majebsmafuru
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 463
- 649
Kweli..
sawasawa mkuuNakuunga mkono na nina experience kubwa ya hilo
hapo watakwambia inategemea.....eti mwanamke matunzo....Hapo umenena mkuu.
Na mwanamke ni kama ndizi mbivu inavyozidi kukaa ndiyo Ina.........
Mimi nina 40+... nakuahidi sitakuangushaWakati wanawake wakifikisha umri wa miaka 30+ wanaume wanawapatia majina tofauti tofauti kama vile makinikia, nungayembe, wazee, n.k, hali ni tofauti kabisa kwa wanaume wenye umri wa 40+.
Wanaume wa umri huu kila mwanamke anawahitaji. Kwasababu wanawake wengi wana dhana zifuatazo juu yao:-
-Wamekomaa kiakili na wana maamuzi sahihi.
-Wanajua ku-care.
-Wamepunguza tamaa za kuchepuka.
-Wengi wao wanajitambua.
-Wengi wamefanikiwa kimaisha.
Kwani uongo? Kweli
Kwa mfano mimi nikoje, honey?Wapiii
Mwanaume akifikisha miaka 40 hajaoa unamtizama kwa jicho la tatu
Hujurupuki
Inawezekana ni fupa lililomshinda fisi....
Ila wachache huwa wazuri haswa as wanajua maisha na wamepitia mengi
Hahahahaha. Kweli mkuu.hapo watakwambia inategemea.....eti mwanamke matunzo....
mbona malikia elizabeth anatunzwa kweli kweli...lakini........??????
Kama ni hivyo, basi bangi lazima imehusika.hommie, hebu twende taratibu maana ndio sifa yetu huyu Sexless huyu ni jinsia gani usije ukawa umeingilie mguu wa kushoto
na huyu kajunjumele namwangalia tu.....
sio kweli wengi wao wa umri huyo huwa na hatari ya kushikwa na magonjwa kama tezi dume,ngiri na mengineyo.isitoshe hawana mikuyenge wana vibamiaaWakati wanawake wakifikisha umri wa miaka 30+ wanaume wanawapatia majina tofauti tofauti kama vile makinikia, nungayembe, wazee, n.k, hali ni tofauti kabisa kwa wanaume wenye umri wa 40+.
Wanaume wa umri huu kila mwanamke anawahitaji. Kwasababu wanawake wengi wana dhana zifuatazo juu yao:-
-Wamekomaa kiakili na wana maamuzi sahihi.
-Wanajua ku-care.
-Wamepunguza tamaa za kuchepuka.
-Wengi wao wanajitambua.
-Wengi wamefanikiwa kimaisha.
Kwani uongo? Kweli
Kama una 40+ tembea ukijua unatamaniwa na unaongelewa na mabinti kila kona. Ukipanua lips tu ukasrma neno unabeba mdadaNi kweli kabisa na asante sana kwa kutusifia. Tutajitahidi kuendelea na tabia hii nzuri.
Mleta mada kaleta mada tu kuwa mwanaume wenye 40+ mnatafutwa na mabinti kama acacia itafutavyo dhahabuMleta mada ni me au ke
Hiyo ni kweli Pricillah, umkute 40+ anayegonga kokoto, ama anabeba zege halafu mtulivu dunia yote utaiona yakoUongo
Kwahiyo na wewe hujui kama niMleta mada kaleta mada tu kuwa mwanaume wenye 40+ mnatafutwa na mabinti kama acacia itafutavyo dhahabu
au
!??