MEXICANA
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 1,772
- 2,032
Specifically naongea na wanaodai kwamba hakuna uhuru wa kufanya mikutano ya kisiasa. Rais kasema hajazuia mikutano yenu ya wanachama wenu ndani ya chama. Wabunge wafanye kwenye maeneo yao pia.
Marekani wametoka kwenye uchaguzi juzi kati, je? Bado wanaendelea na mikutano ya siasa?
Tunataka demokrasia gani, Unataka uweke mkutano wako ili ueleze nini? Si ueleze wanachama wako kile unachotaka kueleza.
Mbona mataifa mengine hawana huo utopolo mnao claim?
Je, Demokrasia ya Tanzania ni so special sana kuliko demokrasia za nchi zingine duniani? Nakuuliza wewe unayepinga kila kitu.
Najua jambo moja tu juu yenu, nyie si wa kuwachekea chekea au kulia lia, maana hamuchelewi kusema hamtaki kuchekewachekewa kama Mfalme fulani hivi mlivyokuwa mnamuita miaka ya nyuma, na sasa hivi nmesikia mnasema hamtaki mfalme anayelialia.
Kiuhalisia siasa ya Tanzania imejaa unafiki mwingi Sana, ni biashara kama biashara zingine.
Marekani wametoka kwenye uchaguzi juzi kati, je? Bado wanaendelea na mikutano ya siasa?
Tunataka demokrasia gani, Unataka uweke mkutano wako ili ueleze nini? Si ueleze wanachama wako kile unachotaka kueleza.
Mbona mataifa mengine hawana huo utopolo mnao claim?
Je, Demokrasia ya Tanzania ni so special sana kuliko demokrasia za nchi zingine duniani? Nakuuliza wewe unayepinga kila kitu.
Najua jambo moja tu juu yenu, nyie si wa kuwachekea chekea au kulia lia, maana hamuchelewi kusema hamtaki kuchekewachekewa kama Mfalme fulani hivi mlivyokuwa mnamuita miaka ya nyuma, na sasa hivi nmesikia mnasema hamtaki mfalme anayelialia.
Kiuhalisia siasa ya Tanzania imejaa unafiki mwingi Sana, ni biashara kama biashara zingine.