Wanasiasa watano waliokufa kwa kusimamia walichokiamini! R.I.P

1: Julius Kambalage Nyerere
Alikufa akiamini katika falsafa ya ujamaa na kuupinga Ubeberu mpaka dakika za mwisho za kifo chake!! baada ya yeye kufa panya wote wakatoka kwenye mashimo na kuanza kuuza nchi na kusababisha yote yanayotutesa leo ndiye mtu ambaye hakuiba hata mia ya Nchi hii akiwa ikulu.

2: Edward Sokoine
Mafisadi walimtengenezea ajali baada ya kuona alisimama kidete na wahujumu uchumi hakika alikufa akiwa na msimamo wake juu ya mafisdi na wahujumu uchumi wa Nchi hii.

3: Amina Chifupa
Huyu alikufa akipambana na magenge ya madawa ya kulevya alihongwa dollar nyingi ili asaliti mapambano lakini mpaka anakufa hakusita kusimama kwenye msimamo wake, pamoja na mmewe kuwa muuza madawa mkubwa.

4: Deo Filikunjombe
Uzalendo uliotukuka mafisadi ya umeme Nchi hii yakampoteza hakika kifo chake kina uchungu mkubwa Sana nyuma yake. Akiwa mwenyekiti wa kamati ya PAC alisimama kidete kutetea pesa za umma juu ya mafisadi wa umeme wa Nchi hii. Watu wakamuuza kwa kuhofia angekuja kuwa PM au Rais badae.

5: John Pombe Magufuli
R.I.P ingawa tulipishana baadhi ya Mambo lakini utabaki kwenye vitabu vya kumbukumbu Kama mwanaume mwenye msimamo mkali kwenye janga la corona. Ulisimama ulisimama kwenye ili umeacha athari kubwa kwa taifa kiufupi mwanaume mpambanaji ingawa mabeberu pamoja na makaburu weusi kukupoteza ila Sasa duniani inaona ulicho kisimamia juu ya swala la corona.

Najua Kuna watu wengi ambao wanapenda kuwa wanasiasa ila ukitaka kuwa mwanasiasa mzuri simamia unachokiamini mpaka mwisho kuwa tayari kufanya chochote kutetea msimamo wako, kuwa tayari hata kufa ukitetea msimamo wake.

Tundu Lissu na Mbowe nao uwenda wakaja kuwa kwenye kitabu hiki kwa misimamo yao isiyoyumba juu Katiba na haki katika taifa ili.

R.I.P wote, kubali kufa sio kulala!! Happy Nyerere day.
Amina was positive. Hicho ndicho kilichomuua. Aliacha kutumia dawa na hakuchukua round. Husband pia ndicho kilichomuua. Amina aliondoka na wengi na wengine bado. Sitta yawezekana "aliondolewa" na Amina.
 
Makala nzuri.

Hata mimi nilipingana na Magufuli kwenye suala la corona ila naomba nikiri kwamba mwenzetu alikua mbele ya wakati, aliwahi kuona mbele. Leo hii ndio namuelewa jamaa.

Sasa leo Mzanzibari anakuja kukopa hela za kukabiliana na corona anaenda kujenga madarasa utafikiri corona iliangusha madarasa ama madaraja na corona yenyewe haipo.

Anyway, wapumzike kwa amani.
We ukiendaga kunya mbona hua ukimaliza unapita kwenye kioo kujiweka sawa kope? Kope ndo zilikunya?
 
1: Julius Kambalage Nyerere
Alikufa akiamini katika falsafa ya ujamaa na kuupinga Ubeberu mpaka dakika za mwisho za kifo chake!! baada ya yeye kufa panya wote wakatoka kwenye mashimo na kuanza kuuza nchi na kusababisha yote yanayotutesa leo ndiye mtu ambaye hakuiba hata mia ya Nchi hii akiwa ikulu.

2: Edward Sokoine
Mafisadi walimtengenezea ajali baada ya kuona alisimama kidete na wahujumu uchumi hakika alikufa akiwa na msimamo wake juu ya mafisdi na wahujumu uchumi wa Nchi hii.

3: Amina Chifupa
Huyu alikufa akipambana na magenge ya madawa ya kulevya alihongwa dollar nyingi ili asaliti mapambano lakini mpaka anakufa hakusita kusimama kwenye msimamo wake, pamoja na mmewe kuwa muuza madawa mkubwa.

4: Deo Filikunjombe
Uzalendo uliotukuka mafisadi ya umeme Nchi hii yakampoteza hakika kifo chake kina uchungu mkubwa Sana nyuma yake. Akiwa mwenyekiti wa kamati ya PAC alisimama kidete kutetea pesa za umma juu ya mafisadi wa umeme wa Nchi hii. Watu wakamuuza kwa kuhofia angekuja kuwa PM au Rais badae.

5: John Pombe Magufuli
R.I.P ingawa tulipishana baadhi ya Mambo lakini utabaki kwenye vitabu vya kumbukumbu Kama mwanaume mwenye msimamo mkali kwenye janga la corona. Ulisimama ulisimama kwenye ili umeacha athari kubwa kwa taifa kiufupi mwanaume mpambanaji ingawa mabeberu pamoja na makaburu weusi kukupoteza ila Sasa duniani inaona ulicho kisimamia juu ya swala la corona.

Najua Kuna watu wengi ambao wanapenda kuwa wanasiasa ila ukitaka kuwa mwanasiasa mzuri simamia unachokiamini mpaka mwisho kuwa tayari kufanya chochote kutetea msimamo wako, kuwa tayari hata kufa ukitetea msimamo wake.

Tundu Lissu na Mbowe nao uwenda wakaja kuwa kwenye kitabu hiki kwa misimamo yao isiyoyumba juu Katiba na haki katika taifa ili.

R.I.P wote, kubali kufa sio kulala!! Happy Nyerere day.
Corona noma ikamuondoa huyohuyo aliyejifanya haiogopi
 
Nyerere na Sokoine ndiyo waliofanya nchi hii iwe LDC hadi leo kwa kuanzisha kampeni zao za kuwakamata wauza Sigara ati wanahujumu uchumi. Namheshimu sana Mwalimu lakini kwenye uchumi hasa uchumi wa kijamaa, ameifelisha sana nchi.
 
Nchi hii ina upumbavu mwingi sana.

Hivi Sokoine alipambana na wahujumu uchumi, au serikali ya kidikteta ndio iliwapa jina la uhujumu uchumi watu waliotafuta mali kwa jasho lao kisa wamekataa kuunga juhudi za sera ya ujamaa na kujitegemea?
Enzi zile maisha yalikuwa magumu Sana Kwa sababu mbalimbali ikiwemo hiyo ya kuwazuia watu kumiliki Mali na kuwapa majina ya uhujumu uchumi.Ile Sera ya Nyerere ilikuwa ni nzuri kinadharia lakini haitekelezeki.Ni ngumu sana kufikiria kuwa unaweza kuwafanya watu wote kuishi maisha ya Aina moja.utaferi tu

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
I dont know much about Sokoine lakini nasikia alikuwa anamwaga sukari za wafanyabiashara eti magendo, nielimishe alipigana vipi na uhujumu uchumi au kitu gani exactly alifanya tumwone alikuwa mwamba, sio kutulisha madini kumbe patupu
Maumivu ya kifo cha ghafla yalipelekea maombolezo yawe na maneno mengi yenye kuenzi.Lakini ukweli halisi ni ngumu kuelezea.kinachombeba ni ile dhamira Safi tu ingawa ni ya kufikirika zaidi.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom