Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,645
Wanasiasa 40 walipata ajali mbaya porini mkulima mmoja alipoona hivyo alichimba shimo na kuwazika wote pamoja.alipoulizwa na polisi juu ya maiti mambo yalikuwa hivi;
POLISI: zipo wapi maiti?
MKULIMA: nimezizika.
POLISI: unahakika wote walikuwa wamekufa?
MKULIMA: kuna wengine walikuwa wanalalamika kwamba hawajafa lakini c unajua wanasiasa walivyo waongo, mi nikajua tu wanadanganya nikawazika wote!!!
😃😃😃
POLISI: zipo wapi maiti?
MKULIMA: nimezizika.
POLISI: unahakika wote walikuwa wamekufa?
MKULIMA: kuna wengine walikuwa wanalalamika kwamba hawajafa lakini c unajua wanasiasa walivyo waongo, mi nikajua tu wanadanganya nikawazika wote!!!
😃😃😃