu, wanaume sijui wamekuwaje siku hizi. Siwezi kukuheshimu kama nakulisha.

Wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe. Oneni Lady Jaydee, Flora Mbasha ndoa zilifeli kwakuwa waume walikuwa marioo.

Badilikeni
 
Hi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
Acha unafiki wewe kilaza tu una lolote hakuombe nani pesa wanaume tunajitambua atuwezi kuomba pesa Demu acha ushamba
 
Si kuwa wanaume wamekuwaje, ni wewe tu, the type of men you attract. To put it bluntly.

There must be something about yourself au unachofanya that makes all Marioos flock to you. Change it!
Ok
But trust me sijawahi watongoza hata mmoja,and I live a very normal life
Wa mwisho nilimwambia please don't ask me for money,coz alikuwa daily ananililia shida,akasema nimemdahlilisha
Me nimelelewa to find for my self,siombiombi hovyo
May be nianze kuwapiga mizinga kabla hahahah
 
Hahitaji heshima kutoka kwako anachohitaji ni pesa
 
unajua kupenda dada?kama unampenda mtu(sio kumtamani)lazima utamuheshimu.upendo na heshima havitengamani ndio maana baba yako hata kama unamtunza kwa kila kitu lazima utamheshimu tu.
Hujaelewa point yangu
Kusaidiana kupo
Ila isiwe umenitongoza ili upate kitonga cha maisha
It's disgusting
 
Hahitaji heshima kutoka kwako anachohitaji ni pesa
Hao wanapenda wanaume wa kuwanyonya k! Obvious mwanaume wa uhakika sanasana ataweka kidole si ulimi katika k! Ukiona mwanaume anakubali kuingiza ulimi hata D2 lazima akuombe pesa
 
Acha unafiki wewe kilaza tu una lolote hakuombe nani pesa wanaume tunajitambua atuwezi kuomba pesa Demu acha ushamba
Sawa mie kilaza sikatai
Ila mwanaume mwenzio mwenye vichwa 2 kama wewe amekuwa akiniomba hela kila leo
Alafu cha ajabu ana kazi na mshahara
Jamen badilikeni
Mengi asingemwoa klyn kama angekuwa anamwomba visenti kila leo
 
Wakina neymusic kutwa kushinda kwenye vioo na selfie.
 
Utakuwa uko vzuri mfukoni ndio maana wanakuona n fursa.Sijui n nn kilitokea kwa wanaume siku hizi.mke mpe love pesa apende mwenyewe kukupa
 
Ok
But trust me sijawahi watongoza hata mmoja,and I live a very normal life
Wa mwisho nilimwambia please don't ask me for money,coz alikuwa daily ananililia shida,akasema nimemdahlilisha
Me nimelelewa to find for my self,siombiombi hovyo
May be nianze kuwapiga mizinga kabla hahahah
Haha uwawahi kabla hawajakuwahi au sio

Sometimes sio unachosema, bali ni unavojiweka tu. The non verbal language you put out
 
Back
Top Bottom