Wanasiasa wenye vyeo serikalini wanalipwa mishahara mingapi?

raslimali

JF-Expert Member
Nov 4, 2014
1,365
1,037
Huwa najiuliza kwa mfano mawaziri wetu wote ni wabunge. Je, wanapokea kila mwezi mishahara miwili? Mshahara wa mbunge na mshahara wa waziri? Na sasa tunaye naibu waziri mkuu ambaye ni 1. mbunge 2. Waziri 3. Naibu waziri mkuu. Huyu analipwa mishahara mitatu kila mwezi??
 
Back
Top Bottom