Wanaume 40+ ni dhahabu inayotembea

Wanaume 40+ ni dhahabu inayotembea

Wakati wanawake wakifikisha umri wa miaka 30+ wanaume wanawapatia majina tofauti tofauti kama vile makinikia, nungayembe, wazee, n.k, hali ni tofauti kabisa kwa wanaume wenye umri wa 40+.

Wanaume wa umri huu kila mwanamke anawahitaji. Kwasabb wanawake wengi wana dhana zifuatazo juu yao:-
-wamekomaa kiakili na wana maamuzi sahihi.
-wanajua ku-care.
-wamepunguza tamaa za kuchepuka.
-wengi wao wanajitambua.
-wengi wamefanikiwa kimaisha.

Kwani uongo??........ Kweliiiiiî...

Usikute wewe ni mwanaume eti? kama ndio ujue ni dalili za mwanzo za .....
 
Hapo kwenye 40+ yrs huwa hakuna "Park at Your Own Risk". Instead there's "Park at Your Own Benefits!!"

Ndiyo maana wanahitajika/ wanapendwa na warembo.
Sema wengi under 40 wana headache sio za nchi hii na micheps kumi kumi
 
Miss Chagga hujampata anayepiga mazoezi ama kufanya kazi ngumu kama ukuli, kusukuma mkokoteni, ama kubeba zege. Hawa wako fiti kuliko hata under 20. Lkn ukichukua hawa wapaka shedo was ofisini hawana kitu. Hata 30s wachovu balaa
Si wanasema matajiri wanaweza piga bao moja tu ha ha ha nimekuelewa mkuu
 
Wapiii

Mwanaume akifikisha miaka 40 hajaoa unamtizama kwa jicho la tatu

Hujurupuki

Inawezekana ni fupa lililomshinda fisi....


Ila wachache huwa wazuri haswa as wanajua maisha na wamepitia mengi
Hata kama mwanaume 40+ anaweza kuwa fupa lkn hawezi linganishwa na mwanamke 30+. Mwanamke 30+ huyu ni fupa kweli kweli
 
Naona wazee wameamua kufarijiana. Wanaume 40+ kama le mutuz?

Hivi mlikua wapi mpaka mfike 40+ ndo mnakumbuka totoz wakati huu ni muda wa kusimulia hadithi wajukuu?

Hebu tulieni wazee!
It's our time, so take a chill pill in case you missed the boat!
 
Mtazamo huo hulingana na wewe binafc vile namna utaSuvivor kimaisha ujanani,kwn bado kuna kiac flani umri huohuo wa 40+ mambo huwa untclockwise yaani kile alitakiwa kufanya ktk "fullish age" ye hufanya kipindi hicho 40+.
 
Mtazamo huo hulingana na wewe binafc vile namna utaSuvivor kimaisha ujanani,kwn bado kuna kiac flani umri huohuo wa 40+ mambo huwa untclockwise yaani kile alitakiwa kufanya ktk "fullish age" ye hufanya kipindi hicho 40+.
Nakubaliana nawe, lkn ukifanya ulinganifu wanaume wenye 20s na 30s wengi wao ni pasua kichwa zaidi wakati kwa upande wa wenye 40s wengi wao wametulia
 
Nakubaliana nawe, lkn ukifanya ulinganifu wanaume wenye 20s na 30s wengi wao ni pasua kichwa zaidi wakati kwa upande wa wenye 40s wengi wao wametulia
I guess tht..
 
Naona wazee wameamua kufarijiana. Wanaume 40+ kama le mutuz?

Hivi mlikua wapi mpaka mfike 40+ ndo mnakumbuka totoz wakati huu ni muda wa kusimulia hadithi wajukuu?

Hebu tulieni wazee!
It's our time, so take a chill pill in case you missed the boat!

Hayo maneno tu mkuu, practically hakuna mwanaume anayestaafu ngono. Tamaa IPO pale pale. Ukiona mwanaume anadis ngono eti kisa ana umri mkubwa ujue anaumwa.
Ng'ombe hazeeki maini. Sex ni zaidi ya msosi kwa mwanaume. Nani hapendi kula?
 
Mleta mada hongera kwa kuweka tangazo la lemutuz pitia hapa uchukue invoice ya tangazo lako
 
Wakati wanawake wakifikisha umri wa miaka 30+ wanaume wanawapatia majina tofauti tofauti kama vile makinikia, nungayembe, wazee, n.k, hali ni tofauti kabisa kwa wanaume wenye umri wa 40+.

Wanaume wa umri huu kila mwanamke anawahitaji. Kwasababu wanawake wengi wana dhana zifuatazo juu yao:-

-Wamekomaa kiakili na wana maamuzi sahihi.
-Wanajua ku-care.
-Wamepunguza tamaa za kuchepuka.
-Wengi wao wanajitambua.
-Wengi wamefanikiwa kimaisha.

Kwani uongo? Kweli
Ni kweli kabisa japo sio wote
 
Back
Top Bottom