Wanasiasa watano waliokufa kwa kusimamia walichokiamini! R.I.P

Chifu ujaelewa uzi wangu achana nao

Nimekwambia mwanasiasa lazima awe na Jambo moja analolisimamia kwa ukamilifu hata Kama ana makandokando mengi!!

Nyerere alikuwa na makosa mengi tu
The same kwa Sokoine na Magufuli lakini Kuna baadhi ya Mambo waliyasimamia ipasavyo bila kujali Nini kitatokea kwao.

The same kwa Mbowe na Lissu kwenye swala la justice na construction!!

Kama ujanielewa basi uwezi kuelewa Tena.
Ok mkuu ila kimtazamo wangu naona kuwa mch Mtikila alikuwa na misimamo thabiti zaidi ya baadhi ya uliowaweka hapa. Ila ndo hivyo tena watanzania wengi tushaaminishwa tofauti, kwahiyo mchango na misimamo yake thabiti haiwezi kuonekana. Wanaonekana wale wanaotoa chochote ili waandikwe au kusifiwa na kundi fulani.
 
No Tundu Lisu na Mbowe watoe kwenye list kwa sababu mwaka 2015 walishindwa kusimamia wanachokiamini, na kukubali kuyumba sababu ya njaa za matumbo yao. Hebu angalia kauli ya Lisu kwenye hizo picha kabla ya lowasa kuteuliwa na chama chake na baada pia ya kuteuliwa, afu uniambie hicho ulichosema anakisimamia. Hapo kwa hao wachumia tumbo ilitakiwa umuweke mch Mtikila afu ukafunga uzi.

View attachment 1973239

View attachment 1973240

View attachment 1973244
Mkuu hua naamini kua mpinzani wa kisiasa kwenye nchi za kiafrika hasa chama kikuu cha upinzani ni ushujaa tosha kwani tunajionea wanayopotiaga.

Kwa mimi wanastahili bila kujali haya kwani ni siasa zinahitaji haya ili kuibuka mshindi.
Nyerere alitaka kupinduliwa kwa nini? Hatujuia huenda kuna vile alipindisha mambo. Hayati JKN alikua mjaa utu mnoo ila mkuu wa mkoa yule alipouawa alipitisha hukumu ya kifo kwa muuaji kunyongwa (alishindwa kujihimili kama binadamu), ila mateka wa kivita wa Kagera aliagiza wafanyiwe wema licha ya yale waliyoyasababisha kwa watz.
 
1: Julius Kambalage Nyerere
Alikufa akiamini katika falsafa ya ujamaa na kuupinga Ubeberu mpaka dakika za mwisho za kifo chake!! baada ya yeye kufa panya wote wakatoka kwenye mashimo na kuanza kuuza nchi na kusababisha yote yanayotutesa leo ndiye mtu ambaye hakuiba hata mia ya Nchi hii akiwa ikulu.

2: Edward Sokoine
Mafisadi walimtengenezea ajali baada ya kuona alisimama kidete na wahujumu uchumi hakika alikufa akiwa na msimamo wake juu ya mafisdi na wahujumu uchumi wa Nchi hii.

3: Amina Chifupa
Huyu alikufa akipambana na magenge ya madawa ya kulevya alihongwa dollar nyingi ili asaliti mapambano lakini mpaka anakufa hakusita kusimama kwenye msimamo wake, pamoja na mmewe kuwa muuza madawa mkubwa.

4: Deo Filikunjombe
Uzalendo uliotukuka mafisadi ya umeme Nchi hii yakampoteza hakika kifo chake kina uchungu mkubwa Sana nyuma yake. Akiwa mwenyekiti wa kamati ya PAC alisimama kidete kutetea pesa za umma juu ya mafisadi wa umeme wa Nchi hii. Watu wakamuuza kwa kuhofia angekuja kuwa PM au Rais badae.

5: John Pombe Magufuli
R.I.P ingawa tulipishana baadhi ya Mambo lakini utabaki kwenye vitabu vya kumbukumbu Kama mwanaume mwenye msimamo mkali kwenye janga la corona. Ulisimama ulisimama kwenye ili umeacha athari kubwa kwa taifa kiufupi mwanaume mpambanaji ingawa mabeberu pamoja na makaburu weusi kukupoteza ila Sasa duniani inaona ulicho kisimamia juu ya swala la corona.

