KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,249
- 5,962
Nimekwambia Mungu ana nafsi tatu yaani BABA,MWANA NA MTAKATIFU.kama wewe ni Mkristo au unataka kuwa Mkristo nunua Biblia ili nikupe vifungu vya kusoma maana maelezo yake ni marefu sana hasa kwa mwanafunzi asiyeelewa kitu.Yaani anayeanza kujifunza.
Wala usijali mkuu lete tu vifungu kiongozi biblia ipo.