Wanaume acheni kuwa 'Marioo'

Wanaume acheni kuwa 'Marioo'

Aaahhh sawa, itakua anajua una madhaifu kiasi fulan ndo maana akawa ivo alafu anajua wee kwake umeoza umekufaa, so anachofanya ni.kukugegeda vzuri vzuri ili in returns uogope kumkosa nabaada ya hapo utalubaliana na Mizinga yake.
Nope mtu ajilete mwenyewe na baby baby nyingi,halafu ndani ya mwezi nifall kizembe to,sijawahi
Lilikuwa lengo lake from the beggining kunidate apate mtelezo coz of my job
Sema kakuta mie nawaza hatua mia kabla yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wanaogawa hela kwa marioo hawaandikagi "jomoniii"
Huu muandiko wako unaonesha mleta mada ni "Mdangaji" maarufu.
 
Kwanza huo ujasiri tu wa kuingia kumlala mwanamke lodge kalipia yeye sijui unatokea wapi aiseee, au mwanamke una kwako eti nije tudinyiane hapo kwako nooooooooh!
Hapo ndipo nilipomtoa thamani
Sikumwambia ila nikapunguza mawasiliano fasta
Nilijua nimeingizwa mjini so bora kusepa kimyakimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jomoni..

Nilivyoona tu nimeskip

[emoji252] [emoji479]
 
Hapo ndipo nilipomtoa thamani
Sikumwambia ila nikapunguza mawasiliano fasta
Nilijua nimeingizwa mjini so bora kusepa kimyakimya

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wenye vipato vyenu na nyie mna kazi sana. Hapo ukute ulimpata baada ya kuona hali imekuwa tete ukaamua walau umpate wa kukupunguzia [emoji3] [emoji3] matokeo yake ukaja gundua unaingizwa mjini sio muda ukajiongeza
 
Wanawake wenye vipato vyenu na nyie mna kazi sana. Hapo ukute ulimpata baada ya kuona hali imekuwa tete ukaamua walau umpate wa kukupunguzia [emoji3] [emoji3] matokeo yake ukaja gundua unaingizwa mjini sio muda ukajiongeza
mkuu huyu shemeji alikodi hadi lodge ili apewe muhogo, alipokata kiu sasa akili imemrudo[emoji28] [emoji28] [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nope mtu ajilete mwenyewe na baby baby nyingi,halafu ndani ya mwezi nifall kizembe to,sijawahi
Lilikuwa lengo lake from the beggining kunidate apate mtelezo coz of my job
Sema kakuta mie nawaza hatua mia kabla yake

Sent using Jamii Forums mobile app
So now , The seat already booked? yaan ulimpiga kibut au ulimrekebisha ?

Duuuh inaonekana una Msambwandaaa eeehhh kama mbantu halisi.
 
Wanawake wenye vipato vyenu na nyie mna kazi sana. Hapo ukute ulimpata baada ya kuona hali imekuwa tete ukaamua walau umpate wa kukupunguzia [emoji3] [emoji3] matokeo yake ukaja gundua unaingizwa mjini sio muda ukajiongeza
Nope kajileta mwenyewe
Sijawah hata mshobokea
Aliplan sema imeback fire

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom