mboperatransy
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 323
- 1,362
Mwanaume machine
Hahaha sorryIla sio vizuri kuwekea mfano wa ndoa za watu, mambo ya ndoa ni zaidi ya uhawala, kumsema Mbasha na Gardina its disgusting too.
nimekuelewa sana ila nilichogundu huyo jamaa humpendi au umemchoka,madam mtu unayempenda huwezi kumtangazaHujaelewa point yangu
Kusaidiana kupo
Ila isiwe umenitongoza ili upate kitonga cha maisha
It's disgusting
Hahaha asante mweehPole kwa yaliyokukuta
Marioo wamekusikia
Kama ni kweli ebu weka namba yake tumwambie aache kutudharilisha wanaume bhanaSawa mie kilaza sikatai
Ila mwanaume mwenzio mwenye vichwa 2 kama wewe amekuwa akiniomba hela kila leo
Alafu cha ajabu ana kazi na mshahara
Jamen badilikeni
Mengi asingemwoa klyn kama angekuwa anamwomba visenti kila leo
Hahaha ni kweliKama ni kweli ebu weka namba yake tumwambie aache kutudharilisha wanaume bhana
Hujanielewa jamanKwa hiyo kumsaidia mpenzi wako ndio unakuja kulalama huku..!
Hahahahahah inauma kuombwa hela,acha tu tena na dume lenye kengele zake 2,na kazi,mwanaume kama huyo hata akikuoa mama ndiyo utakuwa providerHahaaaahaaa mkuki kwa nguruwe.....
Hahahahahah inauma kuombwa hela,acha tu tena na dume lenye kengele zake 2,na kazi,mwanaume kama huyo hata akikuoa mama ndiyo utakuwa provider
Teh teheNaona umeanza kuelewa maumivu tunayopata wanaume, ninyi wadada mkitupiga mizinga/mkituomba hela The iron batterfly