Najua Kuna watu wengi ambao wanapenda kuwa wanasiasa ila ukitaka kuwa mwanasiasa mzuri simamia unachokiamini mpaka mwisho kuwa tayari kufanya chochote kutetea msimamo wako, kuwa tayari hata kufa ukitetea msimamo wake.

Tundu Lissu na Mbowe nao uwenda wakaja kuwa kwenye kitabu hiki kwa misimamo yao isiyoyumba juu Katiba na haki katika taifa ili.

R.I.P wote, kubali kufa sio kulala!! Happy Nyerere day.
Ukabila utakuangamiza dogo!
 
Kuna yule mbeligiji ume msahau yeye kasimamia kupigwa risasi tu ana subiri 2025 aje na iyo sera tena
 
Umeharibu uzi wako kwa kumuweka Jiwe. Anyway ni mtazamo wangu mimi kama mimi.
Mkuu Mtoa mada kawaorodhesha Wanasiasa waliokuwa na misimamo bila kujali ni ya namna gani. Yawezekana misimamo ile iliwaumiza/iliwaudhi wengine lkn yeye alitetea misimamo yake hadi mauti yanamkuta.
 
1: Julius Kambalage Nyerere
Alikufa akiamini katika falsafa ya ujamaa na kuupinga Ubeberu mpaka dakika za mwisho za kifo chake!! baada ya yeye kufa panya wote wakatoka kwenye mashimo na kuanza kuuza nchi na kusababisha yote yanayotutesa leo ndiye mtu ambaye hakuiba hata mia ya Nchi hii akiwa ikulu.

2: Edward Sokoine
Mafisadi walimtengenezea ajali baada ya kuona alisimama kidete na wahujumu uchumi hakika alikufa akiwa na msimamo wake juu ya mafisdi na wahujumu uchumi wa Nchi hii.

3: Amina Chifupa
Huyu alikufa akipambana na magenge ya madawa ya kulevya alihongwa dollar nyingi ili asaliti mapambano lakini mpaka anakufa hakusita kusimama kwenye msimamo wake, pamoja na mmewe kuwa muuza madawa mkubwa.

4: Deo Filikunjombe
Uzalendo uliotukuka mafisadi ya umeme Nchi hii yakampoteza hakika kifo chake kina uchungu mkubwa Sana nyuma yake. Akiwa mwenyekiti wa kamati ya PAC alisimama kidete kutetea pesa za umma juu ya mafisadi wa umeme wa Nchi hii. Watu wakamuuza kwa kuhofia angekuja kuwa PM au Rais badae.

5: John Pombe Magufuli
R.I.P ingawa tulipishana baadhi ya Mambo lakini utabaki kwenye vitabu vya kumbukumbu Kama mwanaume mwenye msimamo mkali kwenye janga la corona. Ulisimama ulisimama kwenye ili umeacha athari kubwa kwa taifa kiufupi mwanaume mpambanaji ingawa mabeberu pamoja na makaburu weusi kukupoteza ila Sasa duniani inaona ulicho kisimamia juu ya swala la corona.

Najua Kuna watu wengi ambao wanapenda kuwa wanasiasa ila ukitaka kuwa mwanasiasa mzuri simamia unachokiamini mpaka mwisho kuwa tayari kufanya chochote kutetea msimamo wako, kuwa tayari hata kufa ukitetea msimamo wake.

Tundu Lissu na Mbowe nao uwenda wakaja kuwa kwenye kitabu hiki kwa misimamo yao isiyoyumba juu Katiba na haki katika taifa ili.

R.I.P wote, kubali kufa sio kulala!! Happy Nyerere day.
Tundu Lissu na Mbowe! Okay Sir God kwa kuwaandalia makazi pembeni ya kiti chako cha enzi.
 
Makala nzuri.

Hata mimi nilipingana na Magufuli kwenye suala la corona ila naomba nikiri kwamba mwenzetu alikua mbele ya wakati, aliwahi kuona mbele. Leo hii ndio namuelewa jamaa.

