Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,438
- 30,962
Ifuatayo Ni orodha ya wanasiasa wabaya kuwahi kutokea katika taifa letu hususan katika modern era politics nitajaribu kutaja na sababu zangu ila nawewe ongezea na zakwako pia.
1.Magufuli
Sio mvumilivu
Hashauriki
Sio mwanademocrasia
Yuko radhi afanye lolote kwa faida yake
2.Ndugai
1.Ameshusha hadhi ya bunge kuliko wakati wowote katika historian ya taifa.
2.Ishu ya lissu namna alivyoihendo imeliwekea doa kubwa Sana bunge.
3.Ni dhaifu kwelikweli.
3.Lipumba
Huyu Ni msaliti wa mageuzi
Alikimbia nchi wakati alikuwa anahitajika mno
Ametumika kudhoofisha chama ambacho kilikuwa na nguvu Sana tanzania.
Elimu yake haijalisaidia taifa.
4.Dr slaa
Msaliti
Amlitumika na system kudhoofisha upinzani historia haitamsahau kwa hili.
5.Mrema
Huyu ameamua kuwa kituko wa siasa za Tanzania tumuache amalize muda wake katka active politics huyu asamehewe bure ni comedian wa kisiasa.
6.Mwita waitara/mtatiro et al
Hawa nyerere aliwaita Malaya wa kisiasa
7.Lowassa.
Huyu Ni mbinafsi anaangalia faida yake Kwanza Ni ipi kwenye siasa.
Pia Ni kigeugeu.
8.Polepole
Huyu anayoyaongea yote hayaamini katika dhamira yake.
Ana ndimi mbili.
Kigeugeu.
Mpotoshaji.
Haaminiki.
Hii ndio orodha yangu waweza ongezea ya kwako !
1.Magufuli
Sio mvumilivu
Hashauriki
Sio mwanademocrasia
Yuko radhi afanye lolote kwa faida yake
2.Ndugai
1.Ameshusha hadhi ya bunge kuliko wakati wowote katika historian ya taifa.
2.Ishu ya lissu namna alivyoihendo imeliwekea doa kubwa Sana bunge.
3.Ni dhaifu kwelikweli.
3.Lipumba
Huyu Ni msaliti wa mageuzi
Alikimbia nchi wakati alikuwa anahitajika mno
Ametumika kudhoofisha chama ambacho kilikuwa na nguvu Sana tanzania.
Elimu yake haijalisaidia taifa.
4.Dr slaa
Msaliti
Amlitumika na system kudhoofisha upinzani historia haitamsahau kwa hili.
5.Mrema
Huyu ameamua kuwa kituko wa siasa za Tanzania tumuache amalize muda wake katka active politics huyu asamehewe bure ni comedian wa kisiasa.
6.Mwita waitara/mtatiro et al
Hawa nyerere aliwaita Malaya wa kisiasa
7.Lowassa.
Huyu Ni mbinafsi anaangalia faida yake Kwanza Ni ipi kwenye siasa.
Pia Ni kigeugeu.
8.Polepole
Huyu anayoyaongea yote hayaamini katika dhamira yake.
Ana ndimi mbili.
Kigeugeu.
Mpotoshaji.
Haaminiki.
Hii ndio orodha yangu waweza ongezea ya kwako !