Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,647
Wanasiasa 10 walipata ajali mbaya alitokea mkulima mmoja alichimba shimo na kuwazika, Polisi walikuja na kuanza kumhoji;
Polisi:Uliona ajali?
Mkulima:Hapana, nilikuta imeshatokea na maiti zimezagaa.
Polisi:Zipo wapi maiti?
Mkulima:Nimezizika.
Polisi:Una uhakika wote wamekufa?
Mkulima:Kuna wengine walikuwa wanalalamika kwamba hawajafa lakini si unajua wanasiasa walivyo waongo! mimi nikajua tu wanadanganya nikawazika wote...
Polisi:Uliona ajali?
Mkulima:Hapana, nilikuta imeshatokea na maiti zimezagaa.
Polisi:Zipo wapi maiti?
Mkulima:Nimezizika.
Polisi:Una uhakika wote wamekufa?
Mkulima:Kuna wengine walikuwa wanalalamika kwamba hawajafa lakini si unajua wanasiasa walivyo waongo! mimi nikajua tu wanadanganya nikawazika wote...