Sasa leo Mzanzibari anakuja kukopa hela za kukabiliana na corona anaenda kujenga madarasa utafikiri corona iliangusha madarasa ama madaraja na corona yenyewe haipo.

Anyway, wapumzike kwa amani.
Binadamu kutokuwa na shukrani ni sifa yake. Hizo pesa za corona asingezitumia sehemu zingine bado ungelalamika.

Umesahau kuwa JPM Alichukua pesa za wazungu za corona akazila halafu akitoka mbele ya watu anajikausha kama hakuzichukua!?.

Nani mwenye afadhali yule anayepewa na kuzifanyia mengine au yule anayejifanya hakuzichukua kumbe kazichukua mpaka wazungu wanakuja kumtoa nishai?.
 
Binadamu kutokuwa na shukrani ni sifa yake. Hizo pesa za corona asingezitumia sehemu zingine bado ungelalamika.

Umesahau kuwa JPM Alichukua pesa za wazungu za corona akazila halafu akitoka mbele ya watu anajikausha kama hakuzichukua!?.

Nani mwenye afadhali yule anayepewa na kuzifanyia mengine au yule anayejifanya hakuzichukua kumbe kazichukua mpaka wazungu wanakuja kumtoa nishai?.
JPM alipewa bilioni 14 za msaada za corona akazielekeza kwenye mambo mengine, hakwenda kukopa hela za corona ajengee madarasa, kwani corona ilikua inaangusha madarasa?
 
1: Julius Kambalage Nyerere
Alikufa akiamini katika falsafa ya ujamaa na kuupinga Ubeberu mpaka dakika za mwisho za kifo chake!! baada ya yeye kufa panya wote wakatoka kwenye mashimo na kuanza kuuza nchi na kusababisha yote yanayotutesa leo ndiye mtu ambaye hakuiba hata mia ya Nchi hii akiwa ikulu.

2: Edward Sokoine
Mafisadi walimtengenezea ajali baada ya kuona alisimama kidete na wahujumu uchumi hakika alikufa akiwa na msimamo wake juu ya mafisdi na wahujumu uchumi wa Nchi hii.

3: Amina Chifupa
Huyu alikufa akipambana na magenge ya madawa ya kulevya alihongwa dollar nyingi ili asaliti mapambano lakini mpaka anakufa hakusita kusimama kwenye msimamo wake, pamoja na mmewe kuwa muuza madawa mkubwa.

4: Deo Filikunjombe
Uzalendo uliotukuka mafisadi ya umeme Nchi hii yakampoteza hakika kifo chake kina uchungu mkubwa Sana nyuma yake. Akiwa mwenyekiti wa kamati ya PAC alisimama kidete kutetea pesa za umma juu ya mafisadi wa umeme wa Nchi hii. Watu wakamuuza kwa kuhofia angekuja kuwa PM au Rais badae.

5: John Pombe Magufuli
R.I.P ingawa tulipishana baadhi ya Mambo lakini utabaki kwenye vitabu vya kumbukumbu Kama mwanaume mwenye msimamo mkali kwenye janga la corona. Ulisimama ulisimama kwenye ili umeacha athari kubwa kwa taifa kiufupi mwanaume mpambanaji ingawa mabeberu pamoja na makaburu weusi kukupoteza ila Sasa duniani inaona ulicho kisimamia juu ya swala la corona.

Najua Kuna watu wengi ambao wanapenda kuwa wanasiasa ila ukitaka kuwa mwanasiasa mzuri simamia unachokiamini mpaka mwisho kuwa tayari kufanya chochote kutetea msimamo wako, kuwa tayari hata kufa ukitetea msimamo wake.

Tundu Lissu na Mbowe nao uwenda wakaja kuwa kwenye kitabu hiki kwa misimamo yao isiyoyumba juu Katiba na haki katika taifa ili.

R.I.P wote, kubali kufa sio kulala!! Happy Nyerere day.
Unamwache Mchungaji Christopher Mtikila

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Makala nzuri.

Hata mimi nilipingana na Magufuli kwenye suala la corona ila naomba nikiri kwamba mwenzetu alikua mbele ya wakati, aliwahi kuona mbele. Leo hii ndio namuelewa jamaa.

