wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,940
- 5,746
Dear binafsi ningekuwa mwanamme I think ninge complain too .. Kuna wanawake wengine are too much kuendekeza Shida / dhiki . Wewe mwanamme hata haijafika 2 weeks unamuomba hela kama sio Hila na tamaa hiyo ni kitu gani . Tujitengenezee mazingira ya kupewa na sii kuomba omba . Wanawake wengine baadhi yao hufanya maumbile yao as a business common now . Jithamini mwenyewe kwanza and then wengine watakuthamini .. Jiheshimu mwenyewe and then others will follow it. Binafsi sipendi kuomba omba .. I can do all things through Christ who gives me strength . Akinipa sawa nashukuru ( which he does) asiponipa pia sawa nashukuru ( and I still love him anyway ) . Tabia ya kuomba omba its not nice honestly .. Sikumbuki lini nimemuomba mwenzangu zaidi ya yeye kunipa . Some women need to change . Hawa wanaume ni wapenzi wetu na si wazazi wetu ambao walituzaa hivyo they must give at anytime . Thanks.
Nmekupenda sana kwa kusema ukweli ubarikiwe sasa ww ndo wife material