shabaan Dogo
Senior Member
- Apr 27, 2014
- 196
- 82
Mi napita2... msi fanye mwili kua ifisi.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Hao watakuwa ni wanaume wa Dar
Money money money.
Girls make your own cash and spend it.
You are not dating your Dad or your Bro. So he is under no obligation to succumb to your financial whims.
Money money money.
Girls make your own cash and spend it.
You are not dating your Dad or your Bro. So he is under no obligation to succumb to your financial whims.
Ofisini nna Madogo wawili. Mmoja wa kiume, ana contract employment, mwengine wa kike, ni field wa IFM.
Dogo akaamua kujitwisha mzigo kwa maelezo eti amekolea!
Wiki haikuisha dogo analia, mizinga inaongozana km mabehewa.
Mzinga wa kwanza ulikuwa nauli ya wiki nzima, kisa HESLB wamechelewesha boom!
Na bado mchezo wao wa kupelekana breakfast na lunch, nlikuwa nautazama kwa jicho kuu, dogo na mdada ss hv wanapishana, huyu akienda, huyu anarudi!
Hahahaaaaa
Ninyi mna balaa sana
Baada ya ndoa
Sema "wavulana" maana "wanaume" huwa hawaombwi, unamshawishi anatoa mwenyewe bila kuombwa.