Wanasiasa 40 wapata ajali

Wanasiasa 40 wapata ajali

sulphadoxine

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,257
Reaction score
649
Wanasiasa 40walipata ajali mbaya porini,mkulima mmoja alipoona hivyo alichimba shimo na kuwazika wote pamoja.Alipoulizwa na polisi juu ya ajali hiyo na maiti zilipo mambo yalikuwa hivi:


Polisi:Ziko wapi maiti?


Mkulima:Nimezizika.


Polisi:Unahakika wote walikuwa wamekufa?


Mkulima:Kuna wengine walikuwa bado wanalalamika kwamba awajafa,lakini si unajua wanasiasa walivyo waongo mi nkuajua tu wanadanganya nikawafukia(nikawazika) wote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom