The iron batterfly
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 1,952
- 2,527
- Thread starter
- #81
Sana tuUnaonekan umechukia xn...mwambie sasa,km uko poa co kitu mlee tu jamaa kwan k2 gn.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijaribu kumweleza lakin akawa haelewi
Tena siku hiyo nikamchana live kuwa asiniombe hela kwan nami nabangaiza tu,akasema ok,baada ya siku mbili ananambia naomba unitoe out,nikamjibu poa nakuja,nikazima simu nikalala
Sent using Jamii Forums mobile app