Sasa leo Mzanzibari anakuja kukopa hela za kukabiliana na corona anaenda kujenga madarasa utafikiri corona iliangusha madarasa ama madaraja na corona yenyewe haipo.

Anyway, wapumzike kwa amani.
Umeandika kiutu uzima sana muungwana.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
1: Julius Kambalage Nyerere
Alikufa akiamini katika falsafa ya ujamaa na kuupinga Ubeberu mpaka dakika za mwisho za kifo chake!! baada ya yeye kufa panya wote wakatoka kwenye mashimo na kuanza kuuza nchi na kusababisha yote yanayotutesa leo ndiye mtu ambaye hakuiba hata mia ya Nchi hii akiwa ikulu.

2: Edward Sokoine
Mafisadi walimtengenezea ajali baada ya kuona alisimama kidete na wahujumu uchumi hakika alikufa akiwa na msimamo wake juu ya mafisdi na wahujumu uchumi wa Nchi hii.

3: Amina Chifupa
Huyu alikufa akipambana na magenge ya madawa ya kulevya alihongwa dollar nyingi ili asaliti mapambano lakini mpaka anakufa hakusita kusimama kwenye msimamo wake, pamoja na mmewe kuwa muuza madawa mkubwa.

4: Deo Filikunjombe
Uzalendo uliotukuka mafisadi ya umeme Nchi hii yakampoteza hakika kifo chake kina uchungu mkubwa Sana nyuma yake. Akiwa mwenyekiti wa kamati ya PAC alisimama kidete kutetea pesa za umma juu ya mafisadi wa umeme wa Nchi hii. Watu wakamuuza kwa kuhofia angekuja kuwa PM au Rais badae.

5: John Pombe Magufuli
R.I.P ingawa tulipishana baadhi ya Mambo lakini utabaki kwenye vitabu vya kumbukumbu Kama mwanaume mwenye msimamo mkali kwenye janga la corona. Ulisimama ulisimama kwenye ili umeacha athari kubwa kwa taifa kiufupi mwanaume mpambanaji ingawa mabeberu pamoja na makaburu weusi kukupoteza ila Sasa duniani inaona ulicho kisimamia juu ya swala la corona.

Najua Kuna watu wengi ambao wanapenda kuwa wanasiasa ila ukitaka kuwa mwanasiasa mzuri simamia unachokiamini mpaka mwisho kuwa tayari kufanya chochote kutetea msimamo wako, kuwa tayari hata kufa ukitetea msimamo wake.

Tundu Lissu na Mbowe nao uwenda wakaja kuwa kwenye kitabu hiki kwa misimamo yao isiyoyumba juu Katiba na haki katika taifa ili.

R.I.P wote, kubali kufa sio kulala!! Happy Nyerere day.
unaharibu post kuweka jina la Lisu na Mbowe

hao mtawasifia mpate likes za chadema humu

they are liability to the country

nakubali kuwa mashtaka ya mbowe hayana mantiki, lakini mbowe sio msafi, fala, fisadi, linalamba ruzuku
 
No Tundu Lisu na Mbowe watoe kwenye list kwa sababu mwaka 2015 walishindwa kusimamia wanachokiamini, na kukubali kuyumba sababu ya njaa za matumbo yao. Hebu angalia kauli ya Lisu kwenye hizo picha kabla ya lowasa kuteuliwa na chama chake na baada pia ya kuteuliwa, afu uniambie hicho ulichosema anakisimamia. Hapo kwa hao wachumia tumbo ilitakiwa umuweke mch Mtikila afu ukafunga uzi.

View attachment 1973239

View attachment 1973240

View attachment 1973244
Nimeshangaa Mtikila anakosekanaje hapo halafu huyo mropokaji anakuwepo
 
Kama ipo kwanini basi pesa zilizotolewa ziende kujenga madarasa badala ya kupambana na janga lenyewe??
Mkuu sina muda wa kupoteza kubishana na wewe. Seems like hauna chochote ninachoweza ku gain kutoka kwako.

You are myopic mkuu.
 
Vifo vingine ni vya kipumbavu kama cha namba 5
Bora hata kifo cha Kinjekitile Ngwale angalao aliwaunganisha Wananchi kwenda kuuwawa.
 
Back
Top Bottom