Wanaume acheni kulalamika

Wanaume acheni kulalamika

dada dori

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2015
Posts
233
Reaction score
93
Habari wana Jf!

Mimi huwa siwaelewi wanaume,niseme baadhi yao kwa kulalamika.Baadhi ya wanaume hulalamika pindi wanapoombwa pesa na wapenzi wao eti kwa kuwa tangu waanze uhusiano wana muda mfupi sana.

Utasikia wengine wanasema hata siku 7 hazijaisha ananiomba laki 3!Hawa hawa wanaume wamekuwa wepesi kuomba papuchi kwa wanawake mapema kuliko hata maelezo,anataka atongoze leo&leo hii hii agegede!

Naomba malalamiko yasiwepo,oa weka ndani!
 
Kwa hiyo ww ya kwako uliitoa baada ya kuoewa hela
 
Wape wenzio acha kinyongo,aliokwambia inauzwa nani,siku hizi kuna TAKUKURU kila kona ole wenu.
 
Si ajabu, ndo maana wadada wengi siku hizi mnaliwa tigo sababu ya kuendekeza njaa zenu, kwani nkikugegeda raha c tunapata wote iweje na hela uniombe, yani nkupe dushelele na hela juu, wtf!!! dada dori
 
Last edited by a moderator:
Hapo ndio nawashangaa hawa wakuitwa wanawake yaani
kwenye kugegedwa wanataka
wapate utamu
wafikishwe kunako
na hela pia

aaaaa huu ni wizi kuweni fair basi chagua moja au mawili
hela zitupe stress hadi kuwagegeda tupate stress
 
Kwan hata ukitoa papuchi na ww c unapata rahaaa tena hadi mnatuachia makovu,,,kama hitaki baki nayo ijae buibui
 
Habari wana jf!Mimi huwa siwaelewi wanaume,niseme baadhi yao kwa kulalamika.Baadhi ya wanaume hulalamika pindi wanapoombwa pesa na wapenzi wao eti kwa kuwa tangu waanze uhusiano wana muda mfupi sana.Utasikia wengine wanasema hata siku 7 hazijaisha ananiomba laki 3!Hawa hawa wanaume wamekuwa wepesi kuomba papuchi kwa wanawake mapema kuliko hata maelezo,anataka atongoze leo&leo hii hii agegede!Naomba malalamiko yasiwepo,oa weka ndani!

leta utani kwingine sio kwenye pesa..kwenye pesa hata ndugu wanagombana sembuse mupenzi tena mupya
 
Hahahah


Jamani Pesa ni hadi utafute na upate, ndio uwe nayo, lakini papuchi uko nayo wakati wote!

Leo.....


Hapo ndio nawashangaa hawa wakuitwa wanawake yaani
kwenye kugegedwa wanataka
wapate utamu
wafikishwe kunako
na hela pia

aaaaa huu ni wizi kuweni fair basi chagua moja au mawili
hela zitupe stress hadi kuwagegeda tupate stress
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom